-
Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi
May 04, 2018 23:59Hatimaye Mahakama Kuu ya Katiba nchini Madagascar imefuta sehemu ya sheria mpya ya uchaguzi iliyoibua hivi karibuni ghasia na maandamano ya wananchi.
-
Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne
May 03, 2018 02:30Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza uungaji mkono wake kwa takwa la kamati ya pande nne la kuyakubali matokeo ya uchaguzi ujao katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq
Apr 25, 2018 23:10Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.
-
Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu
Apr 16, 2018 03:34Mgogoro ndani ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC unaendelea kutokota huku nusu ya makamishna wa tume hiyo wakitangaza kujiuzulu.
-
Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya miaka mingi
Apr 10, 2018 12:07Rais Abdelazizi Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani baada ya miaka mingi kutoonekana kadamnasi kutokana na hali yake mbaya ya kiafya.
-
Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais
Apr 03, 2018 22:00Jeshi la Sierra Leone limekadhibisha tuhuma za kula njama ya kumuua kiongozi wa upinzani nchini humo, Brigedia Julius Maada Bio ambaye anadai kuwa ameibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais.
-
Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri
Apr 03, 2018 21:59Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.
-
UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya
Mar 31, 2018 23:39Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ni hatari kufanyika uchaguzi katika mazingira ya hivi sasa nchini Libya.
-
Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri
Mar 29, 2018 23:00Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Mahakama ya Juu Sierra Leone yasogeza mbele tarehe ya uchaguzi
Mar 27, 2018 02:56Mahakama ya Juu ya Sierra Leone imeakhirisha tarehe ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais hadi Machi 31.