-
Tahadhari kuhusu hali ya mgogoro katika nchi za mashariki mwa Afrika
Mar 27, 2017 07:31Mgogoro wa ukame katika eneo la mashariki mwa Afrika umeulazimisha Umoja wa Mataifa kutoa onyo kuhusiana na hatari ya janga la wakimbizi kwenye eneo hilo.
-
UN yaanzisha kampeni mpya ya kutokomeza Polio Afrika
Mar 25, 2017 03:13Kampeni ya chanjo ya aina yake kuwahi kufanyika katika bara la Afrika dhidi ya polio itatoa chanjo kwa watoto milioni 116 wiki ijayo katika nchi 13 za Afrika Magharibi na Kati, limesema Shirika la Afya Duniani, WHO na Shirika la Kuhudumia Watoto, UNICEF.
-
Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika
Mar 16, 2017 11:24Darul Iftaa ya Misri imetangaza kuwa, nchi za Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kwamba nchi hizo zinapaswa kulazimishwa kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.
-
Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika
Mar 07, 2017 01:00Wimbi la vifo vinavyotokana na ukame na njaa limezikumba nchi kadhaa za Afrika hususan mashariki mwa bara hilo.
-
Safari ya ujumbe wa Baraza la Usalama Barani Afrika
Mar 06, 2017 10:27Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameanza safari ya kuzitembelea nchi nne za eneo la Ziwa Chad. Safari hiyo inafanyika huku eneo hilo likisumbuliwa na changamoto kubwa ya ugaidi na tatizo la wimbi kubwa la wakimbizi.
-
FAO: Maeneo ya Mashariki mwa Afrika yataendelea kukabiliwa na hali mbaya ya chakula
Mar 03, 2017 00:37Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuwa, ukame na vita vitaifanya hali ya chakula kuwa mbaya sana barani Afrika hususan baadhi ya maeneo ya mashariki mwa bara hilo.
-
Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi tena
Mar 01, 2017 12:37Kama ilivyokuwa mwaka juzi, tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim mwaka jana 2016 pia imekosa mshindi.
-
UN: Kuna njaa kubwa Afrika na Yemen
Feb 23, 2017 03:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen huku akisema hali ya Sudan Kusini ni mbaya sana
-
Amnesty yakosoa ukiukwaji haki za binadamu Afrika Mashariki
Feb 23, 2017 03:00Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa ukiukwaji wa haki za binadmau barani Afrika.
-
Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika
Feb 22, 2017 00:36Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.