Oct 19, 2019 12:07
Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametembelea vibanda vya kuwahudumia wafanyaziara (Mawkib) katika kituo cha mpakani cha Chazabeh kusini magharibi mwa Iran na akizugumza na waandishi habari amesema, matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni mhimili wa kutaka uhuru na kutetea watu wa Palestina na pia ni mjumuiko dhidi ya Uzayuni.