-
UNSC yataka kukomeshwa migogoro magharibi mwa Afrika
Jan 22, 2017 01:07Umoja wa Mataifa umetangza uungaji mkono wake kamili kwa juhudi za upatanishi na kuzuia migogoro na mivutano katika eneo la magharibi mwa Afrika.
-
Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako
Jan 13, 2017 09:43Kikao cha 27 cha viongozi wa nchi za Kiafrika na Ufaransa kimeanza leo Ijumaa huko Bamako mji mkuu wa Mali kwa shabaha ya kuchunguza masuala ya kiuchumi, migogoro ya Kisasa na kiusalama yanayolikabili bara la Afrika.
-
Saudi Arabia yajaribu kueneza satwa yake barani Afrika
Jan 07, 2017 03:59Huku Saudi Arabia ikiendelea kukumbwa na matatizo chungu nzima ya kiuchumi, utawala wa ukoo wa Aal Saud sasa unafuatilia mikakati ya kueneza satwa yake barani Afrika kwa kutia saini mikataba ya kijeshi na nchi za bara hilo.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika
Jan 02, 2017 00:48Maeneo mengi ya bara la Afrika mwaka huu mpya wa 2017 yataendelea kusumbuliwa na uhaba wa chakula na hatari ya baa la njaa na ukame kwa kadiri kwamba, Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi kwamba karibu watu milioni 20 hawatakuwa na usalama wa chakula katika nchi za kaskazini na mashariki mwa Afrika.
-
Kujadiliwa changamoto za eneo la katikati mwa Afrika katika mkutano wa Yaounde Cameroon
Dec 27, 2016 11:30Kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za eneo la katikati mwa Afrika kilichokuwa kikifanyika katika mji mkuu wa Cameroon Yaounde kimemalizika kwa washiriki kusisitiza juu ya udharura wa kukabiliana na changamoto za kiuchumi zinazolikabili eneo hilo.
-
FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula
Dec 21, 2016 23:35Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.
-
Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika
Dec 16, 2016 11:14Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.
-
AU: Kuna wasiwasi wa magaidi kurejea barani Afrika
Dec 15, 2016 02:35Kamisheni ya Amani na Usalama ya Umoja wa Afrika ina wasiwasi kwamba, kuna uwezekano maelfu ya magaidi wakarejea barani humo wakitokea Syria, Iraq na Yemen.
-
Umoja wa Mataifa: Nchi za eneo la Pembe ya Afrika zipelekewe misaada
Dec 09, 2016 23:35Umoja wa Mataifa umeitolea wito jamii ya kimataifa kutoa misaada zaidi kwa mamilioni ya watu katika eneo la Pembe ya Afrika wanaosumbuliwa na njaa.
-
Snowden: Marekani na Uingereza zilimfanyia ujasusi Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
Dec 09, 2016 04:19Nyaraka zilizotolewa na afisa wa zamani wa Wakala wa Usalama wa Taifa wa Marekani zimefichua kuwa mashirika ya kijasusi ya nchi hiyo na yale ya Uingereza yalizifanyia ujasusi nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na Rais wa Kenya.