-
Sababu za uwezekano wa kutokea vita kati ya utawala wa Kizayuni na Hizbullah ya Lebanon
Jun 08, 2024 01:52Katika hali ambayo utawala wa Kizayuni umeshindwa kufikia malengo yake ya kijeshi uliyoyatangaza katika vita dhidi ya Gaza, vyanzo vya habari vya Kizayuni vimeonya kuhusu harakati za baraza la mawaziri la utawala huo za kutaka kuingia katika vita vya pande zote na Hizbullah ya Lebanon.
-
Sisitizo jingine la Iran na Azerbaijan la kutekeleza makubaliano ya nchi mbili
Jun 07, 2024 23:02Katika mazungumzo yake ya simu na Kaimu Rais wa Iran, Mohammad Mokhber, sambamba na kutoa salamu za rambirambi kwa taifa la Iran kutokana na kuondokewa na Rais Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan, Ilham Aliyev, ameeleza mshikamano wake na serikali na wananchi wa Iran.
-
Radiamali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa hatua ya kisiasa na isiyo ya kujenga ya IAEA
Jun 07, 2024 08:30Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaja hatua ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ya kuidhinisha azimio jipya dhidi ya Iran kuwa ni hatua ya kisiasa na isiyo ya kujenga.
-
Ombi la Russia la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama la UN baada ya Ukraine kupata 'baraka' za kushambulia ardhi ya nchi hiyo
Jun 06, 2024 23:14Russia imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liitishe kikao kujadili kile ilichokiita "mwanga wa kijani" ulioonyeshwa na baadhi ya nchi za Magharibi wa kuipa idhini Ukraine ya kushambulia hadi ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Majibu ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon dhidi ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni
Jun 06, 2024 06:23Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, imejibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni kwa kushambulia kwa makombora ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo katili huko Palestina.
-
Baraza la Wawakilishi la Marekani lakabiliana na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC
Jun 06, 2024 01:31Kufuatia ombi la mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) la kutoa kibali cha kukamatwa viongozi wa utawala haramu wa Israel, Baraza la Wawakilishi la Marekani mnamo Jumanne, Juni 4, liliidhinisha mpango wa kuiwekea vikwazo mahakama hiyo ikiwa ni katika kuitetea Tel Aviv kwa hali na mali.
-
Bagheri Kani katika mkondo wa diplomasia ya muqawama
Jun 05, 2024 09:16Ali Bagheri Kani, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika muendelezo wa safari yake ya kieneo jana aliwasili Damascus, mji mkuu wa Syria kwa minajili ya kukutana na kufanya mashauriano na viongozi wa serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Uchambuzi wa matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kuhusu Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa
Jun 04, 2024 23:17Akizungumza siku ya Jumatatu katika maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 35 wa kifo cha Imam Khomeini (MA), mwanzilishi wa Mapinduzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi wa Kiislamu ametoa nadharia nyingine kuhusu Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.
-
Maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Imam Khomeini (MA) katika maeneo tofauti ya dunia
Jun 04, 2024 06:21Maadhimisho ya mwaka wa 35 wa kifo cha Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, yamefanyika katika sehemu tofauti za dunia, zikiwemo nchi za Kiafrika, wakati mmoja na nchini Iran.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kushindwa katika kukabiliana na nguvu za kijeshi za muqawama wa Kiislamu wa Lebanon.
Jun 03, 2024 22:45Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimekiri kwamba nguvu za utawala huo za kuzuia mashambulio ya muqawama wa Kiislamu wa Lebanon katika eneo la kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) zimedhoofika na kutoweka kabisa.