Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Oct 07, 2018 03:27

    Maulamaa wa Pakistan wametangaza utayari wao wa kusaidia kuhitimisha vita nchini Afghanistan na kurejesha amani ya kudumu katika nchi hiyo.

  • Qassemi: Madola huru yasimame kukabiliana na saiasa za kibeberu za Marekani

    Qassemi: Madola huru yasimame kukabiliana na saiasa za kibeberu za Marekani

    Sep 17, 2018 10:55

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Afghanistan na India kuhusiana na kuimarisha ushirikiano wa kieneo kilikuwa na mafanikio.

  • Radiamali ya mahakama ya ICC kwa vitisho vya Marekani

    Radiamali ya mahakama ya ICC kwa vitisho vya Marekani

    Sep 11, 2018 20:49

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake mjini Hague Uholanzi imejibu vitisho vya Marekani kwa kusema kuwa itaendelea kufanya uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan.

  • Afisa wa Umoja wa Mataifa apongeza uamuzi wa Kiongozi Muadhamu wa kuwapatia elimu watoto wa Kiafghani

    Afisa wa Umoja wa Mataifa apongeza uamuzi wa Kiongozi Muadhamu wa kuwapatia elimu watoto wa Kiafghani

    Sep 03, 2018 09:08

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) amesema kuwa agizo lililotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kuwapatia elimu watoto wa Kiafghani hapa Iran ni moja ya siasa zilizopiga hatua katika kutoa huduma kwa wakimbizi na ni hatua ya kupigiwa mfano na inayopasa kupongezwa.

  • Kundi la Taleban laapa kulitokomeza genge la Daesh nchini Afghanistan

    Kundi la Taleban laapa kulitokomeza genge la Daesh nchini Afghanistan

    Aug 30, 2018 10:53

    Kwa mara nyingine msemaji wa kundi la Taleban nchini Afghanistan ametoa onyo kali kwa wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Zarif: Marekani imejitakia yenyewe kutengwa kimataifa baada ya kujitoa katika JCPOA

    Zarif: Marekani imejitakia yenyewe kutengwa kimataifa baada ya kujitoa katika JCPOA

    Aug 16, 2018 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani imejitakia yenyewe kutengwa kimataifa baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia na Iran.

  • Maulama wa Afghanistan: Njia pekee ya kuhitimisha mauaji nchini ni kupambana na askari wa kigeni

    Maulama wa Afghanistan: Njia pekee ya kuhitimisha mauaji nchini ni kupambana na askari wa kigeni

    Aug 07, 2018 02:35

    Maulama na viongozi wa kikabila wa jimbo la Farah, magharibi mwa Afghanistan wamewataka askari wa kigeni waliomo nchini humo kuondoka mara moja.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti nchini Afghanistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti nchini Afghanistan

    Aug 04, 2018 03:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan.

  • Magaidi washambulia msikiti Afghanistan na kuua waumini 25 katika Swala ya Ijumaa

    Magaidi washambulia msikiti Afghanistan na kuua waumini 25 katika Swala ya Ijumaa

    Aug 03, 2018 10:59

    Magaidi wakufurishaji wameushambulia msikiti wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan na kuua waumini wasiopungua 25 na kujeruhi wengine zaidi ya 40.

  • Magaidi wa ISIS kaskazini mwa Afghanistan wahamishwa kwa helikopta zisizo na alama

    Magaidi wa ISIS kaskazini mwa Afghanistan wahamishwa kwa helikopta zisizo na alama

    Aug 02, 2018 03:41

    Mwanachama wa Baraza la Mkoa wa Jozjan nchini Afghanistan amefichua kuwa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh ambao wameshindwa katika mkoa huo hivi sasa wameanza kutoroka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS