-
Afrika Kusini katika mchakato wa kupunguza kiwango cha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 09, 2023 22:54Bunge la Afrika Kusini limetangaza kupitisha sheria ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusisitiza kwamba utawala huo unaozikoloni ardhi za Palestina ni utawala wa kibaguzi au apathaidi ambao unawadhulumu na kuwabagua Wapalestina.
-
Afrika Kusini kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 08, 2023 03:09Bunge la Afrika Kusini jana Jumanne lilipiga kura ya kuunga mkono kushushwa hadhi ya ubalozi wa nchi hiyo huko Israel kutokana na kuendelea unyanyasaji na mauaji ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini
Mar 05, 2023 07:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.
-
Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika
Feb 26, 2023 09:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuhusu kufukuzwa ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa viongozi wa nchi za Afrika uliofanyika Addis Ababa huko Ethiopia kuwa utawala wa Kizayuni umetenda jinai nyingi dhidi ya Palestina na suala hilo ni kinyume na hati ya Umoja wa Afrika.
-
Afrika Kusini yatangaza kukumbwa na maafa baada ya mafuriko kuathiri majimbo 7
Feb 14, 2023 08:41Afrika Kusini imetangaza maafa ya kitaifa baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni nchini humo kuuwa watu saba. Watu wengine wengi hawajulikani walipo hadi sasa. Haya yameelezwa na Kituo cha Kukabiliana na Majanga katika majimbo kadhaa nchini Afrika Kusini.
-
Afrika Kusini yatangaza hali ya maafa kufuatia kukatika umeme
Feb 10, 2023 03:26Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye amekabiliwa na lawama na ghadhabu za wananchi, jana alitangaza "hali ya maafa nchini humo kufautia kukosekana huduma ya umeme na kuahidi kumaliza shida ya upungufu wa nishati ambayo inatishia utulivu wa kiuchumi na kisiasa nchini humo.
-
Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika
Jan 28, 2023 08:50Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.
-
Lavrov atetea maneva ya baharini na Afrika Kusini akiwa ziarani nchini humo
Jan 23, 2023 23:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kwamba Moscow haitaki kile alichokiita “chokochoko” zozote kuhusu mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini kati ya nchi hiyo, China na Afrika Kusini yaliyopangwa kufanyika mwezi ujao.
-
Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani
Jan 18, 2023 07:27Nchi za Jumuiya ya BRICS ya mataifa yanayoibukia kiuchumi inataka kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani na badala yake kuunda mfumo bora wa malipo ambao hautapendelea nchi tajiri.
-
Nyumba 200 zateketezwa kwa moto nchini Afrika Kusini
Jan 02, 2023 23:34Moto mkubwa uliotokea katika kitongoji duni nje kidogo ya mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini umeua mwanamke mmoja na kuharibu zaidi ya nyumba 200.