Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Uchumi wa Afrika kupungua kwa asilimia -3.3 mwaka 2020

    Uchumi wa Afrika kupungua kwa asilimia -3.3 mwaka 2020

    Oct 11, 2020 04:20

    Ustawi wa uchumi katika eneo la Afrika kusini mwa jangwa la Sahara unakadiriwa kuwa hasi kwa asilimia -3.3 kwa mwaka huu kutokana na athari za virusi vya Corona.

  • WHO: Corona imezidisha idadi ya wenye kupatwa na matatizo za kiakili Afrika

    WHO: Corona imezidisha idadi ya wenye kupatwa na matatizo za kiakili Afrika

    Oct 09, 2020 04:24

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetadharisha juu ya ongezeko la watu wanaokumbwa na matatizo ya kisaikolojia barani Afrika, kutokana na athari hasi za janga la corona.

  • UN: Afrika imepoteza dola bilioni 800 kutokana na magendo

    UN: Afrika imepoteza dola bilioni 800 kutokana na magendo

    Sep 30, 2020 01:09

    Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD) limesema bara la Afrika limepoteza zaidi ya dola bilioni 800 ndani ya miaka michache iliyopita kutokana na magendo na mzunguko haramu wa fedha.

  • AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    Sep 23, 2020 04:48

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye ni Mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika (AU) amesema muundo wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo unapaswa kuangaliwa upya kwa kuwa namna ulivyo hauakisi taswira halisi ya dunia ya leo.

  • UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    Sep 22, 2020 22:05

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umezitaka serikali za nchi za mashariki na kusini mwa Afrika kufungua shule haraka iwezekanavyo sambamba na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanakuwa salama wanaporejea shuleni.

  • Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Sep 21, 2020 23:11

    Uturuki imetangaza kuwa itaendelea kuiunga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa ya Libya licha ya Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj kutangaza wiki iliyopita kwamba, anapanga kuondoka madarakani mwishoni mwa mwezi ujao.

  • Covid-19; WHO yaainisha kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika

    Covid-19; WHO yaainisha kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika

    Sep 20, 2020 22:57

    Huku jitihada za kutafuta chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 zikiendelea katika nchi kadhaa duniani, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeafiki kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika kwa ajili ya kutibu ugonjwa huo.

  • Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake

    Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake

    Sep 13, 2020 09:07

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtahadharisha mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron kuhusu matatizo atakayokumbana nayo mkabala wake yeye na kumkumbusha jinai na uhalifu uliofanywa na Paris barani Afrika.

  • AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    Sep 06, 2020 03:13

    Umoja wa Afrika (AU) umesisitizia udharura wa kukusanya mamilioni ya silaha zinazimilikiwa na raia kinyume cha sheria katika nchi za Afrika.

  • Katibu Mkuu wa UN: COVID-19 imevuruga utalii, ajira milioni 120 ziko hatarini

    Katibu Mkuu wa UN: COVID-19 imevuruga utalii, ajira milioni 120 ziko hatarini

    Aug 25, 2020 22:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema janga la COVID-19 limevuruga utalii duniani kote na kuleta masaibu mengi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS