-
Sheikh Ali Saeed: Urithi wa Imam Khomeini unaendelea kuwatia moyo Waislamu + Video
May 31, 2023 05:32Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Ja'fari mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya amesema: Fikra za Imam Ruhullah Khomeini zinatia matumaini mema na ni nguzo ya kuwawezesha na kuwapa nguvu Waislamu duniani.
-
Iran yaipongeza Afrika kwa maadhimisho ya miaka 60 ya AU
May 26, 2023 06:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameyapongeza mataifa ya Afrika kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 60 ya kuundwa Umoja wa Afrika.
-
AU yaonya: Afrika isigeuzwa uwanja wa kutunishiana misuli madola makubwa
May 26, 2023 06:24Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) wameyaonya madola makubwa duniani hasa ya Magharibi dhidi ya kuligeuza bara la Afrika kuwa medani ya malumbano na kutununishiana misuli, wakati huu ambapo baadhi ya nchi za bara hilo zinakabiliwa na changamoto za kiusalama.
-
Ripoti: Ulaya inatupa barani Afrika na Asia asilimia 90 ya nguo za mitumba
May 24, 2023 21:56Ripoti ya karibuni inaonyesha kuwa asilimia 90 ya nguo zilizotumika na taka za nguo kutoka nchi za Ulaya zimekuwa zikipelekwa Afrika na Asia kupitia mauzo ya nje.
-
UN: Eneo la Sahel Afrika linahitaji msaada wa kimataifa ili kupambana na wanamgambo wenye silaha
May 17, 2023 21:37Eneo la Sahel barani Afrika limekuwa kitovu cha jinai na vitendo vya uchupaji mipaka, hata hivyo kikosi maalumu cha wanajeshi kilichoundwa mwaka 2014 kutokomeza makundi ya waasi yenye mfungamano na makundi ya kigaidi ya Daesh (ISIS), al Qaida na mengineyo, kimeshindwa kuzuia hujuma na mashambulizi ya makundi hayo.
-
Ujerumani: Tunaunga mkono Afrika iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN
May 06, 2023 08:42Kansela Olaf Scholz wa Ujerumani amesema nchi yake inaunga mkono mpango wa bara la Afrika kuwa na uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika
Apr 28, 2023 07:57Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yametangaza kwamba mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 katika nchi za Ethiopia, Kenya na Somalia, huku watu milioni 18.6 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.
-
Kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika kupundukia dola bilioni 2
Apr 24, 2023 10:44Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametabiri kuwa kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika kitafika zaidi ya dola bilioni mbili.
-
WHO: Malaria bado ni tishio kwa Afrika
Apr 23, 2023 22:01Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa malaria, bado inatambuliwa kuwa tishio kwa bara la Afrika, haswa kutokana na kuongezeka usugu wa maradhi hayo kwa matibabu, licha ya chanjo zinazotolewa za kukabiliana na malaria.
-
Waafrika wamwambia Makamu wa Rais wa Marekani: Hatutaki ushoga
Mar 30, 2023 08:41Ziara inayofanywa na Makamu wa Rais wa Marekani katika nchi tatu za Afrika imeambatana na malalamiko na wasiwasi mkubwa baina ya raia wa nchi za Afrika ambao wanamini kuwa moja ya malengo muhimu ya kiongozi huyo wa ngazi za juu wa Marekani barani Afrika ni kupigia debe ushoga na usagaji.