-
Baada ya Abdullah Abdullah na Ashraf Ghani kila mmoja kuapishwa kuwa rais, mzozo mkubwa wa kisiasa waibuka Afghanistan
Mar 11, 2020 13:23Mzozo mkubwa wa kisiasa wa kugombania madaraka nchini Afghanistan umezidi kushika kasi, baada ya washindani wakubwa wawili ambao ni Ashraf Ghani na Abdullah Abdullah kumfuta kazi mwingine.
-
Ukosoaji wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan kuhusu kutowekwa wazi makubaliano ya Marekani na Taleban
Mar 08, 2020 07:03Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema kuwa makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na kundi la Taleban hayajulikani vyema.
-
ICC yaafiki uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan
Mar 06, 2020 08:03Oktoba mwaka 2001, kwa kisingizio cha hujuma za Sepemba 11 mwaka huo, Marekani ilianzisha uvamizi dhidi ya Afghanistan. Tokea wakati huo hadi sasa Marekani imeendelea kuikalia kwa mabavu Afghanistan na askari wake wametekeleza jinai dhidi ya raia wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na kuua raia wasio na hatia.
-
Licha ya kutia saini makubaliano ya amani, Taliban yaua zaidi ya askari 20 wa serikali Afghanistan
Mar 04, 2020 04:46Licha ya Marekani na kundi la Taliban kutiliana saini makubaliano ya kukomesha mapigano huko Afghanistan, msemaji wa jeshi la nchi hiyo kaskazini mwa Afghanistan amesema kuwa, zaidi ya wanajeshi 20 na polisi wa serikali wameuawa katika shambulio la kundi la Taliban kwenye wilaya ya Qunduz.
-
Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu kusainiwa mapatano baina ya Marekani na Taliban
Mar 02, 2020 22:53Iran inaunga mkono tukio lolote ambao litasaidia kuleta amani na uthabiti nchini Afghanistan na inaunga mkono jitihada zitakazoongozwa na Afghanistan ili kufikia lengo hilo.
-
Timu ya Uthabiti na Utangamano yaandaa hafla ya kumuapisha Abdullah Abdullah, Afghanistan
Mar 02, 2020 09:28Mjumbe wa ngazi ya juu wa kundi linalojulikana kwa jina la 'Uthabiti na Utengamano' ametangaza kwamba, kundi hilo linajiandaa kwa ajili ya hafla ya kumuapisha Abdullah Abdullah kama rais mpya wa Afghanistan.
-
Muhula wa kupunguzwa mapigano Afghanistan wamalizika kwa kuuawa, kujeruhiwa watu 80
Feb 29, 2020 23:07Takwimu rasmi zilizotangazwa na serikali ya Afghanistan zinasema kuwa muhula wa siku saba wa kupunguzwa mapigano nchini humo, umemalizika kwa kuuliwa na kujeruhiwa watu 80.
-
Hatimaye serikali ya Afghanistan na kundi la Taleban zakubaliana kuanza mazungumzo ya amani
Feb 29, 2020 13:45Duru za habari nchini Afghanistan zimearifu kwamba serikali ya Kabul na kundi la Taleban zimekubaliana kuanza mazungumzo ya amani baina yao.
-
Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan
Feb 24, 2020 21:52Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan zimeripoti kesi za kwanza za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona katika nchi hizo za eneo la Asia Magharibi.
-
Kutekelezwa makubaliano ya kupunguza mapigano nchini Afghanistan
Feb 23, 2020 06:59Makubaliano ya kupunguza mapigano nchini Afghanistan yalianza kutekelezwa Ijumaa iliyopita.