Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini katika mchakato wa kupunguza kiwango cha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Afrika Kusini katika mchakato wa kupunguza kiwango cha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 09, 2023 22:54

    Bunge la Afrika Kusini limetangaza kupitisha sheria ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusisitiza kwamba utawala huo unaozikoloni ardhi za Palestina ni utawala wa kibaguzi au apathaidi ambao unawadhulumu na kuwabagua Wapalestina.

  • Afrika Kusini kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Afrika Kusini kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 08, 2023 03:09

    Bunge la Afrika Kusini jana Jumanne lilipiga kura ya kuunga mkono kushushwa hadhi ya ubalozi wa nchi hiyo huko Israel kutokana na kuendelea unyanyasaji na mauaji ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Mar 05, 2023 07:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.

  • Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika

    Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika

    Feb 26, 2023 09:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuhusu kufukuzwa ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa viongozi wa nchi za Afrika uliofanyika Addis Ababa huko Ethiopia kuwa utawala wa Kizayuni umetenda jinai nyingi dhidi ya Palestina na suala hilo ni kinyume na hati ya Umoja wa Afrika.

  • Afrika Kusini yatangaza kukumbwa na maafa baada ya mafuriko kuathiri majimbo 7

    Afrika Kusini yatangaza kukumbwa na maafa baada ya mafuriko kuathiri majimbo 7

    Feb 14, 2023 08:41

    Afrika Kusini imetangaza maafa ya kitaifa baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni nchini humo kuuwa watu saba. Watu wengine wengi hawajulikani walipo hadi sasa. Haya yameelezwa na Kituo cha Kukabiliana na Majanga katika majimbo kadhaa nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini yatangaza hali ya maafa kufuatia kukatika umeme

    Afrika Kusini yatangaza hali ya maafa kufuatia kukatika umeme

    Feb 10, 2023 03:26

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye amekabiliwa na lawama na ghadhabu za wananchi, jana alitangaza "hali ya maafa nchini humo kufautia kukosekana huduma ya umeme na kuahidi kumaliza shida ya upungufu wa nishati ambayo inatishia utulivu wa kiuchumi na kisiasa nchini humo.

  • Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:50

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.

  • Lavrov atetea maneva ya baharini na Afrika Kusini akiwa ziarani nchini humo

    Lavrov atetea maneva ya baharini na Afrika Kusini akiwa ziarani nchini humo

    Jan 23, 2023 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kwamba Moscow haitaki kile alichokiita “chokochoko” zozote kuhusu mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini kati ya nchi hiyo, China na Afrika Kusini yaliyopangwa kufanyika mwezi ujao.

  • Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani

    Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani

    Jan 18, 2023 07:27

    Nchi za Jumuiya ya BRICS ya mataifa yanayoibukia kiuchumi inataka kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani na badala yake kuunda mfumo bora wa malipo ambao hautapendelea nchi tajiri.

  • Nyumba 200 zateketezwa kwa moto nchini Afrika Kusini

    Nyumba 200 zateketezwa kwa moto nchini Afrika Kusini

    Jan 02, 2023 23:34

    Moto mkubwa uliotokea katika kitongoji duni nje kidogo ya mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini umeua mwanamke mmoja na kuharibu zaidi ya nyumba 200.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS