-
Raia 16 wauawa katika shambulio jipya la waasi mashariki mwa Kongo
Jul 24, 2026 02:45Rais wasiopungua 16, wakiwemo wachimbaji madini, wameuawa katika shambulio la hivi karibuni la waasi wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika kijiji kimoja mkoani Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Idadi ya vifo vya Ebola yazidi 1,000 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jul 24, 2026 02:40Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefikia watu zaidi ya 1,000.
-
Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni
Jul 19, 2026 12:44Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita waliwauwa watu wasiopungua 114 kuwatekanyara wengine 17. Haya yameelezwa Shirika la Ufuatiliaji Usalama la Kivu Security Tracker.
-
WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR
Jul 18, 2026 09:09Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
DRC yaripoti mlipuko wa Ebola katika mikoa mitano; idadi ya maambukizi yavuka 1,900
Jul 14, 2026 04:39Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeripoti kuenea kwa ugonjwa wa Ebola katika mikoa mitano, huku idadi ya kitaifa ya maambukizi ikipanda na kufikia visa 1,926 vilivyothibitishwa, ikiwa ni pamoja na vifo 702. Haya ni kwa mujibu wa ripoti rasmi iliyotolewa Jumapili na mamlaka za afya nchini humo.
-
Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne
Jul 11, 2026 11:28Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imevuka 1,800, kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa siku ya Jumamosi, huku virusi hivyo vikisambaa hadi mkoa wa nne katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais
Jul 11, 2026 02:45Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais
-
Idadi ya vifo kutokana na maradhi ya Ebola DRC vyafikia 506
Jul 07, 2026 03:21Idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 506.
-
Huenda mlipuko wa Ebola nchini DRC ukadumu kwa mwaka mmoja
Jun 17, 2026 03:18Imebainika kuwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola unaoendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado haujafikia kilele chake, na huenda ukadumu kwa takriban mwaka mmoja.
-
WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 13, 2026 02:37Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.