Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Oct 15, 2023 15:20

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu ametoa wito wa kulindwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 10, 2023 02:36

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Oct 08, 2023 07:12

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika tetemeko la ardhi lililotokea jana nchini Afghanistan imepindukia 320.

  • Taliban yasema itajibu mapigo endapo Pakistan itaishambulia kijeshi Afghanistan

    Taliban yasema itajibu mapigo endapo Pakistan itaishambulia kijeshi Afghanistan

    Sep 19, 2023 06:45

    Katika mjibizo kwa kitisho ilichotoa Pakistan cha kufanya mashambulio ya kijeshi ndani ya ardhi ya Afghanistan, msemaji wa serikali ya Taliban amesema Kabul itajibu mapigo kwa shambulizi lolote litakalofanywa.

  • Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Mkuu wa majeshi ya Marekani akiri rasmi kuwa wameshindwa katika vita vya Afghanistan

    Sep 16, 2023 02:25

    Mkuu wa majeshi ya Marekani Jenerali Mark Milley amekiri kuwa vita ilivyoanzisha nchi hiyo huko Afghanistan vimeishia kwa kushindwa vikosi vya jeshi hilo.

  • Wasiwasi wa UN juu ya kuwepo na kuongezeka harakati za DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Wasiwasi wa UN juu ya kuwepo na kuongezeka harakati za DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Aug 29, 2023 02:44

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeelezea kwamba linatiwa wasiwasi na kuwepo na kuongezeka kwa shughuli za kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) nchini Afghanistan.

  • Njama za Uingereza za kuzuia uchunguzi kuhusu jinai za wanajeshi wake duniani

    Njama za Uingereza za kuzuia uchunguzi kuhusu jinai za wanajeshi wake duniani

    Aug 25, 2023 08:04

    Kwa mujibu wa televisheni ya Sky News, serikali ya Uingereza inatumia vizingizio mbalimbali vya kuzuia uchunguzi kuhusu jinai za wanajeshi wake katika nchi nyingi duniani vikiwemo visingizio vya kiusalama.

  • Athari haribifu za kisaikolojia kwa wasichana wanaozuiwa kuendelea na masomo nchini Afghanistan

    Athari haribifu za kisaikolojia kwa wasichana wanaozuiwa kuendelea na masomo nchini Afghanistan

    Aug 24, 2023 02:32

    Madaktari wa masuala ya akili na saikolojia nchini Afghanistan wametoa tamko la kutisha linaloonesha ongezeko la wagonjwa wa akili hasa kati ya wasichana na uchunguzi wa madaktari hao unaonesha kuwa, kuzuiwa wasichana kuendelea na masomo kunachangia sana hali yao mbaya ya kisaikolojia, kujiona duni na kukata tamaa na msongo wa mawazo nchini humo.

  • Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Aug 18, 2023 02:24

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imesema kuwa njama za wavamizi na madola ya kibeberu zitashindwa tu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS