-
Njama za Uingereza za kuzuia uchunguzi kuhusu jinai za wanajeshi wake duniani
Aug 25, 2023 08:04Kwa mujibu wa televisheni ya Sky News, serikali ya Uingereza inatumia vizingizio mbalimbali vya kuzuia uchunguzi kuhusu jinai za wanajeshi wake katika nchi nyingi duniani vikiwemo visingizio vya kiusalama.
-
Athari haribifu za kisaikolojia kwa wasichana wanaozuiwa kuendelea na masomo nchini Afghanistan
Aug 24, 2023 02:32Madaktari wa masuala ya akili na saikolojia nchini Afghanistan wametoa tamko la kutisha linaloonesha ongezeko la wagonjwa wa akili hasa kati ya wasichana na uchunguzi wa madaktari hao unaonesha kuwa, kuzuiwa wasichana kuendelea na masomo kunachangia sana hali yao mbaya ya kisaikolojia, kujiona duni na kukata tamaa na msongo wa mawazo nchini humo.
-
Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan
Aug 18, 2023 02:24Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imesema kuwa njama za wavamizi na madola ya kibeberu zitashindwa tu nchini humo.
-
Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN
Aug 16, 2023 02:48Kundi la Taliban la Afghanistan limeadhimisha mwaka wa pili wa kurejea madarakani kwa kuutangaza mnasaba huo kuwa siku rasmi ya mapumziko ikiwa ni kusherehekea kutekwa kwa mji mkuu Kabul na kuanzishwa kile kilichotajwa kuwa ni hali kamili ya usalama kote nchini chini ya uongozi wa "Mfumo wa Kiislamu".
-
Wasiwasi wa Baraza la Usalama kwa hali ya kibinadamu nchini Afghanistan
Aug 08, 2023 02:08Akthari ya washiriki katika mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa chini ya kichwa "Ukosefu wa Usalama wa Chakula Duniani" walionyesha wasiwasi walionao kwa hali ya kibinadamu nchini Afghanistan.
-
Woga wa Marekani wa kukumbwa huko Ukraine na yale yale yaliyoikumba Washington nchini Afghanistan
Jul 31, 2023 02:31Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeonya kuhusu athari mbaya za ufisadi wa kiserikali nchini Ukraine kutokana na misaada isiyo na mahesabu ya kiuchumi inayomiminiwa nchi hiyo ya Ulaya Mashariki.
-
Taliban: Hatuhitaji kufanya mazungumzo wala kuwa na ushirikiano wowote na Marekani
Jul 23, 2023 02:17Waziri wa Ulinzi wa serikali ya Taliban amekanusha madai ya kuwepo mtandao wa Al-Qaeda nchini Afghanistan na kusema, "sisi hatuhitaji kufanya mazungumzo yoyote au kuwa na ushirikiano wowote na Marekani.
-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya viongozi kadhaa wa Taliban
Jul 23, 2023 02:17Baraza la Ulaya tarehe 20 mwezi huu wa Julai lilitangaza kuwawekea vikwazo Abdul Hakim Haqani Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu ya Afghanistan, Abdul Hakim Sharei Waziri wa Sheria na Moulavi Habibullah Agha Kaimu Waziri wa Elimu katika serikali ya mpito ya Afghanistan kwa kuhusika katika kuwanyima wasichana na wanawake wa Afghanistan haki yao ya kupata elimu, kupata haki ya kisheria, na haki sawa na wanaume wa nchi hiyo.
-
Mwito wa Russia wa uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan
Jun 21, 2023 02:41Ujumbe wa Russia umetoa mwito wa kuendelea kukusanywa taarifa na uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan. Mwito huo umetolewa katika kikao cha 53 cha Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa,
-
Iran yalaani shambulizi la bomu lililoua, kujeruhi makumi msikitini Afghanistan
Jun 09, 2023 01:25Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana huko Afghanistan na kuua na kujeruhi makumi ya watu.