Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Apr 26, 2018 03:40

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.

  • Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Apr 16, 2018 08:04

    Mgogoro ndani ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC unaendelea kutokota huku nusu ya makamishna wa tume hiyo wakitangaza kujiuzulu.

  • Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Apr 10, 2018 16:37

    Rais Abdelazizi Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani baada ya miaka mingi kutoonekana kadamnasi kutokana na hali yake mbaya ya kiafya.

  • Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Apr 04, 2018 02:30

    Jeshi la Sierra Leone limekadhibisha tuhuma za kula njama ya kumuua kiongozi wa upinzani nchini humo, Brigedia Julius Maada Bio ambaye anadai kuwa ameibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais.

  • Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Apr 04, 2018 02:29

    Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.

  • UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya

    UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya

    Apr 01, 2018 04:09

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ni hatari kufanyika uchaguzi katika mazingira ya hivi sasa nchini Libya.

  • Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Mar 30, 2018 03:30

    Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Juu Sierra Leone yasogeza mbele tarehe ya uchaguzi

    Mahakama ya Juu Sierra Leone yasogeza mbele tarehe ya uchaguzi

    Mar 27, 2018 07:26

    Mahakama ya Juu ya Sierra Leone imeakhirisha tarehe ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais hadi Machi 31.

  • Sierra Leone kuendelea na duru ya pili ya uchaguzi licha ya agizo la mahakama

    Sierra Leone kuendelea na duru ya pili ya uchaguzi licha ya agizo la mahakama

    Mar 25, 2018 10:53

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Sierra Leone NEC imesema duru ya pili ya uchaguzi wa rais itafanyika kama ilivyopangwa, licha ya agizo la hivi karibuni la mahakama.

  • Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Mar 23, 2018 07:26

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameeleza kushtushwa na ripoti zinazosema kuwa nchi hiyo imesajili makumi ya vyama vya siasa vitakavyochuana na chama tawala Zanu-PF katika uchaguzi mkuu ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS