Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Mar 19, 2016 13:13

    Uchaguzi uliofutwa mwaka jana katika visiwa vya Zanzibar ambayo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unatarajiwa kufanyika Jumapili ya kesho huku Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikitangaza kuwa, maandalizi yote kwa ajili ya uchaguzi huo yamekamilika.

  • CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    Mar 19, 2016 04:13

    Wananchi wa Zanzibar kesho Jumapili wanatazamiwa kuelekea kwenye masanduku ya kupiga kura katika uchaguzi wa marudio visiwani humo, ambao utashirikisha wagombea wa urais na wagombea wa ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka vyama mbalimbali.

  • Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Mar 17, 2016 23:20

    Donald Trump, anayewania uteuzi wa chama cha Republican kugombea kiti cha urais Marekani ametishia kuwa, iwapo hatateuliwa na chama hicho, basi watu wasubiri ghasia na machafuko kote Marekani.

  • Serikali ya Niger yatakiwa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kambi ya upinzani

    Serikali ya Niger yatakiwa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kambi ya upinzani

    Mar 13, 2016 23:02

    Jumuiya ya Wafanyakazi ya Niger imeitaka serikali ya nchi hiyo kufanya mazungumzo na kambi ya upinzani kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Sakata la uchaguzi wa Meya jijini Dar es Salaam, Tanzania + Sauti

    Sakata la uchaguzi wa Meya jijini Dar es Salaam, Tanzania + Sauti

    Mar 06, 2016 14:39

    Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wameitaka mamlaka inayohusika kusimamia uchaguzi wa meya wa jiji hilo unaokwama kufanyika kutokana na kuahirishwa mara kwa mara, kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi huo ili jiji hilo limpate kiongozi wake.

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Congo Brazzaville

    Kampeni za uchaguzi wa rais Congo Brazzaville

    Mar 06, 2016 03:53

    Wagombea tisa wa kiti cha urais huko Jamhuri ya Kongo wameanza kampeni zao za kuwania kiti cha urais.

  • Rais wa Gabon kuwania muhula wa pili mwaka huu

    Rais wa Gabon kuwania muhula wa pili mwaka huu

    Mar 01, 2016 04:22

    Rais wa Gabon Ali Bongo amesema atawania kuhifadhi kiti chake kwa muhula wa pili katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Mkuu wa tume ya uchaguzi Iran: Hakuna matokeo yoyote yaliyofutwa

    Mkuu wa tume ya uchaguzi Iran: Hakuna matokeo yoyote yaliyofutwa

    Feb 28, 2016 13:01

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa, hadi hivi sasa hakuna matokeo yoyote ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) na wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu yaliyofutwa.

  • Mgombea wa urais Niger ambaye yuko jela kuwania duru ya pili

    Mgombea wa urais Niger ambaye yuko jela kuwania duru ya pili

    Feb 28, 2016 04:26

    Rais wa sasa wa Niger Mahamadou Issoufou anayewania kuongoza kwa muhula wa pili atachuana na mpinzani wake wa karibu Hama Amadou, ambaye yuko kizuizini katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Machi 20 mwaka huu.

  • Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu

    Feb 28, 2016 04:24

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS