Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • ICC yazipigia magoti nchi za Afrika, yaziasa zisiondoke katika mahama hiyo

    ICC yazipigia magoti nchi za Afrika, yaziasa zisiondoke katika mahama hiyo

    Nov 17, 2016 00:55

    Maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wamezitaka nchi za bara Afrika kutojiengua kuwa wanachama wa Mkataba wa Roma uliobuni mahakama hiyo.

  • SAUTI: Wakulima wa Uganda na Kenya washauriwa kutumia kilimo bora

    SAUTI: Wakulima wa Uganda na Kenya washauriwa kutumia kilimo bora

    Nov 16, 2016 06:25

    Wakulima nchini Uganda na Kenya wameshauriwa kutumia kilimo bora cha uzalishaji mazao yanayotumiwa sana na raia wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa lengo la kukabiliana na njaa. Aidha wakulima hao wametakiwa kulima vyakula ambavyo ni rahisi kwa kilimo na mavuno. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.

  • SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali

    SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali

    Nov 15, 2016 07:07

    Wanasayansi na watafiti kutoka nchi zinazoendelea wametangaza kwamba wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa fedha hali inayodhoofisha tafiti zinazofanywa kwenye mataifa. Hata hivyo juhudi za hivi karibuni zinaonyesha huenda hali ikabadilika. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kigali na ripoti zaidi

  • Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Maghala matatu makubwa ya silaha yanaswa Tunisia

    Nov 14, 2016 11:25

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imeripoti kuwa, imegundua na kuzuia maghala matatu makubwa yaliyosheheni silaha za aina mbalimbali katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Ripoti: Nimonia inaua watoto wengi bara Afrika

    Ripoti: Nimonia inaua watoto wengi bara Afrika

    Nov 12, 2016 04:25

    Asilimia 60 ya vifo milioni 5.9 vya watoto wadogo wenye umri wa chini ya miaka 5 vilivyotokea mwaka jana katika nchi za Afrika na Asia vilitokana na ugonjwa wa kichomi au nimonia.

  • Rais wa Zambia asisitiza kutatuliwa changamoto zinazolikabili eneo

    Rais wa Zambia asisitiza kutatuliwa changamoto zinazolikabili eneo

    Nov 08, 2016 23:07

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amesisitizia udharura wa kutatuliwa changamoto za nchi za bara la Afrika kwa ushiriki wa asasi zote za kiraia hususan wanawake.

  • Rais Rouhani: Uingiliaji wa kijeshi ni tishio kwa usalama wa dunia

    Rais Rouhani: Uingiliaji wa kijeshi ni tishio kwa usalama wa dunia

    Nov 07, 2016 11:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya nchi nyingine ni tishio kubwa kwa usalama na amani ya dunia.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Tehran; ulazima wa kulijali bara la Afrika

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Tehran; ulazima wa kulijali bara la Afrika

    Nov 07, 2016 08:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Robert Dussey jana Jumapili alikutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif hapa mjini Tehran.

  • Wakfu wa Mandela wamsuta Zuma, wasema ameshindwa na uongozi

    Wakfu wa Mandela wamsuta Zuma, wasema ameshindwa na uongozi

    Nov 01, 2016 11:14

    Wakfu wa Mandela umemjia juu Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anayekabiliwa na mashinikizo yanayomtaka ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi zinazomundama na utumiaji mbaya wa mamlaka yake.

  • Bensouda: Hatubabaishwi na nchi za Kiafrika kujiondoa ICC

    Bensouda: Hatubabaishwi na nchi za Kiafrika kujiondoa ICC

    Oct 30, 2016 03:57

    Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amesema licha ya kuwa mahakama hiyo imepata pigo kufuatia hatua ya nchi tatu za Afrika kuanzisha mchakato wa kujiondoa kwenye Mkataba wa Roma, lakini hatua hiyo haiwezi kuzuia wala kutatiza sughuli za kila siku za mahakama hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS