Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Familia: Yumkini Mzee Tshisekedi aliuawa

    Familia: Yumkini Mzee Tshisekedi aliuawa

    Feb 14, 2017 13:48

    Familia ya Tshisekedi yadai kuwa huenda mwanasiasa huyo mkongwe aliuawa.....

  • Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Feb 06, 2017 04:10

    Serikali ya Rabat imesema katu haitatambua uhuru wa Jamhuri ya Sahara Magharibi licha ya Morocco kukubaliwa kurejea katika Umoja wa Afrika AU baada ya kuondoka zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • Misri na Cameroon kumenyana katika fainali ya kombe la mataifa ya Afrika

    Misri na Cameroon kumenyana katika fainali ya kombe la mataifa ya Afrika

    Feb 03, 2017 00:50

    Timu ya taifa ya soka ya Cameroon imeitandika Ghana mabao mawili kwa nunge katika mchezo wa nusu fainali wa kombe la Mataifa ya Afrika na hivyo kujikatia tiketi ya kucheza fainali ya mashindano hayo yanayofanyika nchini Gabon.

  • Maonesho ya kwanza maalumu ya Iran Afrika Mashariki kufunguliwa Nairobi, Kenya

    Maonesho ya kwanza maalumu ya Iran Afrika Mashariki kufunguliwa Nairobi, Kenya

    Feb 01, 2017 13:02

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema, maonyesho ya kwanza maalumu ya Iran katika Afrika Mashariki katika nyuga za utaalamu wa ujenzi, mawasiliano na teknolojia, petroli na gesi, petrokemikali, teknolojia ya viumbe hai na tiba yatafunguliwa siku ya Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo Nairobi.

  • Viongozi wa Afrika waafiki stratejia ya kujiondoa ICC kwa pamoja?

    Viongozi wa Afrika waafiki stratejia ya kujiondoa ICC kwa pamoja?

    Feb 01, 2017 04:15

    Viongozi wa Afrika wameunga mkono stratejia inayotaka nchi za bara hilo zijiondoe katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa pamoja.

  • AU: Afrika iko tayari kupokea wakimbizi baada ya US kufunga mipaka yake

    AU: Afrika iko tayari kupokea wakimbizi baada ya US kufunga mipaka yake

    Jan 31, 2017 10:31

    Umoja wa Afrika umesema nchi za Afrika ziko tayari kupokea wakimbizi baada ya Marekani kupasisha sheria tata ya kibaguzi dhidi ya wakimbizi.

  • Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Jan 31, 2017 10:22

    Umoja wa Afrika AU umekubali tena uanachama wa Morocco baada ya miaka 33 wakati nchi hiyo ilijiondoa umoja huo kutokana na mgogoro wa Sahara Magharibi ambao hadi sasa haujatatuliwa.

  • Guterres: Nipo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani Afrika

    Guterres: Nipo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani Afrika

    Jan 30, 2017 11:44

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, upo tayari kufanya juhudi za kurejesha amani katika nchi za Kiafrika.

  • Matatizo ya kifedha, changamoto kubwa kwa Umoja wa Afrika

    Matatizo ya kifedha, changamoto kubwa kwa Umoja wa Afrika

    Jan 30, 2017 00:31

    Kuendelea matatizo ya kifedha kwa Umoja wa Afrika (AU) ambayo ndio taasisi kubwa kwa nchi za Kiafrika, kumeufanya umoja huo ushindwe kutekeleza majukumu yake hususan suala zima la kusimamia amani na uthabiti katika eneo hilo.

  • Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Umoja wa Afrika wataka askari 4,000 zaidi watumwe Somalia

    Jan 27, 2017 23:19

    Umoja wa Afrika AU umetoa wito wa kuongezwa idadi ya askari wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS