-
Mahakama ya Uturuki yatoa waranti wa kukamatwa Netanyahu kwa kutenda jinai Gaza
Nov 08, 2025 07:04Mahakama ya Uturuki imetoa hati ya kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, waziri wake wa ulinzi na maafisa wengine 35 wakuu wa Israel kwa tuhuma za "uhalifu wa kivita na mauaji ya kimbari."
-
Kwa nini New Delhi imekhitari sera ya kuwa karibu zaidi na Tel Aviv?
Nov 08, 2025 00:41India na utawala wa Kizayuni wa Israel zimeanzisha uhusiano mkubwa baina ya pande hizo mbili katika miaka ya hivi karibuni.
-
Utafiti: Kilimo cha mihadarati ya afyuni nchini Afghanistan kimepungua kwa 20% katika mwaka 2025
Nov 07, 2025 06:47Utafiti mpya uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Madawa ya Kulevya na Uhalifu UNODC umeonyesha kupungua kwa kiasi kikubwa kwa kilimo cha mmea wa afyuni (Opium) nchini Afghanistan katika mwaka huu wa 2025, hali inayoashiria mabadiliko makubwa katika uzalishaji na biashara ya mihadarati katika ukanda huo.
-
Hasira ya Israel Kufuatia Ushindi wa Mamdani kama Meya wa New York
Nov 06, 2025 04:17Mawaziri wa utawala katili wa Israel wameonyesha ghadhabu kufuatia kuchaguliwa kwa Zohran Mamdani kuwa meya wa jiji la New York nchini Marekani, wakimshambulia kwa tuhuma mbalimbali.
-
Trump Asema Afrika Kusini Haipaswi Kuwa Katika G20, Akataa Kuhudhuria Kikao cha Johannesburg
Nov 06, 2025 04:17Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumatano kuwa Afrika Kusini inapaswa kuondolewa kutoka kundi la G20, na kwamba hatahudhuria mkutano ujao wa kilele nchini humo.
-
Katibu Mkuu wa UN aonya: Kikosi kitakachotumwa Ghaza lazima kiwe na "uhalali kamili wa kimataifa"
Nov 05, 2025 23:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameonya kuwa kikosi chochote cha kurejesha uthabiti na utulivu kitakachopelekwa Ukanda wa Ghaza lazima kiwe na "uhalali kamili wa kimataifa" ili kuwasaidia Wapalestina wa eneo hilo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Tuzo ya Nobel imepoteza itibari kwa mpokeaji kumsifu Netanyahu
Nov 05, 2025 09:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amekosoa tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2025, na kusema tuzo hiyo imepoteza uhalali wake kutokana na kupewa kwa Maria Corina Machado, ambaye amemsifu Benjamin Netanyahu licha ya kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kivita.
-
Iran yataka UN ichukue hatua kufuatia kauli ya Trump kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia
Nov 05, 2025 09:08Iran imetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukutana kwa dharura kufuatia kauli za “kushtua sana” zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia.
-
Nigeria yapinga madai ya Trump kuhusu mauaji ya Wakristo
Nov 05, 2025 09:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria, Yusuf Tuggar, amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mauaji ya Wakristo nchini Nigeria, akionya dhidi ya kauli zinazoweza kuchochea mgawanyiko wa kidini au kikabila nchini humo.
-
Mamdani achaguliwa Meya wa kwanza Mwislamu wa Jiji la New York katika ushindi wa kihistoria
Nov 05, 2025 03:40Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.