-
Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela
Feb 26, 2019 02:37Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.
-
Abdollahian: Iran itasimama kwa nguvu zote kuwasaidia waitifaki wake
Aug 24, 2018 04:25Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran itaendelea kusimama kwa nguvu zake zote kwa ajili ya kuwasaidia waitifaki wake katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Abdollahian: Kukombolewa miinuko ya Golan ya Syria ni jambo linalowezekana
Jul 29, 2018 08:00Mshauri maalumu wa Spika wa bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema: kukombolewa miinuko ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu kunawezekana kwa juhudi za wananchi wa Syria.
-
Abdollahian: Siasa za Marekani za kuunga mkono kundi la kigaidi la munafiqina, zimefeli
Jul 18, 2018 02:31Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, siasa za Marekani za kucheza mchezo mchafu wa kuliunga mkono na kulisaidia kundi la kigaidi la munafiqina (MKO) kwa ajili ya kuishinikiza Iran, zimefeli.
-
Abdollahian: Marekani imekasirishwa na kusambaratishwa magaidi wa Daesh nchini Syria
Apr 12, 2018 02:33Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kusambaratishwa magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Syria kumeikasirisha sana Marekani na kwamba vitisho vinavyotolewa hivi sasa na Washington dhidi ya Damascus vina shabaha ya kuhamisha mazungumzo ya Astana na Sochi na kuyapelekea Vienna na Geneva kwa lengo la kudhamini malengo ya Marekani.
-
Abdollahian: Uteuzi wa Bolton ni kwa lengo la kupata manufaa zaidi Marekani kupitia JCPOA
Mar 26, 2018 07:52Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani cha kuwapa vyeo muhimu watu wenye misimamo mikali kama John Bolton kwa hakika ni siasa za kutaka kupata manufaa zaidi kupitia maafikiano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Saudia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo
Feb 18, 2018 07:30Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, katika masuala ya kimataifa amesema Saudi Arabia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo kwa kuvuruga serikali zilizopo.
-
Msaidizi maalumu wa Spika: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa
Dec 16, 2017 08:01Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema madai yaliyotolewa na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa.
-
Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu
Dec 11, 2017 08:14Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.
-
Ushirikiano wa Iran na Zimbabwe katika mapambano dhidi ya mabeberu ni mfano wa kuigwa
Sep 05, 2017 14:12Mshauri maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema muqawama au mapambano ya watu wa Iran na Zimbabwe dhidi ya madola ya kibeberu ni mfano wa kuigwa na wapigania uhuru kote duniani.