Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yapinga Israel kujiunga na Umoja wa Afrika

    Afrika Kusini yapinga Israel kujiunga na Umoja wa Afrika

    Dec 17, 2022 08:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa wa Afrika Kusini amesema kujiunga utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Afrika ni sawa na tusi kwa moyo wa hati ya umoja huo.

  • Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini: Ramaphosa hatajiuzulu

    Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini: Ramaphosa hatajiuzulu

    Dec 04, 2022 03:32

    Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye yupo chini ya mashinikizo ya kutakiwa ajiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomzunguka amesisitiza kuwa kiongozi huyo hatoachia ngazi.

  • Ramaphosa atakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za ufisadi, mwenyewe amezikanusha

    Ramaphosa atakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za ufisadi, mwenyewe amezikanusha

    Dec 02, 2022 07:27

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na miito mbalimbali inayomtaka ajiuzulu baada ya uchunguzi wa Bunge kubaini kuwa huweda alikiuka sheria za kupambana na ufisadi kuhusiana na wizi wa mamilioni ya dola katika shamba lake la Phala Phala.

  • Maandamano yafanyika Afrika Kusini kulaani kuachiwa Mzungu katili

    Maandamano yafanyika Afrika Kusini kulaani kuachiwa Mzungu katili

    Dec 01, 2022 23:13

    Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya mahakama ya nchi hiyo kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyemuua mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi (apartheid).

  • Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Nov 28, 2022 23:54

    Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amekosoa kuendelea vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Nov 22, 2022 04:33

    Uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyekuwa akitumia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Chris Hani, mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini (apartheid).

  • Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Nov 17, 2022 04:14

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Makumi ya maiti za wachimba migodi 'haramu' zapatikana Afrika Kusini

    Makumi ya maiti za wachimba migodi 'haramu' zapatikana Afrika Kusini

    Nov 03, 2022 08:29

    Polisi ya Afrika Kusini inachunguza kisa cha kugunduliwa makumi ya maiti za watu wanaoshukiwa kuwa wachimba migodi 'haramu' katika mji wa Krugersdorp, magharibi mwa jiji la Johannesburg.

  • Afrika Kusini yaishambulia US kwa kutoa 'tahadhari ya shambulio la kigaidi'

    Afrika Kusini yaishambulia US kwa kutoa 'tahadhari ya shambulio la kigaidi'

    Oct 29, 2022 07:26

    Viongozi wa Afrika Kusini wameikosoa serikali ya Marekani kwa kutoa tahadhari ya uwezekano wa kutokea shambulizi la kigaidi katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Oct 21, 2022 00:42

    Mazungumzo ya amani ya kujaribu kutatua mgogoro katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia kati ya serikali kuu na wapiganaji wa TPLF yameratibiwa kufanyika wiki ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS