Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • IMF: Ukuaji wa uchumi katika nchi za chini ya jangwa la Sahara kupungua

    IMF: Ukuaji wa uchumi katika nchi za chini ya jangwa la Sahara kupungua

    Oct 27, 2016 01:53

    Mfuko wa Fedha Duniani IMF umesema ukuaji wa uchumi katika nchi za eneo la chini ya jangwa la Sahara barani Afrika unatazamiwa kupungua kwa kiasi kikubwa ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 20.

  • Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Oct 26, 2016 11:26

    Gambia imejiunga na nchi kadhaa za Afrika zilizotangaza azma yao ya kujiondoa katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Rais Museveni aiunga mkono Afrika Kusini kujiondoa ICC

    Rais Museveni aiunga mkono Afrika Kusini kujiondoa ICC

    Oct 25, 2016 04:20

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepongeza hatua ya Afrika Kusini kuanzisha mchakato wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Oct 13, 2016 04:30

    Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.

  • Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Oct 12, 2016 04:05

    Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.

  • Iran yauenzi mchango wa Waafrika katika harakati ya Ashura

    Iran yauenzi mchango wa Waafrika katika harakati ya Ashura

    Oct 11, 2016 04:39

    Mkuu wa Kitengo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania amesema John bin Huwai ni jani la dhahabu la Waafrika katika mapambano ya Ashura.

  • Wito watolewa kuzingatia zaidi haki za watoto barani Afrika

    Wito watolewa kuzingatia zaidi haki za watoto barani Afrika

    Oct 11, 2016 04:31

    Sambamba na kufanyika kikao cha dharura cha Umoja wa Afrika (AU) nchini Togo, mashirika ya kutetea haki za watoto yametoa wito kwa umoja huo kutenga bajeti ya fedha ya kushughulikia zaidi haki za watoto katika nchi za bara hilo.

  • Waziri wa Kigeni Kenya, Amina Mohammad, kuwania uenyekiti wa Tume ya AU

    Waziri wa Kigeni Kenya, Amina Mohammad, kuwania uenyekiti wa Tume ya AU

    Oct 03, 2016 11:36

    Serikali ya Kenya imewasilisha jina la Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Bi. Amina Mohamed kuwa mwenyekiti ajaye wa Tume ya Umoja wa Afrika AU.

  • VIDEO: Mahojiano ya Radio Tehran na Spika wa Bunge la Kenya

    VIDEO: Mahojiano ya Radio Tehran na Spika wa Bunge la Kenya

    Sep 25, 2016 11:01

    Spika wa Bunge la Kenya, Mheshimiwa Justin Muturi yupo hapa mjini Tehran kwa ziara rasmi ya kikazi nchini Iran.

  • Azma ya Umoja wa Afrika ya kung'oa mizizi ya wanamgambo wa al-Shabab nchini Somalia

    Azma ya Umoja wa Afrika ya kung'oa mizizi ya wanamgambo wa al-Shabab nchini Somalia

    Sep 19, 2016 03:47

    Msemaji wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM amesema kuwa, kikosi hicho kimeazimia kwa dhati kupambana na kundi la wanamgambo wa al-Shabab na kung'oa mizizi ya wanamgambo hao katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS