-
Iran na Afrika Kusini zatilia mkazo kustawisha uhusiano baina yao katika nyanja zote
Jun 01, 2023 22:43Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamekutana pambizoni mwa kikao cha kundi la BRICS na kutilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja zote.
-
Amir Abdollahian:Kushiriki katika makongamano ya kimataifa ni moja ya hatua za sera za kigeni za serikali ya Iran
Jun 01, 2023 02:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaja ushiriki chanya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makongamano ya kimataifa kuwa moja ya hatua za doktrini za sera za nje zenye mlingano za serikali ya Iran.
-
Mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akamatwa Afrika Kusini
May 25, 2023 21:55Fulgence Kayishema, mmoja kati ya watuhumiwa wakuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambaye amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kwa miongo kadhaa sasa hatimaye ametiwa mbaroni nchini Afrika Kusini.
-
Kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika Kusini: Russia inapambana na ubeberu, nitaipa silaha
May 24, 2023 08:03Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), chama cha tatu kwa ukubwa cha kisiasa nchini Afrika Kusini, amesema "ataipatia silaha Russia" katika mzozo wake na Ukraine kwa sababu Moscow iko "katika vita dhidi ya ubeberu".
-
Afrika Kusini yawafurusha wanaotafuta hifadhi waliopiga kambi nje ya ofisi ya UN
Apr 21, 2023 22:09Polisi nchini Afrika Kusini imewafurusha raia wanaotafuta hifadhi zaidi ya 100 waliokuwa wamepiga kambi kwa zaidi ya miaka mitatu nje ya ofisi za Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR mjini Pretoria.
-
Makaburi ya kihistoria ya Waislamu nchini Afrika Kusini yafunguliwa upya baada ya miaka 127
Apr 10, 2023 07:54Makaburi ya kihistoria ya Waislamu yanayopatikana katika barabara ya Brodie huko Wynberg katika mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini yamefunguliwa tena baada ya kupita miaka 127.
-
Maafisa wa chama tawala Afrika Kusini wako Russia kujadili "Nidhamu Mpya ya Kimataifa"
Apr 02, 2023 07:21Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimesema, kimetuma maafisa wake wakuu nchini Russia kujadiliana na wenzao wa chama tawala cha nchi hiyo kinachoongozwa na Rais Vladimir Putin juu ya namna ya "kurekebisha upya Nidhamu ya Kimataifa" (Global Order).
-
Msafara wa manowari za Iran watia nanga Afrika Kusini
Apr 01, 2023 05:52Msafara wa manowari za jeshi la majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umetia nanga katika mji wa bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini.
-
Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini
Mar 20, 2023 10:31Maafisa usalama nchini Kenya wametumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga, ambao wamejitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya nchi nzima dhidi ya serikali ya Rais William Ruto.
-
Afrika Kusini: Wafanyakazi wa sekta ya umma waandamana, wadai nyongeza ya mishahara
Mar 14, 2023 04:14Muungano wa wafanyakazi wa skta ya umma nchini Afrika Kusini wamendelea kuandamana nje ya hospitali kadhaa nchini humo. Maandamano hayo ambayo yamewajumuisha wanachama wa vyama vya wafanyakazi katika masuala ya afya na elimu, yameingia katika wiki yake ya pili sasa huku vyombo vya usalama vikiimarisha usalama.