Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Wachimba migodi haramu wasiopungua 14 wamepoteza maisha mgodini Afrika Kusini

    Wachimba migodi haramu wasiopungua 14 wamepoteza maisha mgodini Afrika Kusini

    Aug 11, 2026 11:22

    Polisi ya Afrika Kusini leo imetangaza kuwa wachimbaji wadogo wa madini wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa katika mgodi ambao hautumiki nchini humo.

  • Mamia ya watu wanaandamana Afrika Kusini kupinga chuki dhidi ya wageni

    Mamia ya watu wanaandamana Afrika Kusini kupinga chuki dhidi ya wageni

    Aug 09, 2026 11:04

    Mamia ya watu wameandmana katika miji mbalimbali nchini Afrika Kusini wakitaka kukomeshwa ghasia dhidi ya wahamiaji, ambazo zimewalazimisha makumi ya maelfu ya watu kukimbia nchi hiyo.

  • Waghana waiomba ICC kuchunguza ukatili wa chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini

    Waghana waiomba ICC kuchunguza ukatili wa chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini

    Jul 24, 2026 02:48

    Raia wawili wa Ghana wamewasilisha ombi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wakiitaka kufungua uchunguzi wa awali kuhusu vitendo vya ukatili vinavyowalenga wageni nchini Afrika Kusini, wakisema kwamba muundo, ukubwa na kukaririwa mashambulizi yanayowalenga wahamiaji vinaweza kuwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.

  • Raia wa Zimbabwe warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini huku ghasia dhidi ya wahamiaji zikiendelea

    Raia wa Zimbabwe warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini huku ghasia dhidi ya wahamiaji zikiendelea

    Jul 13, 2026 03:03

    Raia wa Zimbabwe wanaokimbia vurugu na vitisho vya chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini wamewasili katika kituo cha mapokezi katika mji wa mpakani wa Beitbridge, Zimbabwe.

  • Nigeria na Afrika Kusini zavutana kwa kifo cha raia katika seli za polisi

    Nigeria na Afrika Kusini zavutana kwa kifo cha raia katika seli za polisi

    Jul 09, 2026 11:36

    Polisi ya Afrika Kusini imethibitisha kuwa kifo cha raia wa Nigeria akiwa korokoroni hakikutokana na maandamano dhidi ya wahamiaji wa kigeni nchini humo yaliyofanyika wiki iliyopita.

  • Ghasia dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini zatarajiwa leo

    Ghasia dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini zatarajiwa leo

    Jun 30, 2026 03:42

    Afrika Kusini inakabiliwa na mtihani mkubwa wa kiusalama baada ya magenge ya wahalifu kuapa kuwatimu raia wa kigeni nchini humo kuanzia leo.

  • Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

    Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

    Jun 26, 2026 11:10

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameapa kukabiliana na jaribio lolote la kuyumbisha taifa wakati wa maandamano yaliyopangwa kufanywa wiki ijayo dhidi ya wahamiaji, huku wimbi la chuki dhidi ya wageni lizidi kuongezeka nchini humo.

  • Serikali ya Afrika Kusini yasema imewarejesha nyumbani wageni 2,745 ndani ya wiki moja

    Serikali ya Afrika Kusini yasema imewarejesha nyumbani wageni 2,745 ndani ya wiki moja

    Jun 15, 2026 12:20

    Afrika Kusini imewarejesha nyumbani wageni 2,745 katika wiki moja baada ya Rais Cyril Ramaphosa kuapa kuchukua hatua kali dhidi ya uhamiaji haramu.

  • Ripoti: Watu 12 wauawa na 9 kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi katika kitongoji cha Johannesburg

    Ripoti: Watu 12 wauawa na 9 kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi katika kitongoji cha Johannesburg

    Jun 10, 2026 10:46

    Watu 12 wameuawa na wengine 9 kujeruhiwa katika ufyatuaji risasi katika makazi yasiyo rasmi katika kitongoji cha Cleveland jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

  • Ramaphosa: Waafrika Kusini si wachukia wageni

    Ramaphosa: Waafrika Kusini si wachukia wageni

    Jun 05, 2026 02:57

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemweleza mwenzake wa Kenya, Rais William Ruto, kwamba maandamano ya hivi karibuni dhidi ya uhamiaji haramu nchini humo hayamaanishi kuwa Waafrika Kusini wana chuki dhidi ya wageni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS