Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila, apinga vikwazo vya US mahakamani

    Rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila, apinga vikwazo vya US mahakamani

    Aug 23, 2026 13:54

    Katika kesi iliyofanyika mahakamani huko Washington, Joseph Kabila ambaye aliongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuanzia 2001 hadi 2019 ametaka jina lake liondolewe kwenye orodha nyeusi ya Wizara ya Fedha ya Marekani.

  • UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia

    UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia

    Aug 22, 2026 03:29

    Umoja wa Mataifa ulitangaza jana Ijumaa kwamba virusi vya Ebola vinaenea kwa kasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuua zaidi ya watu 2,500, ukitoa wito wa kutolewa misaada zaidi na kuonya kwamba ufadhili uliotolewa hadi sasa utaisha ndani ya wiki chache.

  • Matumaini baada ya DRC kupokea dozi 70,000  za chanjo ya Ebola

    Matumaini baada ya DRC kupokea dozi 70,000 za chanjo ya Ebola

    Aug 21, 2026 10:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, na Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa, Africa CDC, zimekaribisha uamuzi wa kuipatia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, dozi 70,000 za chanjo ya Ervebo ili kuimarisha mapambano dhidi ya mlipuko wa Ebola aina ya Bundibugyo.

  • WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3

    WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3

    Aug 19, 2026 09:12

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa bado kuna uwezekano wa kudhibiti mlipuko wa Ebola ambao unaenea kwa kasi inayopiku juhudi za kuuzuia, na ambao umekuwa mlipuko wa pili kwa ukubwa kuwahi kurekodiwa.

  • Mlipuko wa Ebola DRC sasa ni mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo

    Mlipuko wa Ebola DRC sasa ni mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo

    Aug 18, 2026 03:16

    Mlipuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umesababisha vifo vya watu 2,325 tangu mwezi Mei.

  • Katiba DRC: Muungano wa upinzani wa C64 waanza tena mvutano na serikali

    Katiba DRC: Muungano wa upinzani wa C64 waanza tena mvutano na serikali

    Aug 17, 2026 06:01

    Mvutano wa kisiasa umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya muda wa mwisho uliotolewa na wapinzani kumalizika siku ya Jumamosi, Agosti 15.

  • UN: Ebola inaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa huko Congo DR

    UN: Ebola inaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa huko Congo DR

    Aug 16, 2026 03:17

    Tom Fletcher, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kibinadamu, ametangaza kwamba mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo sasa unaua mtu mmoja kila baada ya nusu saa, akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kupambana na mlipuko huo.

  • Kongo: Mkurugenzi Mkuu wa WHO atahadharisha kuhusu mlipuko wa Ebola

    Kongo: Mkurugenzi Mkuu wa WHO atahadharisha kuhusu mlipuko wa Ebola

    Aug 13, 2026 03:39

    Baada ya kurejea kutoka ziarani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuhusu mlipuko wa Ebola.

  • DRC yajipanga kwa sensa ya kwanza ya kitaifa baada ya miaka 42

    DRC yajipanga kwa sensa ya kwanza ya kitaifa baada ya miaka 42

    Aug 10, 2026 03:12

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inajiandaa kufanya sensa yake ya kwanza ya kitaifa baada ya zaidi ya miongo minne, kazi kubwa inayolenga kuwapatia hadhi rasmi mamilioni ya raia ambao wameishi bila vitambulisho vya kitaifa vilivyotolewa na serikali.

  • UN: Watoto zaidi ya 300 wamefariki dunia kwa Ebola tangu kuanza mlipuko huo huko Kongo

    UN: Watoto zaidi ya 300 wamefariki dunia kwa Ebola tangu kuanza mlipuko huo huko Kongo

    Aug 08, 2026 12:55

    Watoto zaidi ya 300 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola tangu mlipuko huo uliopoikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Idadi hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa jana Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa, Farhan Haq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS