-
SAUTI, Madereva nchini Tanzania, waikosoa polisi kwa kuwanyang'anya leseni zao, wadai hilo haliwezi kuzuia ajali za barabarani
Jul 26, 2018 12:27Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani nchini Tanzania, limetangaza kuanzisha operesheni kali ya uhakiki wa leseni za madereva wote nchini huko kuanzia Agosti Mosi mwaka huu.
-
SAUTI, Zaidi ya vijana 2000 kutoka nchi za Afrika wanakutana nchini Rwanda kujadili umuhimu wa kuenzi tamaduni bora
Jul 26, 2018 11:52Zaidi ya vijana 2000 kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanakutana mjini Kigali Rwanda katika kujadili masuala muhimu yenye lengo la kuzishauri serikali za mataifa hayo kujiepusha na ukoloni mamboleo.
-
SAUTI, Ziara ya Narendra Modi nchini Uganda, kupanua kiwango uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kati ya nchi mbili
Jul 24, 2018 03:46Ziara ya Waziri Mkuu wa India nchini Uganda imetajwa kuwa itakayoboresha mahusiano ya nchi mbili, kutokana na kuwepo matumaini kuonyesha irada ya suala hilo.
-
SAUTI, Rais Xi Jin Ping wa China: Beijing imeazimia kuimarisha uhusiano mwema na nchi za bara la Afrika
Jul 23, 2018 11:01Rais wa China Xi Jin Ping amesema kuwa, nchi yake imejizatiti kuzidisha ushirikiano wake na bara la Afrika kutoka na hatua ya maendeleo yanayoendelea kuonekana barani humo.
-
SAUTI, Tanzania na Korea Kusini zaimarisha ushirikiano, zaondoa zuio la visa kwa wanadiplomasia na watumishi wa nchi mbili
Jul 22, 2018 11:49Waziri Mkuu wa Korea Kusini, Lee Nak-yeon ameanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchi Tanzania na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Jamuhuri ya Muungango wa Tanzania, Kassim Majaliwa.
-
China: Nchi za Afrika zijiepushe kuwaingiza madarakani wala rushwa
Jul 17, 2018 14:12Mkuu wa Idara ya Kimataifa na Waziri wa Mahusiano wa Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti nchini China (CPC), Song Tao, amezishauri serikali za mataifa ya bara la Afrika kuandaa mkakati maalumu ambao kwa mujibu wake utazuia viongozi wala rushwa kuingia madarakani.
-
SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia
Jul 14, 2018 12:50Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binaadamu nchini Kenya yameitaka serikali ya ya nchi hiyo kufuatialia hali ya Wakenya wanaofanya kazi mbalimbali katika nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.
-
SAUTI, Viongozi Chadema Tanzania: Tume ya Uchaguzi isimamie vyema uchaguzi wa Buyugu kuepusha ghasia
Jul 12, 2018 11:27Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia kwa haki uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani katika eneo la Buyugu mkoani Kigoma.
-
SAUTI, Marais Omar Al-Bashir wa Sudan na Yoweri Museven wa Uganda, wamelivalia njuga suala la Sudan Kusini
Jul 09, 2018 11:39Marais Omar al-Bashir wa Sudan na Yoweri Museven wa Uganda, wameongoza mazungumzo ya usuluhishi kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Sudan.
-
SAUTI, Sakata la kodi mpya kwa mitandao ya kijamii Uganda lazidi kutokota, Waganda waitisha maandamano nchi nzima kuipinga
Jul 07, 2018 12:34Sakata la kuwekwa kodi kwa mitandao ya kijamii nchini limezidi kutokota ambapo mara hii kundi la wanaharakati kwa kushirikiana na viongozi wa upinzani wameitisha maandamano ya nchi nzima kupinga kodi hiyo.