-
Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina
Apr 25, 2025 07:17Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.
-
Pandor ahimiza mageuzi ya kimataifa kutekeleza uamuzi wa ICJ kuhusu Gaza
Apr 23, 2025 02:12Naledi Pandor Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kushindwa kusitishwa mashambulizi na mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza kumefichua mapungufu ya mifumo ya kisheria ya kimataifa na kuibua upya wito kuhusu udharura wa kufanyika mageuzi katika Umoja wa Mataifa.
-
A/Kusini: Russia ni mshirika wetu mkuu katika sekta ya anga za mbali
Apr 15, 2025 03:14Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kitaifa la Anga za Mbali la Afrika Kusini (SANSA) amesema Russia ni mshirika mkuu wa Afrika Kusini katika kuendeleza mipango yake ya kitaifa ya anga za juu.
-
Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini kwa 'kujieleza'
Mar 15, 2025 07:11Msuguano baina ya Marekani na Afrika Kusini umeendelea kutokota, baada ya Washington kumtangaza Balozi wa nchi hiyo ya Kiafrika mjini Washington, Ebrahim Rasool, kuwa mtu asiyetakiwa, kufuatia matamshi yake ya kumkosoa Rais Donald Trump.
-
Je, Afrika Kusini itasalimu amri mbele ya ubabe wa Trump?
Mar 11, 2025 08:03Kwa kuendelea msimamo wa kuingilia kati wa Rais Donald Trump wa Marekani katika masuala ya ndani ya Afrika Kusini, serikali ya Pretoria imetangaza kuwa haitajiingiza katika diplomasia isiyo na tija ya "kupiga kelele kupitia vipaza sauti" na Marekani.
-
Afrika Kusini yapinga 'diplomasia ya kipaza sauti' na ya kibabe ya Trump
Mar 10, 2025 07:01Huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiendelea kuingilia masuala ya ndani ya Afrika Kusini, serikali ya Pretoria imetangaza kwamba haitajihusisha na diplomasia isiyojenga ya "ya kipaza sauti" na ya bwabwaja ya Marekani.
-
Kuendelea hatua za kimataifa dhidi ya uvamizi wa Israel
Mar 03, 2025 02:22Katika kuendeleza mapambano na kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia wametangaza kuwa watazizuia meli zilizobeba silaha kwa ajili ya Israel kuingia katika bandari za nchi hizo.
-
Operesheni ya Jeshi la Somalia yaua magaidi 70 wa Al-Shabaab katika jimbo la Hirshabelle
Feb 26, 2025 11:42Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa vikosi vya jeshi vikishirikiana na vikosi vingine vya ndani vimewaua wanamgambo wapatao 70 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab katika operesheni ya mashambulizi viliyotekeleza jana Jumanne katika maeneo kadhaa ya jimbo la Hirshabelle kusini mwa katikati ya nchi hiyo.
-
Afrika Kusini: Usitishaji vita Gaza sharti ulete amani ya kudumu
Feb 21, 2025 02:50Rais wa Afrika Kusini amesema usitishaji wa mapigano katika Ukanda wa Gaza unapasa kuleta uadilifu na amani ya kudumu katika eneo hilo.
-
Afrika Kusini kugeukia Russia, Iran kwenye mradi wake wa nyuklia?
Feb 18, 2025 07:32Afrika Kusini imesema huenda itashirikiana na Russia au Iran katika juhudi za kupanua uwezo wake wa nishati ya nyuklia.