Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Jan 14, 2023 13:02

    Duru ya saba ya mashindano ya soka ya Mataifa ya Afrika (CHAN) kwa wachezaji wa ligi za ndani barani humo yalifungua pazia lake jana Ijumaa kwa mchuano baina ya wenyeji Algeria na Libya.

  • Rais wa Algeria: Kuiunga mkono Palestina kusiishie kwenye utoaji taarifa tu

    Rais wa Algeria: Kuiunga mkono Palestina kusiishie kwenye utoaji taarifa tu

    Nov 29, 2022 07:40

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza haja ya kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kurejesha haki za Wapalestina.

  • Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina

    Nov 22, 2022 02:25

    Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza juu ya ulazima wa kuzingatiwa na kupewa uzito suala la Palestina. Ibrahim Boughali ametoa sisitizo hilo katika kikao na ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) kilichofanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers.

  • Algeria: Kadhia ya Palestina ipo ndani ya vipaumbele vyetu

    Algeria: Kadhia ya Palestina ipo ndani ya vipaumbele vyetu

    Nov 02, 2022 07:44

    Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) katika mji mkuu Algiers, Rais wa Algeria ameitaja kadhia ya Palestina kuwa suala muhimu na nyeti.

  • Bin Salman hatohudhuria kikao cha wakuu wa Arab League Algeria kwa ushauri wa madaktari

    Bin Salman hatohudhuria kikao cha wakuu wa Arab League Algeria kwa ushauri wa madaktari

    Oct 23, 2022 11:58

    Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman hatahudhuria mkutano ujao wa kilele wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu utakaofanyika nchini Algeria kwa kufuata ushauri wa madaktari wa kuepuka kusafiri. Hayo yameelezwa na ofisi ya rais wa Algeria.

  • Makundi ya Palestina yaandaa hati ya maridhiano katika mkutano wao wa Algeria

    Makundi ya Palestina yaandaa hati ya maridhiano katika mkutano wao wa Algeria

    Oct 13, 2022 08:06

    Makundi ya Wapalestina yameandaa hati ya maridhiano mwishoni mwa mkutano wao wa siku mbili uliofanyika nchini Algeria.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa nchini Algeria

    Safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa nchini Algeria

    Oct 11, 2022 11:16

    Jumapili ya juzi tarehe 9 Oktoba, Waziri Mkuu wa Ufaransa aliwasili katika mji mkuu wa Algeria Algiers akiuongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yake kwa ajili ya safari rasmi ya siku tatu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Algeria yataka utawala wa Kizayuni uondoke kwenye milima ya Golan ya Syria

    Algeria yataka utawala wa Kizayuni uondoke kwenye milima ya Golan ya Syria

    Sep 28, 2022 02:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria kwa mara nyingine tena ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe kuikalia kwa mabavu milima ya Golan ya Syria.

  • Algeria yazialika harakati za Hamas na Fat'h kushiriki mazungumzo na maelewano

    Algeria yazialika harakati za Hamas na Fat'h kushiriki mazungumzo na maelewano

    Sep 19, 2022 02:38

    Algeria imetangaza kuwa, imewaalika viongozi Wapalestina wa harakati za Hamas na Fat'h kushiriki katika mazungumzo ya maelewano ya kitaifa mjini Algiers.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa nchini Algeria

    Safari ya Rais wa Ufaransa nchini Algeria

    Aug 28, 2022 13:02

    Kufuatia kuendelea mvutano kati ya Ufaransa na Algeria, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameitembelea nchi hiyo ya Kiafrika kwa lengo la kuboresha uhusiano ulioharibika na kufungua "ukurasa mpya" katika uhusiano wa pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS