-
Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani
Jul 25, 2023 03:38Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.
-
Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini
Jul 24, 2023 08:02Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Iran yuko nchini Afrika Kusini kushiriki mkutano wa ngazi ya juu wa usalama wa nchi kundi la BRICS.
-
Waislamu Afrika Kusini wataka jibu la haraka kwa kuvunjiwa heshima Qurani
Jul 24, 2023 07:57Waislamu nchini Afrika Kusini wameitaka serikali ya nchi hiyo itoe taarifa ya kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya.
-
Wakuu wa Ufaransa, Marekani na Uingereza wapuuzwa, hawakualikwa mkutano wa BRICS
Jul 24, 2023 07:35Marais wa Ufaransa na Marekani na Waziri Mkuu wa Uingereza hawakualikwa kwenye mkutano ujao wa kundi la BRICS uliopangwa kufanyika barani Afrika.
-
Iran yataka kutokomezwa mfumo wa apartheid Palestina
Jul 19, 2023 09:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusambaratisha mfumo wa ubaguzi wa rangi (apartheid) kote duniani na hususan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Watu wasiopungua 16 wapoteza maisha katika mkasa wa kuvuja gesi Afrika Kusini
Jul 06, 2023 04:10Watu wasiopungua 16 wakiwemo watoto wameaga dunia baada ya kuvuja gesi katika eneo la mabanda karibu na mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
-
Rais wa Iran aalikwa kuhudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini
Jul 04, 2023 03:54Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amealikwa rasmi kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS utakaofanyika nchini Afrika Kusini.
-
Mafuriko yauwa watu 7 Afrika Kusini; watu wengine kadhaa hawajulikani walipo
Jun 30, 2023 10:29Mamlaka ya serikali za mitaa nchini Afrika Kusini Ijumaa hii zimetangaza kuwa watu saba wameaga duunia na wengine saba hawajulikani walipo baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko ndani na nje ya mji wa Durban.
-
Rais wa Afrika Kusini anaongoza ujumbe wa viongozi wa Afrika huko Russia na Ukraine
Jun 15, 2023 23:01Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anaongoza ujumbe wa viongozi wa Kiafrika katika jitihada za kusaka amani huko Ukraine na Russia leo Ijumaa na kesho Jumamosi. Safari hiyo pia ni katika jitihada za kupunguza kile kinachoelezwa kuwa wasiwasi wa nchi za Magharibi kwamba Afrika Kusini inaegemea upande wa Russia katika mzozo wa sasa baina ya Russia na Ukraine licha ya nchi hiyo kukanusha madai hayo.
-
Kasisi wa Kiafrika: Imam Khomeini (RA) alikuwa kiongozi mwenye nguvu na fikra ya kimataifa
Jun 04, 2023 02:49Kasisi wa Afrika Kusini ametangaza kwamba fikra za mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Ruhullah Khomeini zilikuwa na taathira kubwa kwa watu na siasa nchini Iran na meneo menginezo ya dunia.