Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Sierra Leone kuendelea na duru ya pili ya uchaguzi licha ya agizo la mahakama

    Sierra Leone kuendelea na duru ya pili ya uchaguzi licha ya agizo la mahakama

    Mar 25, 2018 06:23

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Sierra Leone NEC imesema duru ya pili ya uchaguzi wa rais itafanyika kama ilivyopangwa, licha ya agizo la hivi karibuni la mahakama.

  • Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Rais Mnangagwa ashangazwa na kusajiliwa vyama 112 vya siasa Zimbabwe

    Mar 23, 2018 02:56

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameeleza kushtushwa na ripoti zinazosema kuwa nchi hiyo imesajili makumi ya vyama vya siasa vitakavyochuana na chama tawala Zanu-PF katika uchaguzi mkuu ujao.

  • Seif al-Islam Gaddafi ajiandikisha kugombea urais nchini Libya

    Seif al-Islam Gaddafi ajiandikisha kugombea urais nchini Libya

    Mar 20, 2018 04:31

    Mkuu wa Mipango ya Mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, yaani Seif al-Islam Gaddafi ametangaza kuwa, mwana huyo wa kiongozi wa zamani wa Libya ameandikisha jina lake la kuwa miongoni mwa wagombea katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo.

  • Rais Putin: Russia haiko katika mashindano ya silaha na nchi za Magharibi

    Rais Putin: Russia haiko katika mashindano ya silaha na nchi za Magharibi

    Mar 20, 2018 00:55

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametangaza kwamba, nchi yake haiko katika mashindano ya silaha na nchi za Marekani na Magharibi.

  • Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Mar 19, 2018 00:52

    Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Russia baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika jana.

  • UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    Mar 18, 2018 13:10

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono mpango wa kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe mwezi Julai mwaka huu.

  • Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Mar 17, 2018 00:18

    Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.

  • Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Mar 16, 2018 00:53

    Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.

  • Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Mar 13, 2018 03:57

    Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeko uhamishoni amezindua rasmi azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi ujao baadaye mwaka huu.

  • Mgombea wa upinzani nchini Sierra Leone aongoza huku duru ya pili ikitarajiwa

    Mgombea wa upinzani nchini Sierra Leone aongoza huku duru ya pili ikitarajiwa

    Mar 12, 2018 04:32

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais yanayoendelea kutangazwa nchini Sierra Leone yanaonesha kuwa, mgombea wa upinzani anaongoza huku akiwa amemuacha mbali mgombea wa chama tawala kwa zaidi ya kura elfu 15.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS