-
Amir Abdollahian: Mbali na vikwazo, sasa Marekani inafanya uharamia wa vifaa vya corona
Apr 10, 2020 02:31Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, mbali na kuziwekea nchi mbalimbali vikwazo, Marekani hivi sasa inafanya pia uharamia wa kupora shehena za barakoa (mask) na vifaa vya kupimia ugonjwa wa COVID-19 duniani.
-
Mousavi: Harakati za Marekani nchini Iraq zinasababisha ghasia na ukosefu wa amani
Apr 01, 2020 07:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria harakati za wanajeshi wa Marekani huko Iraq na kueleza kuwa, harakati hizo mbali na kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Iraq zinasababisha ghasia na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Mshauri wa Spika wa Bunge: Kinara wa genge la kigaidi la DAESH alikuwa kikaragosi cha Marekani
Oct 28, 2019 07:35Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema, kinara wa genge la kigaidi la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi ni kikaragosi kilichotengezwa na Marekani ambacho muda wa matumizi yake ulikuwa umeshamalizika.
-
Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na Afrika Kusini
Aug 15, 2019 07:16Akizungumza na Balozi iwa Afrika Kusini mjini Tehran, Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande zote na nchi za bara la Afrika na khususan Afrika Kusini.
-
Hossein Amir-Abdollahian: Marekani chanzo cha ukosefu wa usalama na amani nchini Afghanistan
Jul 30, 2019 07:45Hossein Amir-Abdollahian, Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, siasa mbovu za Marekani ndio chimbuko la ukosefu wa usalama na amani nchini Afghanistan.
-
Sayyid Nasrullah: Muqawama upo katika kiwango bora kabisa
Jul 20, 2019 02:37Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mapambano na muqawama upo katika kiwango cha juu kabisa na kusisitiza kwamba, siasa za chukki na uadui za Marekani na utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi zitashindwa na kugonga mwamba.
-
Rais Bashar al-Assad: Syria itasimama pamoja na Iran kuvikabili vitisho vya Marekani
Jul 16, 2019 03:28Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kwamba nchi yake itasimama pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuvikabili vitisho vya Marekani.
-
Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu
Jul 04, 2019 02:41Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Palestina amesema kuwa, kufunguliwa njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa na maazimio ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).
-
Iran yaionya Saudi Arabia kutokana na chokochoko zake dhidi ya Tehran
Jun 04, 2019 07:09Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa ameionya Saudi Arabia iache kushirikiana na Marekani katika chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Abdollahian: Jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina zinafanyika kwa uungaji mkono wa Marekani
May 06, 2019 07:51Katibu Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestine amesema: "Hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza zinatokana na ukatili na unyama wa Wazayuni waporaji ambao wanapata uungaji mkono wa pande zote wa rais mbaguzi wa rangi wa Marekani."