Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wakutaka mjini Pretoria

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wakutaka mjini Pretoria

    Jun 12, 2018 23:53

    Dk Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran usiku wa kuamkia leo ameonana na waziri mwenzake wa Afrika Kusini na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kukutana na Rais wa Afrika Kusini

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kukutana na Rais wa Afrika Kusini

    Jun 12, 2018 04:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Afrika Kusini akiongoza ujumbe wa kisiasa na kiuchumi.

  • Mada za milipuko zagunduliwa katika msikiti wa Imam Hussein AS Durban Afrika Kusini

    Mada za milipuko zagunduliwa katika msikiti wa Imam Hussein AS Durban Afrika Kusini

    May 14, 2018 02:59

    Polisi nchini Afrika Kusini imegundua kifurushi kinachosadikiwa kuwa mada za milipuko katika msikiti wa Imam Hussein AS katika mji mdogo wa Verulam nje ya Durban msikiti ambao juma lililopita ulivamiwa na magaidi.

  • Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    May 12, 2018 03:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran, yakosoa Marekani kujiondoa

    Afrika Kusini yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran, yakosoa Marekani kujiondoa

    May 10, 2018 23:33

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa nchi yake inaunga mkono mpatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekeelzwaji, JCPOA, huku akikosoa uamuzi wa Marekani kujiondoa katika mapatnao hayo.

  • Imamu  akatwa shingo na kuuawa katika hujuma msikitini Afrika Kusini

    Imamu akatwa shingo na kuuawa katika hujuma msikitini Afrika Kusini

    May 10, 2018 23:02

    Magaidi wakufurishaji wameuvamia msikiti karibu na mji wa Durban Afrika Kusini na kumua shahidi Imamu kwa kumkata shingo na kuwajeruhi waumini wengine kadhaa.

  • Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika Kusini yawekewa lengo la dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020

    Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika Kusini yawekewa lengo la dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020

    May 06, 2018 22:30

    Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika wa Shirika la Ustawi wa Biashara la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimeweka lengo la kustawisha mabadilishano ya kibiashara baina yao na kufikia kiwango cha dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020.

  • Machafuko ya Afrika Kusini yamlazimisha Ramaphosa kukatisha ziara yake UK

    Machafuko ya Afrika Kusini yamlazimisha Ramaphosa kukatisha ziara yake UK

    Apr 20, 2018 23:07

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amelazimika kukatisha ziara yake nchini Uingereza na kurejea nyumbani ili kwenda kukabiliana na machafuko.

  • Kulazimishwa kujiuzulu Jacob Zuma kumezusha mgogoro wa kisiasa Afrika Kusini

    Kulazimishwa kujiuzulu Jacob Zuma kumezusha mgogoro wa kisiasa Afrika Kusini

    Apr 07, 2018 11:26

    Kitendo cha kulazimishwa Jacob Zuma kujiuzulu urais kabla ya kumalizika muda wake huko Afrika Kusini si tu kimekiathiri chama tawala cha ANC, lakini pia kimezusha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Kesi ya Jacob Zuma yaakhirishwa hadi Juni 8

    Kesi ya Jacob Zuma yaakhirishwa hadi Juni 8

    Apr 06, 2018 23:21

    Kesi inayomkabili Jacob Zuma Rais wa zamani wa Afrika Kusini ya ufisadi wa mali ya umma unaohusiana na kashfa ya silaha jana iliakhirishwa na sasa inatarajiwa kusikilizwa tena Juuni 8 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS