-
Nafasi muhimu ya Afrika katika soko la nishati duniani
Jul 19, 2023 23:14Gazeti la Economist limetabiri kuwa Afrika itakuwa na nafasi muhimu katika soko la nishati duniani katika siku zijazo kutokana na rasilimali zake nyingi za gesi asilia, mwanga wa jua na upepo.
-
Mchakato wa kupeleka barani Afrika; vifaa 50 vya tiba na zaidi ya aina 10 za dawa za Iran umeanza
Jul 14, 2023 23:15Mkuu wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Taasisi ya Sayansi, Teknolojia na Uchumi cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kinachohusiana na mashirika ya elimu na maarifa amesema kuwa, mchakato wa kupeleka vifaa 50 vya matibabu na zaidi ya aina 10 za dawa za Iran barani Afrika, umeanza.
-
Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda
Jul 13, 2023 07:10Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano jioni aliwasili Kampala katika safari rasmi ya siku mbili nchini Uganda ikiwa ni katika duru pili ya safari yake ya kikanda katika bara la Afrika. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.
-
Amir Abdollahian: Afrika ni bara lenye fursa nyingi zinazoendelea kuibuka
Jul 12, 2023 08:07Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema bara la Afrika lililo na jamii kubwa ya vijana, watu wazuri na wenye uchangamfu lina fursa nzuri na zinazoendelea kuimarika kwa manufaa ya wenyeji wa bara hilo na wawawekezaji wa kigeni.
-
Viongozi wa Afrika wajadili njia za kupunguza rushwa barani humo
Jul 09, 2023 08:38Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar nchini Tanzania, Hemed Suleman Abdulla amezitaka nchi mbalimbali barani Afrika kushirikiana na kushikamana ili kupunguza vitendo vya rushwa barani humo.
-
Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika
Jun 24, 2023 07:49Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imekanusha madai ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba Russia inavuruga utulivu barani Afrika na kuituhumu Moscow kwamba imetuma makundi ya mamluki barani humo.
-
Uhaba wa chakula watishia maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika
Jun 19, 2023 04:30Takriban watu milioni 20 katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na viwango vya kutisha vya uhaba wa chakula.
-
Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi
Jun 17, 2023 23:17Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.
-
Rais Sassou Nguesso: Afrika haiwezi kukaa kimya mkabala wa vita vya Russia na Ukraine
Jun 13, 2023 07:53Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Kongo amesema anaamini kuwa Afrika haiwezi kubakia kimya mkabala wa vita vinavyoendelea huko Ukraine. Rais Sassou Nguesso ameeeleza hayo akiwa safani nchini Ivory Coast katika ziara yenye lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya nchi mbili hizo.
-
AU yaonya kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea mapigano Sudan
Jun 12, 2023 08:26Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) ameonya juu ya matokeo mabaya ya kuendelea vita na mapigano nchini Sudan. Mapigano hayo ni baina ya jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al Burhan, na vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) chini ya uongozi wa Muhammad Hamdan Daghalo Kamanda.