Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amali za Hija

  • Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    May 31, 2016 15:35

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) limetoa taarifa na kutangaza kuwa utawala wa Aal Saud umefanya kitendo cha kufuru kuwazuia mahujaji wa Kiirani wasifanye safari ya kwenda kutekeleza ibada ya Hija.

  • Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    May 31, 2016 07:46

    Mkuu wa Idara ya Ghuba ya Uajemi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, ukoo tawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia ndio unaopaswa kubeba lawama za kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu.

  • Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    May 31, 2016 04:18

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ukoo wa Aal Saud ndio uliowazuia Wairani wasitekeleze amali za Hija yenye izza na heshima.

  • Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    May 31, 2016 03:42

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Utawala wa Saudia watekeleza njama za kuvuruga Ibada ya Hija

    Utawala wa Saudia watekeleza njama za kuvuruga Ibada ya Hija

    May 30, 2016 07:41

    Watawala wa Saudi Arabia wanatumia mbinu mbali mbali kuvuruga Ibada ya Hija na kwa msingi huo kuwanyima wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haki yao ya kutekeleza ibada hiyo muhimu ya kila mwaka.

  • Iran kutoenda Hijja mwaka huu kutokana na vizingiti vya Saudia

    Iran kutoenda Hijja mwaka huu kutokana na vizingiti vya Saudia

    May 29, 2016 14:21

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema taifa hili halitashiriki ibada tukufu ya Hijja mwaka huu kutokana na vizingiti lilivyowekewa na Saudi Arabia.

  • Ayatulllah Larijani: Kuna udharura wa kuweko ushirikiano wa ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kuandaa ibada ya Hija

    Ayatulllah Larijani: Kuna udharura wa kuweko ushirikiano wa ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kuandaa ibada ya Hija

    May 24, 2016 03:26

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, kuna haja ya kuweko ushirikiano wa ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kuandaa ibada ya Hija.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS