-
Taliban yamjibu Trump: Tunaweza kuzungumza, lakini Marekani haitaruhusiwa kuwepo tena kijeshi Afghanistan
Sep 19, 2025 07:35Serikali ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban imetupilia mbali wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka jeshi la nchi hiyo lirejee Afghanista na kupatiwa tena kambi ya jeshi la anga ya Bagram.
-
Marekani yatumia kura ya veto kupinga azimio la kusitisha vita Gaza
Sep 19, 2025 00:26Marekani imetumia kura turufu kuzuia kupasishwa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka usitishwaji vita Gaza, kuwezesha ufikaji wa misaada ya kibinadamu na kuachiliwa kwa mateka.
-
Mayahudi wa Othodoksi waanza kuandamana New York dhidi ya Netanyahu kabla hajaelekea UN
Sep 18, 2025 06:43Mamia ya Wayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamefanya maandamano katika jiji la New York kupinga ushiriki wa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa itakayofanyika wiki ijayo.
-
Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina
Sep 18, 2025 06:42Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama Dola mwishoni mwa wiki hii baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhitimisha ziara yake ya kiserikali nchini humo. Hayo yamefichuliwa na gazeti la The i Paper likivinukuu vyanzo vya serikali.
-
Financial Times: EU inapanga kuzitumia yuro bilioni 170 fedha za Russia inazozishikilia
Sep 18, 2025 06:41Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Umoja wa Ulaya (EU) umeamua kutekeleza mpango wa kuzitumia yuro bilioni 170 milki za Russia inazozishikilia kurudisha "mikopo ya fidia" kwa Ukraine.
-
Maelfu waandamana London kupinga ziara ya Trump nchini Uingereza
Sep 18, 2025 03:52Maelfu ya wakazi wa jiji la London wameandamana kupinga ziara ya kiserikali ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Uingereza na kumtaja kama kiongozi mbaguzi na mpenda mabavu. Wafanya maandamano wamelaani pia sera za nje za Marekani kuhusu Iran na Gaza.
-
Katibu Mkuu wa UN: Ulimwengu umegawanyika kimataifa wakati huu wa kufanyika UNGA80
Sep 18, 2025 00:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa viongozi wa dunia “kuwa makini na kutekeleza ahadi” wanapowasili jijini New York kwa ajili ya wiki ya ngazi ya juu ya Mkutano wa Baraza Kuu wa 80 wa Umoja wa Mataifa UNGA80.
-
Ireland yataka Israel na wafadhili wake watimuliwe Umoja wa Mataifa
Sep 17, 2025 03:16Rais wa Ireland ametoa mwito wa kufukuzwa na kutimuliwa kwenye Umoja wa Mataifa, utawala wa Kizayuni na wafadhili wake wanaoisheheneza silaha Israel.
-
Ubelgiji: Tunaunga mkono vikwazo vyovyote vinavyopendekezwa vya EU dhidi ya Israel
Sep 17, 2025 03:16Waziri Mkuu wa Ubelgiji ametangaza kuwa, nchi yake inaunga mkono vikwazo vyovyote vitakavyopendekezwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya Israel.
-
Luxembourg kuitambua Palestina katika Mkutano Mkuu wa UN
Sep 16, 2025 08:37Serikali ya Luxembourg imetangaza mpango wake wa kulitambua taifa la Palestina, na hivyo kuungana na mataifa mbalimbali ya Ulaya ambayo yanatarajiwa kutoa tamko sawa na hili katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baadaye mwezi huu.