Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Makumi wauawa katika mripuko mwingine wa bomu msikitini Kabul

    Makumi wauawa katika mripuko mwingine wa bomu msikitini Kabul

    Oct 06, 2022 03:03

    Makumi ya watu wamepoteza maisha katika shambulio la bomu lililolenga msikiti mmoja huko Kabul, mji mkuu wa Afghanistan, kwenye ua wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya Taliban.

  • Mauaji ya Hazara wa Afghanistan na sera za kindumakuwili za nchi Magharibi

    Mauaji ya Hazara wa Afghanistan na sera za kindumakuwili za nchi Magharibi

    Oct 05, 2022 07:12

    Idadi kubwa ya wanawake na wasichana wa Afghanistan wamefanya maandamano katika eneo la Dashte Barchi magharibi mwa Kabul, wakidai haki zao na kukomeshwa kwa mashambulizi ya kigaidi dhidi ya kaumu ya Hazara.

  • Russia na  China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Russia na China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Sep 29, 2022 07:53

    Wawakilishi wa Russia na China wametaka kuachiwa huru fedha zote za Afghanistan zilizozuiwa. Wamebainisha hayo katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan

    UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan

    Sep 10, 2022 11:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeitaka serikali ya Taliban inayotawala Afghanistan izifungue skuli zote za wasichana nchini humo.

  • Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Aug 30, 2022 09:43

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan.

  • Kuundwa serikali ya wote, msimamo wa kiistratijia wa Iran kuhusu Afghanistan

    Kuundwa serikali ya wote, msimamo wa kiistratijia wa Iran kuhusu Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:36

    Mwaka mzima umepita tangu kuingia tena madarakani kundi la Taliban nchini Afghanistan, lakini hadi hizi sasa kundi hilo halijatambuliwa kimataifa kutokana na misimamo yake.

  • Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:16

    Watu wasiopungua 180 wamefariki dunia nchini Afghanistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Aug 20, 2022 10:08

    Katibu Mkuu wa Kamati ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi inayokamata kiwango kikubwa zaidi cha mihadarati na madawa ya kulevya duniani.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Aug 19, 2022 04:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililopelekea kuuawa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS