Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    May 04, 2018 23:59

    Hatimaye Mahakama Kuu ya Katiba nchini Madagascar imefuta sehemu ya sheria mpya ya uchaguzi iliyoibua hivi karibuni ghasia na maandamano ya wananchi.

  • Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    May 03, 2018 02:30

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza uungaji mkono wake kwa takwa la kamati ya pande nne la kuyakubali matokeo ya uchaguzi ujao katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Apr 25, 2018 23:10

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.

  • Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Apr 16, 2018 03:34

    Mgogoro ndani ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC unaendelea kutokota huku nusu ya makamishna wa tume hiyo wakitangaza kujiuzulu.

  • Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi

    Apr 10, 2018 12:07

    Rais Abdelazizi Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani baada ya miaka mingi kutoonekana kadamnasi kutokana na hali yake mbaya ya kiafya.

  • Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Apr 03, 2018 22:00

    Jeshi la Sierra Leone limekadhibisha tuhuma za kula njama ya kumuua kiongozi wa upinzani nchini humo, Brigedia Julius Maada Bio ambaye anadai kuwa ameibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais.

  • Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Apr 03, 2018 21:59

    Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.

  • UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya

    UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya

    Mar 31, 2018 23:39

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ni hatari kufanyika uchaguzi katika mazingira ya hivi sasa nchini Libya.

  • Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Mar 29, 2018 23:00

    Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Juu Sierra Leone yasogeza mbele tarehe ya uchaguzi

    Mahakama ya Juu Sierra Leone yasogeza mbele tarehe ya uchaguzi

    Mar 27, 2018 02:56

    Mahakama ya Juu ya Sierra Leone imeakhirisha tarehe ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais hadi Machi 31.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS