-
Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC
Feb 25, 2026 02:24Msemaji wa waasi wa M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali: Tumewauwa wapiganaji 50 wa M23 mashariki mwa Kongo
Feb 24, 2026 07:59Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamedai kuwa wamewauwa wapiganaji 50 waliokuwa wanachama wa kundi la waasi wa M23 na kuwateka nyara kadhaa katika mapigano makali hivi karibuni.
-
Mafuriko mashariki mwa Kongo yameacha zaidi ya kaya 2,500 bila makazi
Feb 23, 2026 10:00Zaidi ya kaya 2,500 zimeachwa bila makazi baada ya mito miwili kuvunja kingo zake na kusababisha mafuriko katika vijiji kadhaa katika eneo la kati, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo
Jan 28, 2026 07:30Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimeripoti kuwa kimewarejesha nyumbani Wanyarwanda 34, wakiwemo wapiganaji 15 wa zamani wa kundi la waasi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR).
-
Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS
Jan 27, 2026 02:53Wanamgambo wanaohusishwa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wamewaua raia wasiopungua 22 katika kijiji kimoja katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa na viongozi wa asasi za kiraia.
-
Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23
Jan 20, 2026 07:17Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeudhibiti tena mji wa mashariki wa Uvira baada ya waasi wa kundi la M23 kuondoka katika mji huo.
-
Maporomoko ya udongo mashariki mwa Kongo yauwa takriban watu 13
Jan 14, 2026 03:07Takriban watu 13 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya udongo yaliyotokea mashariki mwa Kongo mapema jana Jumanne. Watu wengien zaidi ya 30 hawajulikani waliko hadi sasa.
-
Mapigano mapya yaripotiwa kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23 karibu na mji muhimu wa Uvira
Jan 03, 2026 12:11Mapigano makali yamejiri leo Jumamosi kati ya waasi wa wenye silaha wa kundi la M23 na vikosi vinavyoiunga mkono serikali ya Kinshasa katika miji kadhaa karibu na mji wa Uvira, mashariki mwa DR Congo, vyanzo vya ndani vilisema.
-
DRC: Watu 1,500 wameuawa mashariki mwa nchi
Jan 02, 2026 02:47Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema zaidi ya raia 1,500 wameuawa katika ghasia zinazoendelea katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo tangu mapema mwezi Desemba, 2025 mpaka sasa.
-
Ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Kongo umekithiri na ni wa kimfumo
Jan 01, 2026 02:25Ukatili wa kingono dhidi ya watoto limekuwa jambo la kawaida, la kimfumo na unazidi kuongezeka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).