-
Mahudhurio ya Rais Raisi katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Sep 19, 2023 08:13Rais sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa mara pili akiwa kiongozi wa serikali, ameelekea nchini Marekani kuhutubia kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia
Sep 18, 2023 23:00Jenerali Mark Milley, mkuu wa majeshi ya Marekani, amesema ni vigumu kufikia natija ya haraka kuhusu vita vya Ukraine na kwamba muda mrefu zaidi unahitajika kabla ya Ukraine kufikia ushindi huo.
-
Njama za Marekani za kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Yemen
Sep 18, 2023 08:49Tangu mazungumzo kati ya Yemen na Saudi Arabia kuhitimisha vita yalipochukua mkondo wa azma ya kweli, harakati za kijeshi za Marekani na Uingereza nazo zimeongezeka na kuimarika ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika nchi hiyo.
-
Kutiwa saini mkataba mpya wa usalama; Muungano wa kijeshi kati ya Mali, Niger na Burkina Faso
Sep 17, 2023 23:10Baada ya kupita miezi kadhaa ya kushuhudiwa matukio ya kisiasa katika baadhi ya nchi za Kiafrika kama Mali na Burkina Faso na kuundwa serikali za kijeshi katika nchi hizo; hivi sasa nchi tatu yaani Niger, Burkina Faso na Mali zimesaini mkataba wa pamoja wa usalama ulipewa jina la " Muungano wa Nchi za Sahel."
-
Miaka 41 tangu kujiri mauaji ya Sabra na Shatila; kuendelea uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Kizayuni
Sep 17, 2023 08:34Mauaji ya Sabra na Shatila ni mfano mmoja tu wa jiani za kutisha zinazoendelezwa kwa malengo maalumu na utawala ghasibu wa Israel na kwa uungaji mkono wa nchi za Magharibi na hasa Marekani.
-
Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA
Sep 16, 2023 22:55Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Umoja wa Ulaya Alhamisi usiku, Josep Burrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya alitangaza kuwa nchi tatu za Ulaya, ambazo ni Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zimemwandikia barua zikitangaza kwamba hazitaondoa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran, ambavyo muda wake umepangwa kumalizika tarehe 18 Oktoba 2023.
-
Onyo kuhusu utumiwaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukraine
Sep 16, 2023 08:44Utumiaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukrainia na matokeo yake hatari yamewakasirisha watetezi wengi wa haki za binadamu na hata taasisi za kimataifa.
-
Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani dhidi ya Iran; jaribio la kuzidisha mashinikizo
Sep 15, 2023 22:45Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha mpango wa kiuadui dhidi ya Iran unaojulikana kama "Sheria ya Mahsa" kwa kura 410 za ndio na 3 za hapana. Mpango huo unailazimu serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wakuu wa Iran kwa kisingizio cha haki za binadamu, na wakati huo huo kupiga marufuku kuingizwa na kuuzwa nje silaha za Iran.
-
Madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi ya Troika ya Ulaya dhidi ya Iran
Sep 15, 2023 02:36Troika ya Ulaya inayoundwa na nchi tatu za Ulaya za Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zilidai katika taarifa ya pamoja siku ya Jumanne kwamba: "Iran haijatekeleza ahadi zake kwa mujibu wa makubaliano yake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki Machi mwaka huu."
-
Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa
Sep 15, 2023 02:23Vita nchini Sudan vingali vinaendelea na pande mbili zimeendelea kung'ang'ania misimamo yao hali ambayo imezifanya juhudi za kuhitimisha vita hivyo kutozaa matunda.