Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    May 22, 2026 14:38

    Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.

  • Ebola imeua watu  139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    Ebola imeua watu 139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    May 21, 2026 12:56

    Takriban wagonjwa 600 sasa wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vikishukiwa kusababishwa na ugonjwa huo hali inayoongeza hofu ya kuenea zaidi kwa mlipuko wa sasa wa Ebola.

  • Serikali ya Uganda yaweka udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa Ebola DRC

    Serikali ya Uganda yaweka udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa Ebola DRC

    May 19, 2026 12:44

    Uganda imeanzisha udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola. Wafanyakazi wa afya nchini humo tayari wameanza kupima halijoto ya watu huku wakiwasaidia kunawa mikono yao karibu na Bundibugyo magharibi mwa Uganda.

  • Ebola yaibuka tena nchini DRC, WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na mlipuko

    Ebola yaibuka tena nchini DRC, WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na mlipuko

    May 16, 2026 02:55

    Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza kuisaidia kikamilifu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC baada ya kuthibitishwa kwa mlipuko mpya wa ugonjwa hatari wa Ebola katika jimbo la Ituri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN yaonya kuwa mamilioni wanakabiliwa na njaa DRC kutokana na vita

    UN yaonya kuwa mamilioni wanakabiliwa na njaa DRC kutokana na vita

    May 15, 2026 09:40

    Onyo kali limetolewa na Mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa njaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaoendelea kuwa mbaya zaidi, huku zaidi ya watu milioni 26.5 wakihangaika kupata mahitaji yao ya msingi ya chakula kila siku.

  • HRW yawatuhumu waasi M23 na wanajeshi wa Rwanda kwa mauaji, ubakaji katika mji wa Uvira, Kongo

    HRW yawatuhumu waasi M23 na wanajeshi wa Rwanda kwa mauaji, ubakaji katika mji wa Uvira, Kongo

    May 15, 2026 06:01

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza katika ripoti yake kuwa waasi wa kundi la M23 na wanajeshi wa Rwanda waliukalia kwa mabavu na kwa ukatili mji wa Uvira kwa muda wa mwezi mmoja unaopatikana mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo; hatua iliyoambatana na mauaji ya kiholela, ubakaji na kuwateka nyara raia.

  • Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia

    Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia

    May 10, 2026 07:37

    Kwa uchache watu 70, wengi wao wakiwa raia, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha waliohusishwa na wanamgambo wa CODECO, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Rais Tshisekedi asema huenda akagombea muhula wa tatu wa urais, Kongo

    Rais Tshisekedi asema huenda akagombea muhula wa tatu wa urais, Kongo

    May 07, 2026 11:13

    Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezungumzia uwezekano wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu, akisema atakubali kuendelea kuiongoza nchi hiyo iwapo ataungwa mkono na Wakongo kupitia kura ya maoni.

  • Rais wa zamani wa Kongo DR alaani vikwazo vya Marekani, asema si halali

    Rais wa zamani wa Kongo DR alaani vikwazo vya Marekani, asema si halali

    May 02, 2026 09:27

    Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, amelaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa madai ya kuwaunga mkono waasi wa AFC/M23 mashariki mwa Kongo na kuvitaja kuwa "visivyo halali na vya matashi ya kisiasa."

  • Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini

    Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini

    Apr 28, 2026 09:27

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika jitihada za kuzuia uporaji wa madini yake, imetangaza mpango wa kupeleka kikosi maalumu cha wanamgambo kitakachokuwa na jukumu la kulinda sekta ya madini nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS