-
Makumi wauawa katika mripuko mwingine wa bomu msikitini Kabul
Oct 06, 2022 03:03Makumi ya watu wamepoteza maisha katika shambulio la bomu lililolenga msikiti mmoja huko Kabul, mji mkuu wa Afghanistan, kwenye ua wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya Taliban.
-
Mauaji ya Hazara wa Afghanistan na sera za kindumakuwili za nchi Magharibi
Oct 05, 2022 07:12Idadi kubwa ya wanawake na wasichana wa Afghanistan wamefanya maandamano katika eneo la Dashte Barchi magharibi mwa Kabul, wakidai haki zao na kukomeshwa kwa mashambulizi ya kigaidi dhidi ya kaumu ya Hazara.
-
Russia na China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa
Sep 29, 2022 07:53Wawakilishi wa Russia na China wametaka kuachiwa huru fedha zote za Afghanistan zilizozuiwa. Wamebainisha hayo katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11
Sep 12, 2022 08:21Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.
-
UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan
Sep 10, 2022 11:37Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeitaka serikali ya Taliban inayotawala Afghanistan izifungue skuli zote za wasichana nchini humo.
-
Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa
Aug 30, 2022 09:43Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan.
-
Kuundwa serikali ya wote, msimamo wa kiistratijia wa Iran kuhusu Afghanistan
Aug 26, 2022 07:36Mwaka mzima umepita tangu kuingia tena madarakani kundi la Taliban nchini Afghanistan, lakini hadi hizi sasa kundi hilo halijatambuliwa kimataifa kutokana na misimamo yake.
-
Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan
Aug 26, 2022 07:16Watu wasiopungua 180 wamefariki dunia nchini Afghanistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.
-
Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya
Aug 20, 2022 10:08Katibu Mkuu wa Kamati ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi inayokamata kiwango kikubwa zaidi cha mihadarati na madawa ya kulevya duniani.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul
Aug 19, 2022 04:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililopelekea kuuawa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.