Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ripoti: Maisha ya Waafrika hatarini kutokana na fueli chafu kutoka nchi za Ulaya

    Ripoti: Maisha ya Waafrika hatarini kutokana na fueli chafu kutoka nchi za Ulaya

    Sep 16, 2016 22:12

    Ripoti mpya iliyotolewa imefichua kuwa mashirika ya nchi za Ulaya yanatumia vibaya viwango vya chini vya ubora wa fueli katika nchi za Afrika kupeleka katika nchi za Afrika Magharibi fueli chafu.

  • Makumi ya Wamalawi watiwa mbaroni nchini Msumbiji

    Makumi ya Wamalawi watiwa mbaroni nchini Msumbiji

    Sep 11, 2016 09:40

    Raia zaidi ya 60 wa Malawi wametiwa mbaroni nchini Msumbiji na kutupwa jela wakihusishwa na vitendo vya kuvuruga usalama wa nchi hiyo.

  • Nchi za Afrika zasisitiza ulazima wa kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo barani humo

    Nchi za Afrika zasisitiza ulazima wa kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo barani humo

    Sep 08, 2016 03:30

    Viongozi wa nchi za Kiafrika wanaokutana katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi wamekubaliana kuboresha hali ya sekta ya kilimo na kuongeza kiwango cha usalama wa chakula barani humo.

  • Iran: Hatuna mipaka katika kuimarisha uhusiano wetu na Afrika

    Iran: Hatuna mipaka katika kuimarisha uhusiano wetu na Afrika

    Sep 03, 2016 11:47

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haina mipaka katika kuimarisha uhusiano wake na bara la Afrika ikiwemo Algeria.

  • Watu watatu wauawa katika machafuko Gabon, mamia watiwa mbaroni

    Watu watatu wauawa katika machafuko Gabon, mamia watiwa mbaroni

    Sep 02, 2016 00:00

    Machafuko yameendelea kushuhudiwa katika mji mkuu wa Gabon Libreville baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa rais ambayo yamemrejesha tena madarakani Rais Ali Bongo.

  • UNDP yatahadharisha kuhusu usawa wa kijinsia Afrika

    UNDP yatahadharisha kuhusu usawa wa kijinsia Afrika

    Aug 28, 2016 23:34

    Umoja wa Mataifa umezitolea wito nchi za Kiafrika kufanya jitihada za kujaza pengo la usawa wa kijinsia katika nchi hizo pengo ambalo kila mwaka husababisha hasara ya dola bilioni 95 kwa nguvu za kiuchumi.

  • Afrika ingali na uwezo wa kuvutia uwekezaji

    Afrika ingali na uwezo wa kuvutia uwekezaji

    Aug 27, 2016 23:32

    Waziri Mkuu wa Japan ameanza ziara yake ya siku mbili huko Kenya kwa lengo la kushiriki katika Kongamano la Kimataifa la Tokyo kwa ajili ya Ustawi wa Afrika mashuhuri kama TICAD.

  • UN yaunga mkono juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi CAR

    UN yaunga mkono juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi CAR

    Aug 27, 2016 09:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza uungaji mkono wake kwa juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Aug 24, 2016 10:52

    Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS