-
Malengo ya safari ya Tillerson katika nchi za Amerika ya Latini
Feb 04, 2018 04:30Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai akiwa Mexico katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi za Amerika ya Latini kuwa Russia ina mpango wa kuingilia masuala ya uchaguzi ya nchi hiyo.
-
Zarif: Fidel Castro alisimama imara kukabiliana na ubeberu
Nov 28, 2016 11:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema kuwa, hayati Fidel Castro kiongozi wa zamani wa Cuba aliyefariki dunia alikuwa akisisitiza kuimarishwa ushirikiano na mataifa mengine.
-
Wapinzani US: Tutaendeleza maandamano dhidi ya Trump na hatutorudi nyuma
Nov 20, 2016 12:24Wanaharakati nchini Marekani wametangaza azma yao ya kuendeleza maandamano ya kumpinga rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump wakisisitiza kuwa Trump si chaguo la raia wa Marekani.
-
Human Rights Watch yamuonya Trump, yaahidi kumfuatilia
Nov 18, 2016 11:38Mkurugenzi mtendaji wa shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump, juu ya utendaji kazi wake baada ya kuingia madarakani.
-
Waislamu wa mji wa New York waadhimisha 'Siku ya Waislamu'
Sep 27, 2016 23:07Waislamu nchini Marekani wamemiminika katika mitaa ya mji wa Manhattan, New York kuadhimisha 'Siku ya Waislamu' mjini hapo.
-
Kiongozi wa Answarullah: Marekani na Saudia ni maadui wakubwa wa Uislamu duniani
Sep 21, 2016 03:57Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu nchini Yemen, sanjari na kuashiria kuwa, Marekani ndiyo iliyotoa amri ya kushambuliwa nchi hiyo amesema kuwa, wavamizi wa Saudia ni watu makatili wasio na huruma hata chembe.
-
Rais Rouhani afanya mazungumzo na Marais wa Bolivia na Ecuador
Sep 18, 2016 02:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano kati yake na nchi za Amerika ya Latini na khususan Bolivia katika nyanja zote.
-
Wizara ya Elimu Marekani: Tutakabiliana na ubaguzi dhidi ya wanafunzi wa Kiislamu
Sep 12, 2016 11:50Wizara ya Elimu nchini Marekani imetangaza kuchukua hatua kali za uangalizi kuhusiana na matukio ya ubaguzi hususan dhidi ya wanafunzi wa Kiislamu katika shule za nchi hiyo.
-
Viongozi wa dini tofauti wafanya mkutano kuwaunga mkono Waislamu Marekani
Aug 30, 2016 00:05Viongozi wa dini tofauti katika mji wa Concord katika jimbo la New Hampshire nchini Marekani, wamefanya mkutano kwa ajili ya kutangaza uungaji mkono wao kwa Waislamu wa nchi hiyo.
-
Zarif awasili nchini Nicaragua
Aug 23, 2016 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewasili Managua mji mkuu wa Nicaragua katika safari yake ya pili katika ziara yake ya kiduru katika nchi sita za Amerika ya Latini.