Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Nov 11, 2023 13:47

    Kufuatia kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Kabul na Islamabad, gazeti moja la Pakistan limeandika kuwa serikali ya nchi hiyo haiiungi mkono tena serikali ya Taliban ya Afghanistan katika ngazi ya kimataifa.

  • Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Nov 10, 2023 07:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mjibizo kwa shambulio lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya Hospitali ya Watoto ya Al-Nasr huko Gaza, na kueleza kwamba: "watoto wa Kipalestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni."

  • Safari ya ujumbe wa kiuchumi wa Afghanistan nchini Iran

    Safari ya ujumbe wa kiuchumi wa Afghanistan nchini Iran

    Nov 05, 2023 09:50

    Ujumbe wa kiuchumi wa Afganistan umefanya safari nchini Iran kwa madhumuni ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara wa pande mbili.

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Oct 15, 2023 15:20

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu ametoa wito wa kulindwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 10, 2023 02:36

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Oct 08, 2023 07:12

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika tetemeko la ardhi lililotokea jana nchini Afghanistan imepindukia 320.

  • Taliban yasema itajibu mapigo endapo Pakistan itaishambulia kijeshi Afghanistan

    Taliban yasema itajibu mapigo endapo Pakistan itaishambulia kijeshi Afghanistan

    Sep 19, 2023 06:45

    Katika mjibizo kwa kitisho ilichotoa Pakistan cha kufanya mashambulio ya kijeshi ndani ya ardhi ya Afghanistan, msemaji wa serikali ya Taliban amesema Kabul itajibu mapigo kwa shambulizi lolote litakalofanywa.

  • Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Sep 16, 2023 02:25

    Mkuu wa majeshi ya Marekani Jenerali Mark Milley amekiri kuwa vita ilivyoanzisha nchi hiyo huko Afghanistan vimeishia kwa kushindwa vikosi vya jeshi hilo.

  • Wasiwasi wa UN juu ya kuwepo na kuongezeka harakati za DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Wasiwasi wa UN juu ya kuwepo na kuongezeka harakati za DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Aug 29, 2023 02:44

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeelezea kwamba linatiwa wasiwasi na kuwepo na kuongezeka kwa shughuli za kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS