Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Waliokufa maji katika ajali za boti 2 DRC wapindukia 50

    Waliokufa maji katika ajali za boti 2 DRC wapindukia 50

    Jun 14, 2025 07:03

    Watu wasiopungua 52 wamethibitishwa kufariki dunia huku wengine kadhaa wakitoweka baada ya boti mbili za abiria kuzama kwenye maji ya Ziwa Tumba, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kabila: Mfumo wa sheria wa DRC unavunda

    Kabila: Mfumo wa sheria wa DRC unavunda

    May 24, 2025 07:47

    Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila jana Ijumaa ameshutumu vikali mfumo wa sheria wa nchi hiyo ya Afrika ya Kati, akisema kuwa umeoza kutokana na uendeshaji mbaya.

  • Kongo yamuondolea kinga Kabila ikimtuhumu kwa uhalifu wa kivita

    Kongo yamuondolea kinga Kabila ikimtuhumu kwa uhalifu wa kivita

    May 02, 2025 02:51

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanzisha mchakato wa kumuondolewa kinga Rais wa zamani wa nchi hiyo, Joseph Kabila ili aweze kukabiliwa na mashtaka ya kuunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi.

  • Mamia hawajapatikana baada ya boti kuteketea moto, kuzama DRC

    Mamia hawajapatikana baada ya boti kuteketea moto, kuzama DRC

    Apr 18, 2025 06:54

    Mamia wa watu wangali hawajulikani walipo baada ya boti iliyokuwa na mamia ya abiria kuzama baada ya kuwaka moto katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu zaidi ya 50.

  • UN: Katika kila nusu saa, mtoto 1 alibakwa mashariki ya DRC

    UN: Katika kila nusu saa, mtoto 1 alibakwa mashariki ya DRC

    Apr 12, 2025 02:19

    Umoja wa Mataifa umelaani kushtadi kesi za ubakaji na unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilizoripotiwa katika miezi miwili ya kwanza ya mwaka huu; huku makabiliano makali yakiendelea kati ya kundi la waasi la M23 na vikosi vya serikali.

  • Lubanga, mbabe wa kivita aunda kundi jipya la waasi DRC

    Lubanga, mbabe wa kivita aunda kundi jipya la waasi DRC

    Apr 01, 2025 10:37

    Aliyekuwa kinara wa genge moja la waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Lubanga na ambaye alikuwa mtu wa kwanza kukamatwa na kufungwa jela na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), amezindua kundi jipya la waasi nchini humo.

  • Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC

    Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC

    Mar 23, 2025 02:47

    Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la waasi wa CODECO baada ya kushambulia kambi ya jeshi la Uganda katika mpaka wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • M23: Hatutaki kingine ghairi ya amani nchini Kongo DR

    M23: Hatutaki kingine ghairi ya amani nchini Kongo DR

    Mar 20, 2025 03:09

    Muungano wa Mto Congo (AFC) na tawi lake la waasi wa M23 zinasisitiza kuwa, lengo lao kuu ni amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, lakini zinadai kuwa, kufikiwa kwake kunakwamishwa na mashambulizi ya serikali.

  • Waasi wa M23 wasonga mbele zaidi mashariki mwa DRC kabla ya kuanza mazungumzo kesho Jumanne

    Waasi wa M23 wasonga mbele zaidi mashariki mwa DRC kabla ya kuanza mazungumzo kesho Jumanne

    Mar 17, 2025 11:56

    Waasi wa M23 leo wameendelea kushambulia maeneo mbalimbali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kabla ya kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Kongo hapo kesho katika mji mkuu wa Angola, Luanda.

  • Kagame akosoa kimya cha Magharibi kuhusu FDLR; aisuta Ubelgiji

    Kagame akosoa kimya cha Magharibi kuhusu FDLR; aisuta Ubelgiji

    Mar 17, 2025 11:41

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kueneza 'simulizi potofu' kwamba Kigali inawaunga mkono waasi wa M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS