Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kustawisha uhusiano baina yao katika nyanja zote

    Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kustawisha uhusiano baina yao katika nyanja zote

    Jun 01, 2023 22:43

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamekutana pambizoni mwa kikao cha kundi la BRICS na kutilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.

  • Amir Abdollahian:Kushiriki katika makongamano ya kimataifa ni moja ya hatua za sera za kigeni za serikali ya Iran

    Amir Abdollahian:Kushiriki katika makongamano ya kimataifa ni moja ya hatua za sera za kigeni za serikali ya Iran

    Jun 01, 2023 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaja ushiriki chanya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makongamano ya kimataifa kuwa moja ya hatua za doktrini za sera za nje zenye mlingano za serikali ya Iran.

  • Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akamatwa Afrika Kusini

    Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akamatwa Afrika Kusini

    May 25, 2023 21:55

    Fulgence Kayishema, mmoja kati ya watuhumiwa wakuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambaye amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kwa miongo kadhaa sasa hatimaye ametiwa mbaroni nchini Afrika Kusini.

  • Kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika Kusini: Russia inapambana na ubeberu, nitaipa silaha

    Kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika Kusini: Russia inapambana na ubeberu, nitaipa silaha

    May 24, 2023 08:03

    Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), chama cha tatu kwa ukubwa cha kisiasa nchini Afrika Kusini, amesema "ataipatia silaha Russia" katika mzozo wake na Ukraine kwa sababu Moscow iko "katika vita dhidi ya ubeberu".

  • Afrika Kusini yawafurusha wanaotafuta hifadhi waliopiga kambi nje ya ofisi ya UN

    Afrika Kusini yawafurusha wanaotafuta hifadhi waliopiga kambi nje ya ofisi ya UN

    Apr 21, 2023 22:09

    Polisi nchini Afrika Kusini imewafurusha raia wanaotafuta hifadhi zaidi ya 100 waliokuwa wamepiga kambi kwa zaidi ya miaka mitatu nje ya ofisi za Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR mjini Pretoria.

  • Makaburi ya kihistoria ya Waislamu nchini Afrika Kusini yafunguliwa upya baada ya miaka 127

    Makaburi ya kihistoria ya Waislamu nchini Afrika Kusini yafunguliwa upya baada ya miaka 127

    Apr 10, 2023 07:54

    Makaburi ya kihistoria ya Waislamu yanayopatikana katika barabara ya Brodie huko Wynberg katika mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini yamefunguliwa tena baada ya kupita miaka 127.

  • Maafisa wa chama tawala Afrika Kusini wako Russia kujadili

    Maafisa wa chama tawala Afrika Kusini wako Russia kujadili "Nidhamu Mpya ya Kimataifa"

    Apr 02, 2023 07:21

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimesema, kimetuma maafisa wake wakuu nchini Russia kujadiliana na wenzao wa chama tawala cha nchi hiyo kinachoongozwa na Rais Vladimir Putin juu ya namna ya "kurekebisha upya Nidhamu ya Kimataifa" (Global Order).

  • Msafara wa manowari za Iran watia nanga Afrika Kusini

    Msafara wa manowari za Iran watia nanga Afrika Kusini

    Apr 01, 2023 05:52

    Msafara wa manowari za jeshi la majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umetia nanga katika mji wa bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini.

  • Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Mar 20, 2023 10:31

    Maafisa usalama nchini Kenya wametumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga, ambao wamejitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya nchi nzima dhidi ya serikali ya Rais William Ruto.

  • Afrika Kusini: Wafanyakazi wa sekta ya umma waandamana, wadai nyongeza ya mishahara

    Afrika Kusini: Wafanyakazi wa sekta ya umma waandamana, wadai nyongeza ya mishahara

    Mar 14, 2023 04:14

    Muungano wa wafanyakazi wa skta ya umma nchini Afrika Kusini wamendelea kuandamana nje ya hospitali kadhaa nchini humo. Maandamano hayo ambayo yamewajumuisha wanachama wa vyama vya wafanyakazi katika masuala ya afya na elimu, yameingia katika wiki yake ya pili sasa huku vyombo vya usalama vikiimarisha usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS