-
Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena
Jun 06, 2018 22:47Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.
-
Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani
Jun 06, 2018 10:01Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, James Clapper amekiri kwamba shirika hilo limehusika na uingiliaji wa chaguzi 81 kote duniani.
-
Upinzani Ivory Coast: Hatutaruhusu Ouattara agombee muhula wa tatu
Jun 04, 2018 22:37Muungano wa upinzani nchini Ivory Coast umesema hautaruhusu mpango wowote wa kumruhusu Rais Alassane Ouattara wa nchi hiyo kugombea muhula wa tatu.
-
Mahasimu wa kisiasa nchini Libya waafikiana kuhusu tarehe ya uchaguzi
May 29, 2018 09:32Pande hasimu za kisiasa nchini Libya zimeafikiana kuhusu kufanyika uchaguzi wa rais na wa bunge nchini humo Disemba 10 mwaka huu.
-
Amri ya Mahakama ya Katiba ya Madagascar ya kubuniwa nchini serikali ya umoja wa kitaifa
May 26, 2018 08:25Mahakama ya Katiba ya Madagascar imetoa amri ya kubuniwa serikali mpya ya umoja wa kitaifa kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo
May 19, 2018 21:51Muungano wa As- Sairun unaoongozwa na Muqtada Sadr umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini Iraq kwa kupata viti 54 vya uwakilishi bungeni huku muungano wa Fat-h unaoongozwa na Hadi al Amiri Katibu Mkuu wa Taasisi ya Badr ukinyakua viti 47 na muungano wa An- Nasr unaoongozwa na Waziri Mkuu Haidari al Abadi ukipata viti 42.
-
Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha
May 13, 2018 11:14Duru kutoka katika Tume Kuu Huru ya Uchaguzi ya Iraq leo imearifu kuwa orodha ya al Nasr yenye mfungamano na Haidar al Abadi Waziri Mkuu wa nchi hiyo inaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge yaliyotangazwa hadi sasa.
-
Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon
May 07, 2018 10:51Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.
-
Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9
May 07, 2018 10:42Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha al Nahdha kimedai kuwa kimeshinda katika uchaguzi wa mabaraza ya miji uliofanyika jana Jumapili nchini Tunisia.
-
Uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji Tunisia baada ya kupinduliwa dikteta wa nchi hiyo
May 05, 2018 22:03Uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji nchini Tunisia baada ya kujirti mapinduzi ya wananchi yaliyomg'oa madarakani dikteta wa nchi hiyo mwaka 2011 unafanyika leo Jumapili tarehe 6 Mei.