Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Raia 14 wa Afghanistan wauawa katika hujuma ya ndege za Marekani

    Raia 14 wa Afghanistan wauawa katika hujuma ya ndege za Marekani

    Jul 22, 2018 02:43

    Raia 14 wa familia moja, wakiwemo watoto watatu wameuawa katika hujuma ya ndege za Marekani kaskazini mwa Afghansitan mkoani Kunduz.

  • Wanachama 300 wa Daesh na Teleban wauawa Afghanistan

    Wanachama 300 wa Daesh na Teleban wauawa Afghanistan

    Jul 21, 2018 09:59

    Msemaji wa Gavana wa Mkowa wa Jowzjan, kaskazini mwa Afghanistan amesema kuwa karibu watu 300 wameuawa katika mapigano yaliyoibuka hivi karibuni kati ya wanachama wa kundi la Taleban na Daesh, mkoani hapo.

  • Kuuliwa mamia ya raia wa Kiafghani katika mashambulizi ya anga ya Marekani

    Kuuliwa mamia ya raia wa Kiafghani katika mashambulizi ya anga ya Marekani

    Jul 21, 2018 08:54

    Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake kuwa katika kipindi cha miezi sita iliyopita Waafghani zaidi ya 350 wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulio ya anga ya Marekani.

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Dakta Kharrazi: Makundi ya kigaidi yanahamishiwa Afghanistan na kaskazini mwa Afrika

    Jul 15, 2018 09:38

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, baada ya makundi ya kigaidi kushindwa huko Syria na Iraq sasa yanahamishiwa katika maeneo mengine hususan Afghanistan na kaskazini mwa Afrika.

  • UN: Vifo vya raia Afghanistan vimevunja rekodi

    UN: Vifo vya raia Afghanistan vimevunja rekodi

    Jul 15, 2018 09:33

    Umoja wa Mataifa umetoa takwimu zinazoonyesha kuwa idadi ya vifo vya raia katika mgogoro uliodumu kwa muda mrefu nchini Afghanistan vimevunja rekodi kwa kuwa na watu 1,692 waliouawa katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu wa 2018.

  • Erik Prince: Trump anakusudia kubinafsisha vita vya Afghanistan

    Erik Prince: Trump anakusudia kubinafsisha vita vya Afghanistan

    Jul 12, 2018 10:27

    Mkuu wa zamani wa shirika la usalama la Blackwater lenye mafungamano na Marekani na utawala wa Kizayuni, ameelezea azma ya Washington ya kubinafsisha vita vya Afghanistan.

  • Rais wa Afghanistan aliamuru jeshi kuanza tena mashambulizi dhidi ya Taliban

    Rais wa Afghanistan aliamuru jeshi kuanza tena mashambulizi dhidi ya Taliban

    Jun 30, 2018 11:53

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ametangaza rasmi mwisho wa usitishaji wa mapigano dhidi ya kundi la Taliban na kuliamuru jeshi la nchi hiyo kuanza tena mashambulizi dhidi ya kundi hilo.

  • Taleban: Helikopta za Marekani zinawasaidia wanachama wa Daesh dhidi yetu

    Taleban: Helikopta za Marekani zinawasaidia wanachama wa Daesh dhidi yetu

    Jun 22, 2018 21:53

    Kundi la kigaidi la Taleban nchini Afghanistan limesema kwamba helikopta za kijeshi za Marekani zimekuwa zikiwasaidia wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika uwanja wa vita kati ya wanachama wa makundi hayo sambamba na kushambulia ngome za Taleban katika mkoa wa Nangarhar, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kundi la Taliban laua askari 30 wa Afghanistan katika mkoa wa Badghis

    Kundi la Taliban laua askari 30 wa Afghanistan katika mkoa wa Badghis

    Jun 20, 2018 03:08

    Licha ya serikali ya Afghanistan kutangaza kurefusha muda wa usitishaji vita wa upande mmoja kwa siku 10 zaidi, kundi la wapiganaji wa Taliban ambalo limekataa pendekezo hilo limetekeleza mashambulizi makubwa mapema leo lilioua makumi ya askari wa nchi hiyo katika mkoa wa Badghis.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS