-
Kongo yamuondolea kinga Kabila ikimtuhumu kwa uhalifu wa kivita
May 02, 2025 02:51Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanzisha mchakato wa kumuondolewa kinga Rais wa zamani wa nchi hiyo, Joseph Kabila ili aweze kukabiliwa na mashtaka ya kuunga mkono waasi wa M23 mashariki mwa nchi.
-
Mamia hawajapatikana baada ya boti kuteketea moto, kuzama DRC
Apr 18, 2025 06:54Mamia wa watu wangali hawajulikani walipo baada ya boti iliyokuwa na mamia ya abiria kuzama baada ya kuwaka moto katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu zaidi ya 50.
-
UN: Katika kila nusu saa, mtoto 1 alibakwa mashariki ya DRC
Apr 12, 2025 02:19Umoja wa Mataifa umelaani kushtadi kesi za ubakaji na unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilizoripotiwa katika miezi miwili ya kwanza ya mwaka huu; huku makabiliano makali yakiendelea kati ya kundi la waasi la M23 na vikosi vya serikali.
-
Lubanga, mbabe wa kivita aunda kundi jipya la waasi DRC
Apr 01, 2025 10:37Aliyekuwa kinara wa genge moja la waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Thomas Lubanga na ambaye alikuwa mtu wa kwanza kukamatwa na kufungwa jela na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), amezindua kundi jipya la waasi nchini humo.
-
Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC
Mar 23, 2025 02:47Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la waasi wa CODECO baada ya kushambulia kambi ya jeshi la Uganda katika mpaka wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
M23: Hatutaki kingine ghairi ya amani nchini Kongo DR
Mar 20, 2025 03:09Muungano wa Mto Congo (AFC) na tawi lake la waasi wa M23 zinasisitiza kuwa, lengo lao kuu ni amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, lakini zinadai kuwa, kufikiwa kwake kunakwamishwa na mashambulizi ya serikali.
-
Waasi wa M23 wasonga mbele zaidi mashariki mwa DRC kabla ya kuanza mazungumzo kesho Jumanne
Mar 17, 2025 11:56Waasi wa M23 leo wameendelea kushambulia maeneo mbalimbali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kabla ya kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Kongo hapo kesho katika mji mkuu wa Angola, Luanda.
-
Kagame akosoa kimya cha Magharibi kuhusu FDLR; aisuta Ubelgiji
Mar 17, 2025 11:41Rais wa Rwanda, Paul Kagame amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kueneza 'simulizi potofu' kwamba Kigali inawaunga mkono waasi wa M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kongo yashindwa kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa Mpox
Mar 13, 2025 02:21Wiki sita baada ya waasi wanaoungwa mkono na Rwanda kuteka miji miwili mikubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya katika mapambano yake dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa mpox.
-
Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?
Mar 12, 2025 12:32Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zinapanga kushirikiana katika mapatano ya kiuchumi na kisiasa.