-
Ebrahim Raisi: BRICS ina umuhimu mkubwa katika uchumi na biashara duniani
Aug 25, 2023 23:28Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muungano wa kimataifa wa BRICS una nafasi na machango muhimu katika ushirikiano wa kiuchumi na kibiadhara duniani.
-
Wanachama wa BRICS wakubaliana kuhusu utaratibu wa kupanua kundi hilo
Aug 24, 2023 22:54Dr. Naledi Pandor, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini, ametangaza kuwa nchi wanachama wa BRICS zimeafikiana kuhusu misingi muhimu ya kupanuliwa kundi hilo. Wanachama wa sasa wa BRICS ni Russia, China, Brazil, India na Afrika Kusini.
-
Raisi: BRICS inayaleta pamoja mataifa huru yanayopinga ubeberu
Aug 23, 2023 23:30Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jumuiya ya BRICS ni nguvu mpya inayoinukia kwa kasi duniani, na ambayo imefanikiwa kuyaleta pamoja mataifa huru yanayotaka kuwa na ushirikiano wa kiuchumi na kukabiliana na ubeberu.
-
Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini
Aug 23, 2023 11:42Mkutano wa siku tatu wa wakuu wa nchi tano za BRICS na uwepo wa makumi ya wakuu wengine wa nchi ulianza huko Johannesburg, Afrika Kusini mnamo Jumanne, Agosti 22, 2023.
-
Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano
Aug 11, 2023 07:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.
-
Abdollahian: Iran na Afrika Kusini zina fursa nyingi za kupanua ushirikiano
Aug 10, 2023 10:27Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema, licha ya vikwazo vya upande mmoja na haramu vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika fremu ya sheria za kimataifa, daima kuna fursa mbalimbali kwa Iran na Afrika Kusini za kupanua uhusiano.
-
Afrika Kusini: Tutaendelea kutumia teknolojia ya China licha ya mashinikizo ya US
Aug 08, 2023 04:05Afrika Kusini imesema itaendelea kustafidi na teknolojia ya shirika la China la Huawei licha ya kushinikizwa na Marekani iachane na kampuni hiyo.
-
Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Jul 31, 2023 07:36Makamanda wa vikosi vya wanamaji vya majeshi ya Afrika Kusini na Venezuela wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiulinzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao chao na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu.
-
Afrika Kusini: Baraza la Usalama la UN limeifelisha dunia
Jul 27, 2023 06:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitizia udharura wa kufanyiwa mabadiliko muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisisitiza kuwa, chombo hicho kimeifelisha dunia kwa kutofanya kazi inavyotakiwa.
-
Putin: Afrika ni miongoni mwa nguzo muhimu za ulimwengu wa kambi kadhaa
Jul 26, 2023 22:59Rais Vladimir Putin wa Russia ametilia mkazo umuhimu wa bala la Afrika kama moja ya nguzo za ulimwengu wa pande kadhaa.