-
WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 13, 2026 02:37Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.
-
DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600
Jun 11, 2026 11:32Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola imepanda na kukaribia 600, huku kukiendelezwa uhamasishaji miongoni mwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga.
-
Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa
Jun 06, 2026 11:10Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.
-
Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC
Jun 05, 2026 02:53Idadi ya vifo kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi la waasi lenye misimamo mikali lililoanzia Uganda, imefikia 21 katika mji wa Mbau, ulioko mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).
-
Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mlipuko wa Ebola Kongo
Jun 01, 2026 11:44Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea na mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, wanawake nchini humo wametajwa kuwa kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi.
-
MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana
May 31, 2026 12:45Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) ikifuatilia ongezeko la dharura ya afya ya umma sambamba na kuwepo mamia ya visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola.
-
WHO yakadiria kiwango cha vifo vya Ebola kufikia asilimia 30-50 wakati mkuu wake akizuru DRC
May 30, 2026 03:34Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa kiwango cha vifo katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni kati ya asilimia 30 na 50, huku mkuu wa shirika hilo akizuru nchi hiyo kusaidia juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo hatari.
-
Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000
May 29, 2026 03:01Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola nchini humo imepindukia 1,000 huku kukiwa na ongezeko la maambukizi katika majimbo ya mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo
May 22, 2026 14:38Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.
-
Ebola imeua watu 139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda
May 21, 2026 12:56Takriban wagonjwa 600 sasa wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vikishukiwa kusababishwa na ugonjwa huo hali inayoongeza hofu ya kuenea zaidi kwa mlipuko wa sasa wa Ebola.