-
Kuongezeka uungaji mkono wa kimataifa kwa mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya Israel
Jan 23, 2024 05:01Afrika Kusini ikiwa moja ya nchi wanachama wa Mkataba wa Kuzuia na Kuadhibu Uhalifu wa Mauaji ya Kimbari, iliwasilisha shauri la mashtaka dhidi ya Israel kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki mnamo Desemba 29, 2023.
-
Kupungua pakubwa uungaji mkono kwa utawala wa Kizayuni duniani
Jan 22, 2024 22:42Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Morning Consult yanaonyesha kuwa uungaji mkono wa kimataifa kwa utawala wa Kizayuni umepungua sana kufuatia vita vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya wakazi wa Palestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Satalaiti ya Thuraya; nembo nyingine ya uwezo mkubwa wa wasomi vijana wa Iran
Jan 22, 2024 05:38Satalaiti ya Thuraya ambayo imebuniwa na kutengenezwa kwa juhudi na hima ya wasomi vijana wa Iran na kurushwa katika anga za juu, imefanikiwa kutuma taarifa zake za awali na kuthibitisha kuwa imetua sehemu iliyokusudiwa kwa mafanikio makubwa.
-
Mapendekezo ya Iran kwa ajili ya amani ya kudumu huko Palestina yawasilishwa NAM
Jan 21, 2024 23:27Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Mokhber, amewasilisha mapendekezo ya Iran kwa ajili ya kutatua suala la Palestina katika mkutano wa 19 wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) unaofanyika Kampala, nchini Uganda.
-
Shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Syria na kuuawa shahidi washauri watano wa Iran
Jan 21, 2024 05:50Washauri watano wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliuawa shahidi jana Jumamosi katika shambulizi la kigaidi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni huko Damascus, mji mkuu wa Syria.
-
IAEA; chombo cha mashinikizo ya Magharibi dhidi ya Iran
Jan 20, 2024 23:07Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Iran kupitia Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa IAEA katika wakati ambapo Jamhuri ya Kiislamu inashirikiana kikamilifu na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki hata nje ya majukumu yake.
-
Vita vya Gaza na kuongezeka changamoto ndani ya utawala wa Kizayuni
Jan 20, 2024 04:45Kuendelea vita vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza kumezidisha changamoto ndani ya utawala huo ghasibu.
-
Azma thabiti ya Iran na Pakistan ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kupambana na ugaidi
Jan 19, 2024 23:30Baada ya kushadidi mivutano ya mpakani kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Pakistan katika kipindi cha siku mbili zilizopita, viongozi wa Tehran na Islamabad wamesisitiza kuendeleza uhusiano wa kirafiki kati ya nchi mbili, kuheshimiwa umoja wa ardhi za mataifa hayo mawili na kuwepo uratibu na mashauriano ya karibu zaidi katika kupambana na magenge ya kigaidi.
-
Mitazamo inayokinzana ya utawala wa Biden kuhusu Ansarullah ya Yemen
Jan 19, 2024 07:08Sera na mienendo ya hivi karibuni ya serikali ya Joe Biden kuhusu harakati ya Ansarullah ya Yemen inaonyesha kusanganyikiwa kwa serikali ya Washington
-
Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza
Jan 18, 2024 23:57Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.