DRC inasherehekea miaka 60 ya uhuru hali ikiwa bado mbaya + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i61937-drc_inasherehekea_miaka_60_ya_uhuru_hali_ikiwa_bado_mbaya_sauti
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inasherehekea miaka 60 wa uhuru wake kutoka kwa mkonoloji wa Ulaya, Ubelgiji, huku hali ya amani na uchumi ikiwa bado ni mbaya sawa kabisa na ilivyokuwa muda mchache tu baada ya kujipatia uhuru huo. Mossi Mwassi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.
(last modified 2025-10-31T09:05:42+00:00 )
Jul 01, 2020 07:45 UTC

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inasherehekea miaka 60 wa uhuru wake kutoka kwa mkonoloji wa Ulaya, Ubelgiji, huku hali ya amani na uchumi ikiwa bado ni mbaya sawa kabisa na ilivyokuwa muda mchache tu baada ya kujipatia uhuru huo. Mossi Mwassi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.