Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Upinzani wa Algeria dhidi ya uingiliaji wa kijeshi katika eneo la Sahel Afrika

    Upinzani wa Algeria dhidi ya uingiliaji wa kijeshi katika eneo la Sahel Afrika

    Apr 05, 2023 02:18

    Katika hali ambayo, madola ya kigeni yamekuwa yakishindana kwa lengo la kupenya na kuingia barani Afrika na yamekuwa yakitumia visingizio mbalimbali kama vita dhidi ya ugaidi kwa ajili ya kufikia lengo hilo, Meja Jeneral Said Chengriha Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Taifa la Wananchi wa Ageria amesema tajiriba inaonyesha kuwa, uingiliaji wa kijeshi wa aina yoyote katika eneo ulikabiliwa na kushindwa kikamilifu.

  • Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Apr 03, 2023 03:23

    Kwa mnasaba wa Machi 30, Siku ya Ardhi ya Palestina, idadi kubwa ya raia wa Morocco walijumuika katika mji mkuu, Rabat na kushiriki katika maandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni wa Israel, ambapo kwa mara nyingine wametaka kufutwa kwa mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya serikali yao na utawala huo dhalimu.

  • Rais wa Algeria: Kwa tulipofikia, uhusiano wetu na Morocco hautaweza kurejeshwa tena

    Rais wa Algeria: Kwa tulipofikia, uhusiano wetu na Morocco hautaweza kurejeshwa tena

    Mar 23, 2023 02:31

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema, uhusiano wa nchi yake na Morocco umefikia "hatua ya kutoweza kurejeshwa tena", kauli inayoashiria kuzidi kuwa mbaya uhusiano kati ya nchi hizo mbili, ambao ulivunjwa mwaka 2021.

  • Algeria: Mapatano ya Iran na Saudi Arabia yataimarisha usalama katika eneo

    Algeria: Mapatano ya Iran na Saudi Arabia yataimarisha usalama katika eneo

    Mar 21, 2023 09:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria ilitangaza Jumatatu usiku kwamba makubaliano yaliyotiwa saini kati ya Saudi Arabia na Iran yatasaidia kuimarisha usalama katika eneo na pia kutetea kadhia ya Palestina.

  • Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Jan 31, 2023 02:23

    Taarifa ya karibuni ya serikali ya Algeria kuhusu mpango wake kujenga bomba la pili la kusafirisha gesi ya nchi hiyo hadi Italia bila kupitia Tunisia imesababisha wasiwasi kkwa wananchi wa Tunisia.

  • Algeria: Palestina itaendelea kuwa kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Algeria: Palestina itaendelea kuwa kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 30, 2023 06:56

    Rais wa Algeria amesema kukwa, Palestina itaendelea kuwa kadhiaa kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC.

  • Spika wa Bunge la Algeria: Tunataka kuimarisha uhusiano na Iran

    Spika wa Bunge la Algeria: Tunataka kuimarisha uhusiano na Iran

    Jan 29, 2023 13:22

    Spika wa Bunge la Algeria amesema: Tunajivunia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga mbalimbali na tunataka kuimarisha uhusiano kati ya mataifa yetu mawili.

  • Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Jan 14, 2023 13:02

    Duru ya saba ya mashindano ya soka ya Mataifa ya Afrika (CHAN) kwa wachezaji wa ligi za ndani barani humo yalifungua pazia lake jana Ijumaa kwa mchuano baina ya wenyeji Algeria na Libya.

  • Rais wa Algeria: Kuiunga mkono Palestina kusiishie kwenye utoaji taarifa tu

    Rais wa Algeria: Kuiunga mkono Palestina kusiishie kwenye utoaji taarifa tu

    Nov 29, 2022 07:40

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza haja ya kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kurejesha haki za Wapalestina.

  • Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Nov 22, 2022 02:25

    Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza juu ya ulazima wa kuzingatiwa na kupewa uzito suala la Palestina. Ibrahim Boughali ametoa sisitizo hilo katika kikao na ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) kilichofanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS