-
Seneta wa Marekani akiri kwamba Washington ilifanya uvamizi wa wazi nchini Afghanistan
Jun 05, 2020 22:26Seneta wa chama cha Republican na mkuu wa Kamati ya Sheria katika Bunge la Seneti nchini Marekani amesema kuwa uwepo wa askari wa nchi hiyo huko Afghanistan ni uvamizi wa wazi na ulio kinyume cha sheria.
-
Sisitizo la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi nchini Afghanistan
Jun 01, 2020 12:49Mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amesisitizia kuendelea kuwepo askari wa nchi yake nchini Afghanistan.
-
Uhusiano mzuri wa Iran na Afghanistan katika kivuli cha mawasiliano endelevu
May 29, 2020 04:53Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulika masuala ya sheria amesema kuwa, ili kuzuia magendo ya binaadamu na safari haramu, Tehran imetiliana saini makubaliano mapya na serikali ya Afghanistan.
-
Afghanistan yazitaka nchi za Kiislamu kulaani jinai za Wazayuni
May 22, 2020 06:38Baraza la 'Ikhwatul-Muslimin' katika jimbo la Balkh nchini Afghanistan limewataka viongozi wa nchi za Kiislamu na Kiarabu kuhitimisha kimya chao dhidi ya jinai zinazotendwa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa madhlumu la Palestina.
-
Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo
May 20, 2020 02:22Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.
-
Watu 47 wafariki dunia katika mapigano mapya nchini Afghanistan
May 19, 2020 20:20Watu 47 wamefariki dunia katika mapigano mapya kati ya jeshi la serikali ya Afghanistan na wanachama wa kundi la Taleban katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Taliban yatishia kuendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya vikosi vya serikali ya Afghanistan
May 15, 2020 02:54Msemaji wa kundi la Taliban ametishia kuwa, kundi hilo litaendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya askari na taasisi za serikali ya Afghanistan.
-
Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia
May 12, 2020 01:38Baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilianzisha vita katika maeneo tofauti duniani kwa madai ya kupambana na ugaidi na hasa katika nchi mbili za Waislamu, za Afghanistan na Iraq ambazo hatimaye ilizikalia kwa mabavu.
-
Iran yasema madai ya Marekani dhidi yake ni 'mzaha mchungu'
May 06, 2020 03:28Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuashiria juu ya uhusiano madhubuti baina ya taifa hili na Afghanistan, imekosoa vikali madai ya Marekani dhidi ya Tehran kuhusu tukio la kupoteza maisha raia wa Kiafghani katika eneo la Herat, mpakani mwa nchi mbili hizi.
-
Kuwa tayari timu ya Uthabiti na Utangamano kwa ajili ya mazungumzo na Ashraf Ghani
May 05, 2020 23:35Timu ya uchaguzi ya “Uthabiti na Utangamano” inayoongozwa na Abdulllah Abdullah imetangaza kuwa, iko tayari kufanya mazungumzo na Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan kwa shabaha ya kuzuia kupunguzwa misaada ya kimataifa na kuendesha vita dhidi ya ugaidi.