-
Ufaransa yadai kumuua kiongozi wa Daesh katika eneo la Sahel
Sep 16, 2021 03:35Rais wa Ufaransa ametangaza habari ya kuuliwa kiongozi wa magaidi wa kundi la Daesh katika eneo la Sahel.
-
Watu milioni 7.87 wameambukizwa corona barani Afrika
Sep 04, 2021 22:46Nchi za Kiafrika zilirekodi maambukizi mapya 25,477 ya COVID-19 katika masaa 24 kufikia Jumamosi na hivyo kuifanya jumla ya watu walioambukizwa ugonjwa huo hadi kufikia sasa barani humo kuwa milioni 7.87.
-
Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU
Aug 29, 2021 21:58Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Hofu ya Baraza la Usalama ya kuenea ugaidi barani Afrika
Aug 20, 2021 21:58Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeleeza wasi wasi wao juu ya kuenea harakati za makundi ya kigaidi katika nchi za Afrika.
-
WHO: Vifo vya COVID-19 vimeongezeka katika nchi za Afrika, eneo la Magharibi ni kwa 193%
Aug 20, 2021 03:10Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, Afrika Magharibi imeorodhesha idadi kubwa zaidi ya vifo vya ugonjwa wa Covid-19 tangu janga hilo lilipoanza huku nchi kadhaa za ukanda huo zikiwa zinakabiliwa na miripuko mingine ya kipindupindu, ugonjwa wa Ebola na ugonjwa wa Virusi vya homa ya Marburg ambayo inatishia kuongeza shinikizo katika uwezo wa utoaji huduma katika ukanda huo.
-
Algeria yaendelea kupinga Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika
Aug 09, 2021 21:55Utata mkubwa ulioibuka baada ya utawala wa Kizayuni wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika ungali unaendelea.
-
Idadi ya walioaga dunia kwa Corona yavunja rekodi Afrika
Aug 06, 2021 07:50Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa idadi ya wagonjwa walioaga dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 katika nchi za Kiafrika imevunja rekodi.
-
Raeisi ataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Afrika
Aug 05, 2021 08:05Rais wa Iran amesema kiwango cha uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Ghana hakiridhishi na kwamba kuna haja ya kuimarishwa zaidi mahusiano hayo.
-
Msimamo mmoja wa nchi 14 za Afrika wa kupinga utawala wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika
Aug 01, 2021 02:15Kanali ya al-Waaqe' ya Algeria ilitangaza Jumamosi kuwa nchi hiyo imeanzisha rasmi mchakato wa kubuni kundi la Kiafrika litakalofuatilia kutenguliwa uamuzi wa kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika AU, ili kulinda misingi ya umoja huo inayounga mkono taifa la Palestina.
-
Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 6 na laki 6
Jul 31, 2021 22:30Idadi ya kesi za ugonjwa wa Covid-19 (Corona) zilizothibitishwa katika nchi za Afrika kufikia jana Jumamosi imepindukia laki sita.