Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Nafasi muhimu ya Afrika katika soko la nishati duniani

    Nafasi muhimu ya Afrika katika soko la nishati duniani

    Jul 19, 2023 23:14

    Gazeti la Economist limetabiri kuwa Afrika itakuwa na nafasi muhimu katika soko la nishati duniani katika siku zijazo kutokana na rasilimali zake nyingi za gesi asilia, mwanga wa jua na upepo.

  • Mchakato wa kupeleka barani Afrika; vifaa 50 vya tiba na zaidi ya aina 10 za dawa za Iran umeanza

    Mchakato wa kupeleka barani Afrika; vifaa 50 vya tiba na zaidi ya aina 10 za dawa za Iran umeanza

    Jul 14, 2023 23:15

    Mkuu wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Taasisi ya Sayansi, Teknolojia na Uchumi cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kinachohusiana na mashirika ya elimu na maarifa amesema kuwa, mchakato wa kupeleka vifaa 50 vya matibabu na zaidi ya aina 10 za dawa za Iran barani Afrika, umeanza.

  • Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uganda

    Jul 13, 2023 07:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano jioni aliwasili Kampala katika safari rasmi ya siku mbili nchini Uganda ikiwa ni katika duru pili ya safari yake ya kikanda katika bara la Afrika. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

  • Amir Abdollahian: Afrika ni bara lenye fursa nyingi zinazoendelea kuibuka

    Amir Abdollahian: Afrika ni bara lenye fursa nyingi zinazoendelea kuibuka

    Jul 12, 2023 08:07

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema bara la Afrika lililo na jamii kubwa ya vijana, watu wazuri na wenye uchangamfu lina fursa nzuri na zinazoendelea kuimarika kwa manufaa ya wenyeji wa bara hilo na wawawekezaji wa kigeni.

  • Viongozi wa Afrika wajadili njia za kupunguza rushwa barani humo

    Viongozi wa Afrika wajadili njia za kupunguza rushwa barani humo

    Jul 09, 2023 08:38

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar nchini Tanzania, Hemed Suleman Abdulla amezitaka nchi mbalimbali barani Afrika kushirikiana na kushikamana ili kupunguza vitendo vya rushwa barani humo.

  • Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Jun 24, 2023 07:49

    Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imekanusha madai ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba Russia inavuruga utulivu barani Afrika na kuituhumu Moscow kwamba imetuma makundi ya mamluki barani humo.

  • Uhaba wa chakula watishia maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika

    Uhaba wa chakula watishia maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika

    Jun 19, 2023 04:30

    Takriban watu milioni 20 katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na viwango vya kutisha vya uhaba wa chakula.

  • Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Jun 17, 2023 23:17

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.

  • Rais Sassou Nguesso: Afrika haiwezi kukaa kimya mkabala wa vita vya Russia na Ukraine

    Rais Sassou Nguesso: Afrika haiwezi kukaa kimya mkabala wa vita vya Russia na Ukraine

    Jun 13, 2023 07:53

    Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Kongo amesema anaamini kuwa Afrika haiwezi kubakia kimya mkabala wa vita vinavyoendelea huko Ukraine. Rais Sassou Nguesso ameeeleza hayo akiwa safani nchini Ivory Coast katika ziara yenye lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya nchi mbili hizo.

  • AU yaonya kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea mapigano Sudan

    AU yaonya kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea mapigano Sudan

    Jun 12, 2023 08:26

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) ameonya juu ya matokeo mabaya ya kuendelea vita na mapigano nchini Sudan. Mapigano hayo ni baina ya jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al Burhan, na vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) chini ya uongozi wa Muhammad Hamdan Daghalo Kamanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS