Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria yawafukuza majajusi 2 wa Ufaransa kwa kuingia nchini na pasi za bandia za kusafiria

    Algeria yawafukuza majajusi 2 wa Ufaransa kwa kuingia nchini na pasi za bandia za kusafiria

    May 12, 2025 02:02

    Serikali ya Algeria imewafukuza maajenti wawili wa ujasusi wa Ufaransa kwa kuingia nchini humo kwa kutumia "pasi bandia za kidiplomasia " ikiwa ni ishara mpya ya kuongezeka mvutano kati ya nchi mbili hizo.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Apr 20, 2025 02:25

    Huku mvutano ukishadidi katika uhusiano wa kisiasa kati ya Ufaransa na Algeria, nchi hizo mbili zimewafukuza wanadiplomasia kadhaa kutoka katika nchi zao.

  • Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Apr 14, 2025 13:09

    Mvutano wa kidiplomasia kati ya Algeria na Ufaransa umezidi kupamba moto huku serikali ya Algiers ikiwataka wanadiplomasia 12 wa mkoloni huyo wa zamani wa Ulaya kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

  • Araqchi: Uhusiano wa Iran na Algeria uko imara, ni wa kihistoria

    Araqchi: Uhusiano wa Iran na Algeria uko imara, ni wa kihistoria

    Apr 10, 2025 12:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Algeria ni nchi kubwa na yenye taathira katika Ulimwengu wa Kiislamu na kwamba uhusiano kati ya nchi hiyo na Iran ni mkubwa, imara na wa siku nyingi.

  • Iran: Nyuklia na kuondolewa vikwazo ndizo maudhui pekee za mazungumzo

    Iran: Nyuklia na kuondolewa vikwazo ndizo maudhui pekee za mazungumzo

    Apr 10, 2025 03:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Suala la nyuklia kwa maana ya kuhakikisha mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani kikamilifu na kuondolewa vikwazo, ndiyo masuala pekee yanyojadiliwa kwenye mazungumzo.

  • Iran na Algeria zasisitiza kupanua ushirikiano wa pande mbili

    Iran na Algeria zasisitiza kupanua ushirikiano wa pande mbili

    Apr 09, 2025 03:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na Rais wa Algeria na kubadilishana mawazo kuhusu masuala muhimu zaidi ya pande mbili, kieneo na kimataifa.

  • Baraza la Usalama kufanya mkutano wa dharura kujadili Gaza

    Baraza la Usalama kufanya mkutano wa dharura kujadili Gaza

    Apr 03, 2025 07:06

    Algeria imeomba kufanyika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili hali ya Palestina. Mkutano huo unatazamiwa kufanyika leo Alkhamisi.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Yafunguliwa Algeria

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Yafunguliwa Algeria

    Jan 22, 2025 13:33

    Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Algeria yamefunguliwa huko Algiers, mji mkuu wa Algeria.

  • Iran na Algeria zatilia mkazo udharura wa kushirikiana kupambana na Israel

    Iran na Algeria zatilia mkazo udharura wa kushirikiana kupambana na Israel

    Nov 26, 2024 02:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amefanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Algeria na pande mbili zimetilia mkazo udharura wa kushirikiana mabunge ya nchi zao kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza na Lebanon.

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Nov 02, 2024 03:00

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha uhusiano na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyuga mbali mbali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS