Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

    Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

    Aug 26, 2022 22:52

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi na akaeleza kwamba, kupambana na ugaidi hakutawezekana kwa kutumia nguvu za kijeshi pekee, kwa sababu idiolojia ya mitazamo ya kufurutu ada haitambui mipaka bali inajipanua na kuenea kwa kasi kutoka nchi moja hadi nyingine.

  • Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 07, 2022 02:50

    Iran na Afrika Kusini zimelaani vikali jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Afrika Kusini yaripoti kifo cha kwanza kilichosababishwa na chanjo ya Corona

    Afrika Kusini yaripoti kifo cha kwanza kilichosababishwa na chanjo ya Corona

    Aug 04, 2022 20:43

    Afrika Kusini jana Alkhamisi ilitangaza habari ya kuaga dunia mtu mmoja baada ya kupigwa chanjo cha kukabiliana na maradhi ya Covid-19 ya Johnson and Johnson ya Marekani.

  • Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Aug 03, 2022 08:02

    Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.

  • Afrika Kusini yataka Israel itambuliwe kama 'utawala wa apathaidi'

    Afrika Kusini yataka Israel itambuliwe kama 'utawala wa apathaidi'

    Jul 28, 2022 03:11

    Afrika Kusini imeelezea wasiwasi wake juu ya ukatili unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa msingi huo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuitambua Israel kama taifa la apathaidi au ubaguzi wa rangi.

  • Watu wengine 9 wauawa kwa kupigwa risasi Afrika Kusini

    Watu wengine 9 wauawa kwa kupigwa risasi Afrika Kusini

    Jul 18, 2022 03:08

    Watu wasiopungua tisa wameuawa kwa kupigwa risasi na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika matukio mawili tofauti ya ufyatuaji risasi nchini Afrika Kusini.

  • Watu wasiopungua 21 wauawa katika matukio matatu ya ufyatuaji risasi Afrika Kusini

    Watu wasiopungua 21 wauawa katika matukio matatu ya ufyatuaji risasi Afrika Kusini

    Jul 10, 2022 22:05

    Watu wasiopungua 21 wameuawa kwa kupigwa risasi na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika matukio matatu tofauti ya ufyatuaji risasi yaliyotokea kwenye vilabu na kumbi za starehe nchini Afrika Kusini.

  • Maiti 17 zapatikana kwenye ukumbi wa starehe Afrika Kusini

    Maiti 17 zapatikana kwenye ukumbi wa starehe Afrika Kusini

    Jun 26, 2022 06:48

    Polisi ya Afrika Kusini inachunguza vifo vya kutatanisha vya watu 17 kwenye ukumbi mmoja wa starehe katika mji wa East London, kusini mashariki mwa nchi.

  • Afrika Kusini yasajili kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Monkeypox

    Afrika Kusini yasajili kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Monkeypox

    Jun 23, 2022 20:46

    Afrika Kusini imeripoti kesi ya kwanza iliyothibitishwa ya ugonjwa wa virusi wa Monkeypox.

  • Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Jun 15, 2022 07:26

    Polisi ya Afrika Kusini imesema watu zaidi ya 1,400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng ulioko kaskazini mashariki mwa nchi katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS