-
Kongamano la Kimataifa la Amani na Usalama Afrika laanza Dakar
Dec 05, 2016 11:59Kongamano la Tatu la Kimataifa Kuhusu Amani na Usalama Barani Afrika limenza leo mjini Dakar huko Senegal.
-
Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi
Dec 05, 2016 00:26Serikali za Nigeria na Morocco zimesaini hati ya makubaliano ya kujenga bomba la kusafirishia gesi ambalo litaziunganisha nchi mbili hizo pamoja na nchi nyingine za Afrika na bara Ulaya.
-
Iran yamtaka Rais wa Djibouti aache kutumikia amri za wengine
Nov 26, 2016 00:45Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti aliyedai kuwa, Tehran inaingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine na kumtaka atatue matatizo ya nchi yake kwanza na aache kutekeleza amri anazopokea kutoka kwa watu wengine.
-
Kikao cha nne cha viongozi wa Kiarabu na Kiafrika na changamoto zake
Nov 25, 2016 02:29Kikao cha nne cha pamoja baina ya viongozi wa Kiarabu na Kiafrika kimefanyika katika anga ya kushadidi tofauti na mivutano ya kisiasa baina ya pande mbili.
-
Wahajiri 1,400 waokolewa Bahari ya Mediterranea wakielekea Ulaya
Nov 23, 2016 04:42Wahajiri 1,400 aghalabu kutoka kaskazini mwa Afrika, wameokolewa baada ya boti zao kuzama katika Bahari ya Mediterranea wakielekea barani Ulaya.
-
Sisitizo la Waislamu wa Nigeria la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Nov 23, 2016 00:47Wanaharakati wa jumuiya ya kiraia ya Nigeria wameitaka rasmi serikali ya nchi hiyo imuachilie huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo kwa karibu mwaka mmoja sasa.
-
Iran na Umoja wa Afrika; uandaaji wa fursa kwa ajili ya ushirikiano katika uga wa usalama na amani
Nov 22, 2016 09:39Kamishna Mkuu wa Baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika.
-
Iran: Ugaidi ni tishio kwa nchi za Afrika na Asia Magharibi
Nov 22, 2016 04:30Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye anashughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika amesema ugaidi ni tatizo la kimataifa na tishio la pamoja kwa nchi za bara Afrika na eneo la magharibi mwa bara Asia.
-
Pendekezo jipya la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya utatuzi wa mgogoro wa Libya
Nov 21, 2016 23:14Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametoa pendekezo la kuteuliwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
-
Ufilipino kujiunga na Russia na nchi za Afrika dhidi ya ICC
Nov 18, 2016 04:15Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema huenda taifa lake likafuata mkondo wa Russia na kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.