Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU

    HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU

    Oct 18, 2021 00:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).

  • Faki Mahamat: Utegemezi unatishia uhuru wa kujitawala AU

    Faki Mahamat: Utegemezi unatishia uhuru wa kujitawala AU

    Oct 15, 2021 00:49

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema mataifa ya bara hilo yanapaswa kushirikiana na kufanya kazi pamoja, ili kuhakikisha kuwa yanaondokana na utegemezi na vilevile yanajikomboa kifedha.

  • AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    Oct 12, 2021 04:37

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetangaza kuunga mkono pendekezo la kuundwa kikosi cha pamoja cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, kitakachochukua nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom), iwapo wazo hilo litapasishwa.

  • Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Oct 07, 2021 23:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.

  • Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Oct 07, 2021 21:19

    Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema bara la Afrika limeshuhudia kupungua kwa maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha wiki moja.

  • Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Oct 05, 2021 04:34

    Kesi zilizothibitishwa za maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika nchi 55 za Kiafrika hadi kufikia jana Jumatatu zimepindukia watu milioni nane na laki tatu.

  • WHO: Asilimia 4 tu ya Waafrika ndio waliopata chanjo ya corona

    WHO: Asilimia 4 tu ya Waafrika ndio waliopata chanjo ya corona

    Sep 30, 2021 08:24

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, nchi 14 za Afrika pekee ndizo zilizokuwa zimetoa chanjo ya corona kwa zaidi ya asilimiia 10 ya jamii zao hadi kufikia mwishoni mwa mwezi uliopita wa Septemba.

  • WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    Sep 24, 2021 08:08

    Wanasayansi na wasomi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) wametahadharisha kuhusu mambukizo mapya ya kirusi cha corona katika miezi ya mwisho ya mwaka huu barani Afrika.

  • Mwenyekiti wa AU ataka Afrika iwe na kiti cha uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN

    Mwenyekiti wa AU ataka Afrika iwe na kiti cha uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN

    Sep 22, 2021 09:14

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambaye ni mwenyekiti sasa wa Umoja wa Afrika AU amewasilisha malalamiko kadhaa ya bara hilo katika mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ulioanza jana mjini New York, likiwemo la bara la Afrika kupatiwa uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN.

  • Wafanyamapinduzi Guinea wakataa wito wa kuachia madaraka, wasema hawababaishwi na vikwazo

    Wafanyamapinduzi Guinea wakataa wito wa kuachia madaraka, wasema hawababaishwi na vikwazo

    Sep 19, 2021 12:04

    Kundi la wanajeshi waliotwaa madaraka ya nchi huko Guinea kupitia mapinduzi limepinga mashinikizo ya kimataifa yanayotaka kuachiliwa huru rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeshikiliwa kizuizini, Alpha Conde na kurejeshwa kwa utawala wa kiraia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS