-
Rasimu ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na Israeli yapitishwa katika bunge la Iraq
May 13, 2022 21:42Bunge la Iraq limeidhinisha rasimu ya sheria inayopiga marufuku kuanzisha au kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Rasimu hiyo inatoa adhabu ya kifo kwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kuhusika na uhalifu huo.
-
Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili
May 13, 2022 06:27Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Amir wa Qatar aliwasili mjini Tehran siku ya Alhamisi kwa ziara rasmi ambapo amekutana na kuzungumza na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
UN yaishukuru Iran kwa msaada wake katika jitihada za kutatua mzozo wa Yemen
May 12, 2022 21:52Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen amesifu na kupongeza msaada wa Iran kwa shirika hilo katika jitihada za kutatua mgogoro wa Yemen.
-
Kuwaua kigaidi waandishi wa habari, mbinu chafu ya Wazayuni ya kujaribu kuficha jinai zake
May 12, 2022 02:49Mapema jana Jumatano, mwandishi wa habari ya televisheni ya al Jazeera, Shireen Abu Akleh, 51, alipigwa risasi na kuuliwa shahidi kwa damu baridi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wakati akiwa kwenye kazi yake ya kuripoti uvamizi wa kijeshi wa jeshi la Israel katika kambi ya wakimbizi wa Palestina ya Jenin.
-
Sababu ya Israel kuuchukulia kuwa 'malaika wa uokozi' uuzaji silaha na kuanzisha uhusiano wa kawaida na nchi ndogo za Kiarabu
May 11, 2022 21:54Kila utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unapohisi unakabiliwa na mbinyo mkali wa ndani na katika eneo, hususan pale unaposhindwa kujidhaminia usalama wake, huliibua haraka suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na baadhi ya nchi za Kiarabu, ili kwa njia hiyo uweze kujitoa kwenye mashinikizo na kutaka uonekane pia kwamba hauko peke yake, bali kuna nchi kadhaa ambazo ziko pamoja nao.
-
Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon
May 11, 2022 06:12Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuhusu matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na vituo kadhaa vya utafiti kwamba dukuduku la akthari ya watu wa Lebanon si silaha za Muqawama bali ni hali zao za maisha.
-
Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine
May 10, 2022 22:09Baa la njaa limegeuka na kuwa tatizo kubwa linaoukabili ulimwengu katika hali ya hivi sasa.
-
Kuendelea ukosoaji wa Algeria wa mauaji ya kinyama ya Ufaransa dhidi ya Waalgeria
May 10, 2022 04:26Licha ya kupita miongo kadhaa tangu Ufaransa ifanyye mauaji ya kinyama dhidi ya wananchi wa Algeria, lakini mafaili ya jinai hiyo yangali wazi na yanaweza kufuatiliwa.
-
Usitishaji vita; igizo la usanii inaofanya Saudia Yemen kwa kuutumia vibaya Umoja wa Mataifa
May 09, 2022 21:58Awamu ya kwanza ya ubadilishanaji mateka kati ya Yemen na Saudi Arabia imefanyika katika hali ambayo Riyadh ingali inazuia kufunguliwa tena Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a.
-
Mkutano wa Rais wa Syria na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
May 09, 2022 05:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, muqawama na kusimama imara wananchi na serikali ya Syria na ushindi waliopata katika vita vya kimataifa, vimeandaa mazingira ya kuongezeka itibari na heshima ya nchi hiyo; na akatilia mkazo kustawishwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria.