Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UNSC yataka kukomeshwa migogoro magharibi mwa Afrika

    UNSC yataka kukomeshwa migogoro magharibi mwa Afrika

    Jan 22, 2017 01:07

    Umoja wa Mataifa umetangza uungaji mkono wake kamili kwa juhudi za upatanishi na kuzuia migogoro na mivutano katika eneo la magharibi mwa Afrika.

  • Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Jan 13, 2017 09:43

    Kikao cha 27 cha viongozi wa nchi za Kiafrika na Ufaransa kimeanza leo Ijumaa huko Bamako mji mkuu wa Mali kwa shabaha ya kuchunguza masuala ya kiuchumi, migogoro ya Kisasa na kiusalama yanayolikabili bara la Afrika.

  • Saudi Arabia yajaribu kueneza satwa yake barani Afrika

    Saudi Arabia yajaribu kueneza satwa yake barani Afrika

    Jan 07, 2017 03:59

    Huku Saudi Arabia ikiendelea kukumbwa na matatizo chungu nzima ya kiuchumi, utawala wa ukoo wa Aal Saud sasa unafuatilia mikakati ya kueneza satwa yake barani Afrika kwa kutia saini mikataba ya kijeshi na nchi za bara hilo.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika

    Jan 02, 2017 00:48

    Maeneo mengi ya bara la Afrika mwaka huu mpya wa 2017 yataendelea kusumbuliwa na uhaba wa chakula na hatari ya baa la njaa na ukame kwa kadiri kwamba, Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi kwamba karibu watu milioni 20 hawatakuwa na usalama wa chakula katika nchi za kaskazini na mashariki mwa Afrika.

  • Kujadiliwa changamoto za eneo la katikati mwa Afrika katika mkutano wa Yaounde Cameroon

    Kujadiliwa changamoto za eneo la katikati mwa Afrika katika mkutano wa Yaounde Cameroon

    Dec 27, 2016 11:30

    Kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za eneo la katikati mwa Afrika kilichokuwa kikifanyika katika mji mkuu wa Cameroon Yaounde kimemalizika kwa washiriki kusisitiza juu ya udharura wa kukabiliana na changamoto za kiuchumi zinazolikabili eneo hilo.

  • FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula

    Dec 21, 2016 23:35

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.

  • Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Dec 16, 2016 11:14

    Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.

  • AU: Kuna wasiwasi wa magaidi kurejea barani Afrika

    AU: Kuna wasiwasi wa magaidi kurejea barani Afrika

    Dec 15, 2016 02:35

    Kamisheni ya Amani na Usalama ya Umoja wa Afrika ina wasiwasi kwamba, kuna uwezekano maelfu ya magaidi wakarejea barani humo wakitokea Syria, Iraq na Yemen.

  • Umoja wa Mataifa: Nchi za eneo la Pembe ya Afrika zipelekewe misaada

    Umoja wa Mataifa: Nchi za eneo la Pembe ya Afrika zipelekewe misaada

    Dec 09, 2016 23:35

    Umoja wa Mataifa umeitolea wito jamii ya kimataifa kutoa misaada zaidi kwa mamilioni ya watu katika eneo la Pembe ya Afrika wanaosumbuliwa na njaa.

  • Snowden: Marekani na Uingereza zilimfanyia ujasusi Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

    Snowden: Marekani na Uingereza zilimfanyia ujasusi Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

    Dec 09, 2016 04:19

    Nyaraka zilizotolewa na afisa wa zamani wa Wakala wa Usalama wa Taifa wa Marekani zimefichua kuwa mashirika ya kijasusi ya nchi hiyo na yale ya Uingereza yalizifanyia ujasusi nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na Rais wa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS