Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Wanaharakati wa Afrika Kusini katika msafara wa Sumud; Tulimkaripia Waziri wa Israel tukiwa kizuizini

    Wanaharakati wa Afrika Kusini katika msafara wa Sumud; Tulimkaripia Waziri wa Israel tukiwa kizuizini

    Oct 09, 2025 07:14

    Wanaharakati sita wa Afrika Kusini ambao waliwekwa kizuizini huko Israel baada ya kutekwa nyara kutoka katika msafara wa kimataifa wa meli kwa jina la Global Sumud Flotilla kuelekea Gaza wamesimulia hadithi za kusikitisha kuhusu walichopitia wakiwa mikononi mwa wanajeshi wa Israel.

  • Wakfu wa Mandela walaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Wakfu wa Mandela walaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Oct 05, 2025 10:41

    Wakfu wa Nelson Mandela, taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa kwa ajili ya kumbukumbu ya rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, imelaani amelaani vikali shambulio la utawala wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Gaza, na kutaka kuachiwa mara moja kwa wanaharakati waliotekwa nyara na kuzuiliwa na askari wa majini wa Kizayuni.

  • Afrika Kusini yaitaka Israel iwaachie wanaharakati wa msafara wa Sumud

    Afrika Kusini yaitaka Israel iwaachie wanaharakati wa msafara wa Sumud

    Oct 03, 2025 03:30

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa jana Alkhamisi alitaka kuachiliwa mara moja kwa Waafrika Kusini na raia wengine wa kigeni wanaozuiliwa na jeshi la Israel, baada ya wanajeshi wa majini wa utawala huo haramu kushambulia msafara wa kibinadamu uliokuwa unaelekea Gaza.

  • Je, uzoefu wa kupambana na ubaguzi wa rangi unaweza kuulazimisha utawala wa Kizayuni kuondoka Ghaza?

    Je, uzoefu wa kupambana na ubaguzi wa rangi unaweza kuulazimisha utawala wa Kizayuni kuondoka Ghaza?

    Sep 30, 2025 02:23

    Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano makubwa na ya kihistoria hivi karibuni wakitaka kuvunjwa kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na kibiashara wa nchi hiyo na utawala dhalimu na wa ubaguzi wa rangi wa Israel.

  • Maelfu waandamana Afrika Kusini wakitaka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Maelfu waandamana Afrika Kusini wakitaka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Sep 28, 2025 07:01

    Watu zaidi ya elfu tatu jana waliandamana katika mji wa Cape Town Afrika Kusini wakiitaka nchi hiyo kukata uhusiano wa kibiashara na kidiplomasia na Israel, ikiwa ni pamoja na kufunga ubalozi wake kufuatia vita na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.

  • Je, Israel inakabiliwa na

    Je, Israel inakabiliwa na "Hatima ya Afrika Kusini"?

    Sep 21, 2025 06:03

    Tovuti ya Kiingereza ya BBC katikati ya Septemba 2025 katika makala ya kina yenye kichwa cha habari kilichosomeka "Je, Israel Inakabiliwa na 'Hatima ya Afrika Kusini'?" Ilizungumzia suala la kujikariri uzoefu wa Afrika Kusini kwa utawala ghasibu wa Israel.

  • Afrika Kusini imewahukumu raia 7 wa China miaka 20 jela kila mmoja kwa magendo ya binadamu

    Afrika Kusini imewahukumu raia 7 wa China miaka 20 jela kila mmoja kwa magendo ya binadamu

    Sep 11, 2025 11:03

    Mahakama moja mjini Johannesburg Afrika Kusini imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kia mmoja baada ya kuwapata na hatia ya magendo ya binadamu. Raia hao wa China wamekutwa na hatia ya kuwasafirisha watu kutoka Malawi na kuwalazimisha kufanya kazi katika kiwanda kimoja nchini Afrika Kusini.

  • Jeshi la Majini la Iran lipo Afrika Kusini kujadili luteka ijayo ya BRICS

    Jeshi la Majini la Iran lipo Afrika Kusini kujadili luteka ijayo ya BRICS

    Sep 06, 2025 12:01

    Mkutano wa kujadili mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya baharini ya nchi wanachama wa BRICS umefanyika katika mji bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini, kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi sita, ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia msafara wa misaada wa WFP katika jimbo la Darfur

    Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia msafara wa misaada wa WFP katika jimbo la Darfur

    Aug 22, 2025 10:03

    Jeshi la Sudan (SAF) limekanusha madai yaliyotolewa wapiganaji wa Vikosi vya Usaidzi wa Haraka (RSF) kuwa limefanya mashambulizi ya angani dhidi ya msafara wa misaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) uliokuwa unapeleka misaada Darfur.

  • Maandamano ya kutaka kulindwa wanahabari wa Gaza yafanyika Afrika Kusini

    Maandamano ya kutaka kulindwa wanahabari wa Gaza yafanyika Afrika Kusini

    Aug 18, 2025 06:48

    Waandishi wa habari wa Afrika Kusini na wafanyakazi wa vyombo vya habari wameongoza maandamano huko Sea Point jijini Cape Town, wakishinikiza kupewa ulinzi zaidi waandishi wa habari wa Palestina huko Gaza, sanjari na kutangaza mshikamano na wenzao waliouawa katika ukanda huo wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS