-
Idadi ya watu waliokufa katika mafuriko Indonesia yapindukia 1000
Dec 14, 2025 07:09Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na janga la mafuriko nchini Indonesia imeongezeka na kupindukia 1000.
-
Azimio jipya la Baraza Kuu la UN; Msimamo wa kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2025 02:06Sambamba na Israel kukiuka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio jipya linaloitaka Tel Aviv kutekeleza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu eneo hilo la Palestina.
-
Ukosoaji waongezeka kuhusu afya ya Trump baada ya kuonekana mchovu hadharani
Dec 13, 2025 11:18Mjadala kuhusu afya ya Rais wa Marekani Donald Trump umechacha upya baada ya matukio kadhaa ya hadharani ambapo alionekana mchovu au kusinzia, hali iliyozua maswali mapya kuhusu uwezo wake kiafya katika umri wake wa miaka 79.
-
Kuongezeka idadi ya nchi zilizosusia Mashindano ya Eurovision kulalamikia kushirikishwa utawala wa Kizayuni
Dec 13, 2025 09:24Idadi ya nchi zilizosusia mashindano ya Eurovision zikipinga kushirikishwa utawala wa Kizayuni katika mashindano hayo, imeongezeka.
-
‘Ondoka, mwizi wewe. Barakoa yako imeanguka’: Maduro aishutumu Marekani kwa kunyemelea mafuta ya Venezuela
Dec 13, 2025 07:49Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, ameishutumu Marekani kwa kutumia madai ya biashara haramu ya dawa za kulevya kama kisingizio cha kunyakua maliasili za nchi yake, hasa mafuta ya petroli.
-
Trump, Clinton na Gates waonekana katika seti mpya ya picha za Epstein
Dec 13, 2025 07:22Wanachama wa chama cha Democratic katika Congress ya Marekani wamefichua picha mpya zinazomdhihirisha Rais wa Marekani, Donald Trump, Rais wa zamani Bill Clinton, mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates na watu wengine wenye ushawishi wakiwa pamoja na mfanyabiashara aliyepatikana na hatia ya kufanya biashara haramu ya ngono ya watoto, Jeffrey Epstein.
-
Baraza Kuu la UN lapasisha azimio la kuitaka Israel iondoe vizuizi vya msaada Gaza
Dec 13, 2025 02:49Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio linaloitaka Israel kuruhusu kutolewa kwa huduma za kibinadamu pasi na vikwazo na vizingiti katika Ukanda wa Gaza.
-
Kwa nini EU imejikita katika kuwafukuza wakimbizi badala ya kutatua mgogoro wa uhamiaji?
Dec 13, 2025 02:31Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeidhinisha rasimu ya "Kanuni ya kuanzisha mfumo wa pamoja wa kuwarejesha raia wa nchi ya tatu wasio na vibali halali vya ukaazi.
-
Upinzani mkubwa wa UN dhidi ya kubadilishwa mipaka ya Gaza
Dec 12, 2025 12:25Umoja wa Mataifa umetangaza upinzani wake mkubwa dhidi ya kufanyika mabadiliko ya aina yoyote ya mipaka ya Gaza na utawala wa Israel.
-
Putin atangaza kumuunga mkono Maduro licha ya US kushadidisha vitisho dhidi ya Venezuela
Dec 12, 2025 10:11Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, anamuunga mkono Rais wa Venezuela Nicolas Maduro wakati huu ambapo Marekani imejizatiti kijeshi katika eneo la Carribean huku ikishadidisha vitisho dhidi ya Venezuela.