-
Azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na nchi za kieneo
May 13, 2024 08:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir Abdollahian amesisitiza katika kikao cha mkutano wa tatu wa Mazungumzo kati ya Iran na Waarabu uliopewa jina la "Kwa Ajili ya Ushirikiano na Maingiliano" kwamba Iran imeazimia kukuza na kuzidisha maelewano na ushirikiano na nchi za eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Vita vya Gaza na kuibuka mzozo kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni
May 12, 2024 22:39Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kuwa, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni hana mamlaka ya kisheria ya kuamua kuhusu hatima ya uongozi na uendeshaji wa Gaza baada ya vita.
-
Kukanushwa madai ya Israeli na serikali ya Uturuki
May 12, 2024 07:00Kufuatia kufichuliwa kufutwa vikwazo vya kiuchumi na kibiashara vya Uturuki dhidi ya utawala wa kibaguzi wa Israel, mivutano kati ya pande hizo mbili imeshtadi katika vyombo vya habari vya eneo na kimataifa.
-
Kushindwa kijiopolitiki Marekani barani Afrika
May 11, 2024 23:00Kama ilivyotarajiwa, Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imelazimika kukubali kuwaondoa huko Niger wanajeshi wote elfu moja wa nchi hiyo.
-
Kuidhinishwa rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa
May 11, 2024 07:51Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) hatimaye limeipigia kura ya ndio rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika umoja huo baada ya Marekani kukwamisha suala hilo kwa miaka kadhaa.
-
Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi ya Tehran
May 11, 2024 00:41Maonyesho ya 28 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Viwanda vya Usafishaji na Petrokemikali ya Iran yalianza Jumatano wiki hii mjini Tehran kwa kushirikisha zaidi ya makampuni 1,500 ya ndani na 250 ya kigeni.
-
Njama za utawala wa Kizayuni za kuzusha mgogoro wa kibinadamu Rafah
May 10, 2024 07:26Katika kuendeleza jinai zake utawala wa Kizayuni umepanga kuzusha mgogoro wa kibinadamu huko Rafah.
-
Madai ya Marekani ya kusimamisha kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni wa Israel
May 09, 2024 22:38Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin alidai siku ya Jumatano mbele ya Baraza la Seneti la nchi hiyo kwamba kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni wa Israel kumesimamishwa kwa sababu ya utawala huo kutekeleza operesheni ya kuivamia kijeshi Rafah, lakini pamoja na hayo bado hawajachukua uamuzi rasmi kuhusu hatima ya shehena hiyo ya silaha.
-
Kuthibitishwa ukweli wa utawala wa Kizayuni kutoweza kujilinda; matokeo muhimu ya vita vya Gaza
May 09, 2024 03:35Wachambuzi wa masuala ya uhusiano wa kimataifa wanaamini kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kujilinda bila ya msaada wa Marekani, na udhaifu wake katika uwanja huo umefichuka na kuanikwa peupe.
-
Mashambulizi ya Israel dhidi ya Rafah: Sababu na matokeo yake
May 08, 2024 22:54Katika hali ambayo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kukubaliana na mpango wa usitishaji vita wa Misri na Qatar, utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha mashambulizi makali dhidi ya mji wa Rafah huko Ukanda wa Gaza.