Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Raia 16 wauawa katika shambulio jipya la waasi mashariki mwa Kongo

    Raia 16 wauawa katika shambulio jipya la waasi mashariki mwa Kongo

    Jul 24, 2026 02:45

    Rais wasiopungua 16, wakiwemo wachimbaji madini, wameuawa katika shambulio la hivi karibuni la waasi wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika kijiji kimoja mkoani Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Idadi ya vifo vya Ebola yazidi 1,000 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Idadi ya vifo vya Ebola yazidi 1,000 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jul 24, 2026 02:40

    Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefikia watu zaidi ya 1,000.

  • Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni

    Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni

    Jul 19, 2026 12:44

    Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita waliwauwa watu wasiopungua 114 kuwatekanyara wengine 17. Haya yameelezwa Shirika la Ufuatiliaji Usalama la Kivu Security Tracker.

  • WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR

    WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR

    Jul 18, 2026 09:09

    Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • DRC yaripoti mlipuko wa Ebola katika mikoa mitano; idadi ya maambukizi yavuka 1,900

    DRC yaripoti mlipuko wa Ebola katika mikoa mitano; idadi ya maambukizi yavuka 1,900

    Jul 14, 2026 04:39

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeripoti kuenea kwa ugonjwa wa Ebola katika mikoa mitano, huku idadi ya kitaifa ya maambukizi ikipanda na kufikia visa 1,926 vilivyothibitishwa, ikiwa ni pamoja na vifo 702. Haya ni kwa mujibu wa ripoti rasmi iliyotolewa Jumapili na mamlaka za afya nchini humo.

  • Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne

    Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne

    Jul 11, 2026 11:28

    Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imevuka 1,800, kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa siku ya Jumamosi, huku virusi hivyo vikisambaa hadi mkoa wa nne katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais

    Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais

    Jul 11, 2026 02:45

    Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais

  • Idadi ya vifo kutokana na maradhi ya Ebola DRC vyafikia 506

    Idadi ya vifo kutokana na maradhi ya Ebola DRC vyafikia 506

    Jul 07, 2026 03:21

    Idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 506.

  • Huenda mlipuko wa Ebola nchini DRC ukadumu kwa mwaka mmoja

    Huenda mlipuko wa Ebola nchini DRC ukadumu kwa mwaka mmoja

    Jun 17, 2026 03:18

    Imebainika kuwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola unaoendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado haujafikia kilele chake, na huenda ukadumu kwa takriban mwaka mmoja.

  • WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 13, 2026 02:37

    Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS