-
Onyo la viongozi wa China na Russia kwa Marekani kuhusu Afghanistan
May 18, 2024 03:39Marais Vladimir Putin wa Russia na Xi Jinping wa China wametangaza baada ya mkutano wao huko Beijing kwamba Marekani na NATO zinabeba dhima ya matokeo ya uvamizi wao wa miaka 20 nchini Afghanistan na hazipaswi kujenga miundombinu ya kijeshi katika nchi hiyo.
-
Kuenea vuguvugu la wanafunzi dhidi ya Israel kutoka Chuo Kikuu cha Columbia hadi Oxford
May 18, 2024 00:28Wanachama wa jopo la elimu na wafanyakazi zaidi ya 500 wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza wameandika barua ya kuunga mkono kambi ya mshikamano na matakwa ya wanafunzi wanaoandamana katika chuo kikuu hicho kuunga mkono Palestina na kulaani jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Wazayuni washambulia misafara ya misaada ya kibinadamu huko Gaza
May 17, 2024 05:54Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa, walowezi wa Kizayuni wamekuwa wakishambulia malori yanayobeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza karibu na mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Mafanikio ya uvumbuzi wa wanawake wa Iran katika nyanja mbalimbali
May 17, 2024 03:39Ingawa bado kuna pengo kubwa kati ya wavumbuzi wanawake na wanaume duniani lakini viashiria vilivyopo vinaonyesha kuwa juhudi zinazofanywa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuziba pengo hilo zinaendelea kwa kasi kubwa.
-
Maandamano ya Wazayuni dhidi ya Baraza la Mawaziri la Netanyahu katika Siku ya Nakba
May 16, 2024 05:47Moja ya matukio muhimu yaliyojiri katika Siku ya Nakba mwaka huu ni maandamano yaliyofanywa na Wazayuni wanaopinga vita dhidi ya Gaza. Wazayuni hao waliandamana mbele ya jengo la Wizara ya Vita ya Israel huko Tel Aviv.
-
Marekani kukanusha tena kutokea mauaji ya kimbari huko Ukanda wa Gaza, ni kukana ukweli ulio wazi
May 16, 2024 00:55Licha ya Wapalestina zaidi ya elfu 35,000 kuuawa shahidi na utawala wa kigaidi wa Israel huko Ukanda wa Gaza, lakini Jake Sullivan, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya White House nchini Marekani amedai bila kuona haya kwamba serikali ya Rais Joe Biden haiyachukulii mauaji hayo kuwa ni mauaji ya halaiki.
-
Sera za Iran kuhusu nishati ya nyuklia hazijabadilika
May 15, 2024 07:21Nasser Kanani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alitangaza Jumatatu 13 Mei kwamba, sera za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hazijabadilika.
-
Iran: Haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja
May 14, 2024 23:07Ali Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja kwani zote zinakiuka pakubwa haki za binadamu dhidi ya mateka na wafungwa, moja huko Negev na nyingine huko Guantanamo na Abu Ghraib.
-
Azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na nchi za eneo
May 14, 2024 04:30Hossein Amirabdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza katika kikao cha tatu cha mazungumzo ya Iran na nchi za Kiarabu kwa ajili ya maingiliano na ushirikiano kwamba Iran imeazimia kuboresha na kuimarisha maelewano na ushirikiano kati yake na nchi za eneo.
-
Sababu za kushindwa mazungumzo ya kusitishwa vita vya Gaza
May 14, 2024 00:08Khalil al-Hayya, Naibu Mkuu wa Hamas katika Ukanda wa Gaza, amefafanua jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel ulivyovuruga mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka.