Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Iran yataka mapatano ya kusimamisha mapigano yaendelee nchini Afghanistan

    Iran yataka mapatano ya kusimamisha mapigano yaendelee nchini Afghanistan

    Jun 17, 2018 10:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran imefurahishwa sana na mapatano ya kusimamisha mapigano baina ya kundi la Taleban na serikali ya Afghanistan kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr na ina hamu ya kuona mapatano hayo yanaendelea.

  • Sisitizo la Hamid Karzai la kufanyika mazungumzo ya amani ili kuwaondoa askari wa kigeni Afghanistan

    Sisitizo la Hamid Karzai la kufanyika mazungumzo ya amani ili kuwaondoa askari wa kigeni Afghanistan

    Jun 17, 2018 07:15

    Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema kuwa njia pekee ya kuwaondoa askari wa kigeni katika nchi hiyo ni kufanyika mazungumzo ya amani yatakayosimamiwa na serikali ya Kabul.

  • Qassemi: Magaidi wamedhamiria kuvuruga uthabiti na usalama wa Afghanistan

    Qassemi: Magaidi wamedhamiria kuvuruga uthabiti na usalama wa Afghanistan

    Jun 16, 2018 22:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana katika jimbo la Nangarhar nchini Afghanistan na kutuma salamu za kuifariji serikali na wananchi wa nchi hiyo.

  • Tangazo la Taliban la kusitisha vita na kupokewa vyema na serikali ya Afghanistan

    Tangazo la Taliban la kusitisha vita na kupokewa vyema na serikali ya Afghanistan

    Jun 10, 2018 22:11

    Serikali ya Afghanistan imetangaza kulikaribisha kwa mikono miwili tangazo lililotolewa na kundi la Taliban la kusitisha vita katika siku za Idul-Fitri.

  • Uungaji mkono wa kimataifa kwa Palestina; dalili ya kushindwa utawala ghasibu wa Israel

    Uungaji mkono wa kimataifa kwa Palestina; dalili ya kushindwa utawala ghasibu wa Israel

    Jun 08, 2018 08:38

    Sambamba na kufanyika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, mikutano na makongamano yamefanyika katika pembe mbalimbali za dunia kwa ajili ya kutangazwa uungaji mkono kwa taifa madhlumu la Palestina na kulaaniwa jinai za Wazayuni dhidi ya taifa hilo.

  • Wito wa maulamaa wa Afghanistan wa kukomeshwa vita nchini humo

    Wito wa maulamaa wa Afghanistan wa kukomeshwa vita nchini humo

    Jun 05, 2018 22:01

    Mashekhe na maulamaa elfu tatu wa Afghanistan wametoa wito wa kukomeshwa vita na machafuko nchini humo.

  • Rubani wa Russia apatikana hai baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita Afghanistan

    Rubani wa Russia apatikana hai baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita Afghanistan

    Jun 02, 2018 22:11

    Rubani wa Russia ambaye alitoweka na ikadhaniwa amefariki baada ya ndege yake kutunguliwa miaka 30 iliyopita wakati wa hujuma ya Jeshi la Shirikisho la Sovieti ya zamani nchini Afghanistan, amepatikana akiwa hai na anataka kurudi nyumbani.

  • Mashambulizi ya NATO dhidi ya makazi ya raia kaskazini magharibi mwa Afghanistan

    Mashambulizi ya NATO dhidi ya makazi ya raia kaskazini magharibi mwa Afghanistan

    May 25, 2018 01:58

    Ndege za kivita za Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO likiongozwa na Marekani limefanya mashambulizi katika maeneo mawili ya mkoa wa Badghis wa kaskazini magharibi mwa Afghanistan.

  • Qassemi: Nchi za Ulaya zitoe dhamana kuwa maslahi ya Iran yatazingatiwa katika mapatano ya JCPOA

    Qassemi: Nchi za Ulaya zitoe dhamana kuwa maslahi ya Iran yatazingatiwa katika mapatano ya JCPOA

    May 21, 2018 08:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Katika muda mfupi uliosalia, nchi za Ulaya zinapaswa kutoa dhamana kuwa maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatalindwa baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA."

  • Leon Panetta: Serikali ya Trump inaficha ukweli kuhusiana na vita vya Afghanistan

    Leon Panetta: Serikali ya Trump inaficha ukweli kuhusiana na vita vya Afghanistan

    May 14, 2018 22:11

    Waziri wa zamani wa Ulinzi nchini Marekani Leon Panetta ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump kwa kuficha ukweli wa mambo kuhusiana na kile kinachoendelea kuhusu vita nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS