Jan 20, 2017 04:28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametoa ujumbe wa maombolezo kufuatia kuwaka moto na kuporomoka jengo la kibiashara la Plasco katikati ya Tehran na kuwapa mkono wa pole wafiwa wote na kuwataka maafisa husika kufanya juhudi zao zote kuhakikisha watu waliokwama kwenye jengo hilo wanaokolewa.