Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini

    Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini

    Apr 28, 2026 09:27

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika jitihada za kuzuia uporaji wa madini yake, imetangaza mpango wa kupeleka kikosi maalumu cha wanamgambo kitakachokuwa na jukumu la kulinda sekta ya madini nchini humo.

  • Waasi wa ADF wauwa raia zaidi ya 80 mashariki mwa Kongo

    Waasi wa ADF wauwa raia zaidi ya 80 mashariki mwa Kongo

    Apr 25, 2026 11:17

    Waasi wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) wameripotiwa kufanya mauaji ya takriban raia 87 katika mashambulizi tofauti katika vijiji vya mkoa wa Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo

    Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo

    Apr 23, 2026 09:38

    Mkuu wa Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amesema kuwa amekutana na kuzungumza na maafisa wa majimbo kuhusu haja ya kufanyika mazungumzo na kufanya juhudi za pamoja ili kurejesha utulivu wa kudumu na kukabiliana na changamoto za kiusalama mashariki ya nchi.

  • Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Apr 21, 2026 09:24

    Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.

  • Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC

    Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC

    Feb 24, 2026 22:54

    Msemaji wa waasi wa M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali: Tumewauwa wapiganaji 50 wa M23 mashariki mwa Kongo

    Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali: Tumewauwa wapiganaji 50 wa M23 mashariki mwa Kongo

    Feb 24, 2026 04:29

    Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamedai kuwa wamewauwa wapiganaji 50 waliokuwa wanachama wa kundi la waasi wa M23 na kuwateka nyara kadhaa katika mapigano makali hivi karibuni.

  • Mafuriko mashariki mwa Kongo yameacha zaidi ya kaya 2,500 bila makazi

    Mafuriko mashariki mwa Kongo yameacha zaidi ya kaya 2,500 bila makazi

    Feb 23, 2026 06:30

    Zaidi ya kaya 2,500 zimeachwa bila makazi baada ya mito miwili kuvunja kingo zake na kusababisha mafuriko katika vijiji kadhaa katika eneo la kati, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo

    MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo

    Jan 28, 2026 04:00

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimeripoti kuwa kimewarejesha nyumbani Wanyarwanda 34, wakiwemo wapiganaji 15 wa zamani wa kundi la waasi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR).

  • Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS

    Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS

    Jan 26, 2026 23:23

    Wanamgambo wanaohusishwa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wamewaua raia wasiopungua 22 katika kijiji kimoja katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa na viongozi wa asasi za kiraia.

  • Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23

    Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23

    Jan 20, 2026 03:47

    Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeudhibiti tena mji wa mashariki wa Uvira baada ya waasi wa kundi la M23 kuondoka katika mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS